Mifumo hii imeanza kutengenezwa 2013, sasa imekamilika. (Natafuta fedha ya kutengeneza mfumo Fulani imayotumia AI). Mifumo hii ya kuangalia matokeo unaweza kuiprogram kama chombo cha cassini, yaani utakavyo on the fly kwa kutumia computer au simu yako ya mkononi, mfano kuweka matangazo au...
Habari wanajukwaa nauza perfume za kike na za kiume kwa bei ya 40,000 tu na ni brand ya kizawa kabisa
Inakaa muda mrefu na inaweza kusikika harufu yake kwa umbali mrefu,napatikana Dar es Salaam unaweza kunichek kwa namba 0674376787 nikakuletea sample.
Salam wakuu,
Nauza kiwanja chenye urefu wa mita 35 na upana mita 20.
Kimepimwa(surveyed)
Bei ni Tsh. Milioni 3
Plot number 594
Location: Morogoro, Mkundi.
Mawasialiano zaidi: WhatsApp number 0742666736
Habari wadau,
Nauza godown.
Lipo mkata handeni barabara kuu irudiyo msata/pwani
Lipo kilometer 2 toka mkata stand
Lipo meter 100 toka barabara kuu itokayo mkata kurudi pwani
Maji yapo mpaka site, eneo lina ukubwa wa square meter 7200 limepimwa lina hatimiliki- tittle deed no 1
Eneo lina jengo...
alphard
athlete
bmw
crown
dualis
inauzwa
ist
kali
nauza
new
nissan
nissan dualis
noah
premio
raum
sale
sana
series
shape
subaru
subaru forester
toyota
toyota wish
wish
Kwa wadau wa kilimo nchini tafadhari karibuni Mashine ni Diesel Engine HP 16 2200 RPM Uzito wa body na Engine jumla ni Kg 165 Inauwezo wa kupiga Kg 1000 kwa saa inafaa kwa kupigia Alizeti ,Mpunga, Mtama na Uwele mashine mpya inapatikana kwa tsh 7.5M badala 9.5M na used iliyotumika mwaka mmoja...
Wana JF nauza hivo Vifaa;
-Kabati kubwa ngazi tatu
-Jiko la Motor linalotumia chenga za mkaa
-Jiko la mkaa la kuchomea viaz la kawaida
-Jiko la mishikaki
-Meza ya kuweka Kabati
-Makalai mawili ya viazi na kuku
- Flampeni 2
-Vyombo na vifaa vingine kama Taa kubwa
Bei 380K vyote.....
Eneo lipo...
Nauza Camera yangu aina ya lumix s5. Niliinunua ikiwa mpya na nimeitumia kwa muda wa mwaka mmoja. Haina tatizo lolote na iko kwenye hali safi sana. Ni nzuri sana kwa ajili ya kufanyia video production.
Specs:
Brand: Panasonic Lumix
Model: Lumix S5
Sensor: 24MP Full Frame 6K CMOS sensor
Video...
Mafuta yanapatikana kwenye ujazo wa ltr1, ltr3,ltr4 na lita 5.... Bei rafiki sana 0623140090 nitafute tufanye biashara yanapatikana kwa jumla na rejareja.. karibuni sana
Nauza mkoba wa kuwekea documents na laptop.
Umetemgenezwa na material safi na ndani una sponji nyepesi ambayo haivunji PC Yako na haiingizi maji kabisa.
Bei ni 40000tshs
Nipo Dar derivery ipo ndani ya Dar na mikoani na nchi jirani ninatuma kwa uaminifu mkubwa
Mawasiliano :0628935034
Bedside size 4×6
Rangi zilizopo ni kijivu, ugoro, pink, nyeupe, samawati.
Bei 35000
Material ni zuri sana,
Kutoka Thailand na Uturuki
Mawasiliano 0628935034
Habari wakuu
Nauza
HP Pavilion x360 touch screen
RAM: 8GB
Hard Disk: 500 GB SATA
Graphics card: Intel with Radeon
Changamoto: Haikai na chaji, yaani ni direct ila inalekebishika
Ina mpasuko kidogo pembeni kama picha Inavyo onesha.
Bei laki 4 na elfu 50
Mawasiliano 0620306221
WhatsApp+255...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.