Mm ni mwanaume nilie kwenye my late 20's, niliwahi kuwa na girlfriends in my late teens, Ila baadae, baadhi ya girlfriends nliokua nao niliwaacha, because sikua na malengo nao, wanajamii wengi na ndugu na marafiki wananisisitizia nioe, mm huwajibu kuwa sijakaa sawa kifedha, ila kiuhalisia hicho...