Habari za wakati huu wana jamiiforum, Rejea kichwa cha Habari hapo juu ni kwamba Nina tafuta mtu anayesoma katika Chuo Kikuu huria OUT, kozi ya procurement and supply ngazi ya Diploma lakini pia kama Kuna mtu utakuwa unamfahamu na hayupo humu basi waweza niunganisha naye PM ipo wazi,Ahsante.
Habari zenu wanajamii,
Natumaini mko salama. Nimeamua tena kuweka tangazo hili kwa lengo la kukutana na mwenza wa maisha mwenye nia thabiti na malengo ya dhati.
Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi Dar es Salaam. Natafuta mwanamke Mkristo mwenye umri wa miaka 25 hadi 35, mwenye...
Hodi humu ndani.
Naitwa Johnson mwenye umri wa miaka 38, natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri miaka 35 nakuendelea, Ambaye tayari ashamaliza mambo ya ujana.
Awe tayari kuishi mahali popote,awe mpenda maendeleo na mwenye kiu ya kuatamia maono nakuyafanya yawe kweli.
Njoo inbox tuyajenge.
Wale watu wa perfume uwa tuna code zetu tunapasiana.
Mimi nimekwama kidogo so natafuta perfect ya isizidi 50K ya kiume inayonukia kishefa.
Ukinitajia jina na location ya kuipata nitafurahi.
Isiwe ya kupima wala rasasi au smart collection.
Karibuni
Mimi ni dereva wa tax mtandaoni nina leseni yenye daraja c nina acount zote bolt, uber, little ride na farasi. Nina uzoefu wa kazi hii, gari ikiwa ya mkataba au hesabu
Mawasliano +255767630088
Ndugu jama na marafik nipo mbele yenu kuomba Kaz ya udereva
Nafanya kazi ya udereva
-gar ya nyumbani
-gar ya tasisi yoyote
-gar ya tx mtandao Uber bolt
Nina uzofu wa mwaka Moja na nusu sasa
Naomba ushirikiano wenu kwenye kulifanikisha hili
Habarini Wana jukwaa.
Nimekuja mbele Leo kutafuta connection, Network ya kazi.
Nina uzoefu wa miaka 8 kazi za Administration, procurement and logistics.
Nina uzoefu nmefanya kazi kwenye Mashirika na pia kwenye sekta binafsi.
Nipo tahari kufanya kazi mahali popote.
Kwa Maelezo zaidi pamoja na...
Habarini za muda huu, nina umri wa miaka 26, jinsia me, napatikana mwanza, nipa hapa kutafuta kazi, mimi ni clinical assistant (CA) Nina kila kitu, leseni hai na vyeti vya taaluma, nina experience ya kazi kwa muda wa miezi 8 nikiwa dispensary, natanguliza shukurani
Habari ya kwenu. Natafuta mchumba wa kuoa mwenye vigezo hivi.
Mwenye umri miaka 40 kwenda juu
Jinsia mwanamke
Mkristo
Asiye na uwezo wa kuwa na watoto
Mwenye tabia nzuri. Ukiwa na tabia mbaya hatutadumu kwenye mahusiano.
Anayejaza vigezo hivyo Ani PM namba yake
Habarini wakuu!
Nimekuwa mpenzi wa suruali za aina ya american jeans/cadet
Naomba mwenye kufahamu zinauzwa wapi anisaidie
Sehemu nilipokua nanunua mwenye duka alifunga biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.