nauza

  1. MOSintel Inc

    Nauza mafuta ya Alizeti kwa nei ya jumla kwenye madumu ya Lita 20 (NAVUNJA BEI)

    Habari, Kama heading inavyojieleza nauza mafuta ya Alizeti katika dumu za lita 20 (zimezidi Lita 1-2 kwa kila dumu). Mafuta ni masafi na hayana harufu, sio ya kuchemsha na si machungu. Muonekano wake unaita. Mzigo upo Kibaha mjini. Kama una uhitaji karibu PM au nicheki kupitia namba 0787454580...
  2. Jozedan56009

    Nauza monitor dell e2011h 20"

    Bei 180 Maongezi yapo 0678650509 . Nko mbez mwisho
  3. C

    Nauza simu ya mkopo

    Ndugu zangu Nina simu nauza ila ni ya mkopo. Imebakiza miezi mitatu kumaliza. Ni Infinix smart 7+. Nina dharura na Sina kitu kingine Cha ziada. Anaeweza kunisaidia kuinunua naomba tuwasiliane please.
  4. Digital base

    Nauza vyombo vya ndani nahama mkoa

    Hello habari ya leo wadau , Mimi naishi Dar Es Salaam Kimara Temboni na sasa nahama kikazi kwenda mkoa mwingine Nauza vyombo vyote vya ndani ambapo katika vyombo hivyo nna TV Inch 32 kampuni ya Ailyons na king'amuzi Cha Azam cha Dish vyote Tsh.270,000 Sofa za watu wawili mbili zote...
  5. Vituka

    Nauza Ekari 5 along ring road Dodoma

    Eneo lipo karibu na hii barabara. Kwa aliye serious anifate DM. Asante.
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je unahitaji vitanda vya hostel? Nauza vitanda na magodoro yake, viko kwenye hali nzuri sana

    Nauza vitanda na magodoro yake, ni vitanda double deck vina magodoro yake tayari. Size ni 3x6 Mbao ni Pine na Cyprus Bei 100,000 na godoro lake. Location: Dar es Salaam Waweza nipigia 0717454455/ 0767454455
  7. C

    INAUZWA Nauza FishFinder

    Humminbird HELIX 12 ($1000) This is one of the units the Wired2fish staff has the most time with and can say without reservation that this is one of the best units on the market for anglers. Our team regularly gets images you would swear were better than the much higher end units. The...
  8. K

    Plot4Sale Nauza heka 3, zipo Kibaha

    Nauza Heka 3 zipo Kibaha Zina hati zimepakana na barabara ya kwenda Morogoro. Heka moja nauza mil 300 eneo ni zuri sana kama unahitaji piga sim no 0659161693. Karibuni sana
  9. Blaszczykowski

    Plot4Sale Nauza shamba langu heka 3

    Habari wapendwa nauza shamba langu Lina heka 3 tu lipo kati kati ya Fukayosi na Kiwangwa karibu na Bakhresa, ni Mali halali lenye hati na linatambulika Serikali za mtaa kutoka barabaran kuu mpaka shamba lipo Ni dakika 25 Heka 1 - 1m WhatsApp 0715160365 Mimi ndio mmiliki
  10. Gulio Tanzania

    Plot4Sale Nauza kiwanja changu Tsh 1,500,000

    Nauza kiwanja changu niki kizuri kipo Iringa mjini maeneo ya Tagamenda karibu na shule ya secondary Tagamenda Ni kilomita chache kutoka ipogolo stand Hatua 28 kwa 20 Bei Tsh 1,500,000 Haipungui Piga 0759500807 Karibuni Hichi hapa kwa picha Huu ndio mtaa kilichopo kiwanja barabara...
  11. N

    Plot4Sale Nauza kiwanja Kibaha kwa Mfipa

    Habari Nauza kiwanja changu ambacho unaweza jenga nyumba ya makazi chenye ukubwa wa miguu 20 kwa 19 maeneo ya Kibaha kwa Mfipa. Tshs 5,000,000. Kutoka Kwa Mfipa stand hadi kwenye Kiwanja kwa pikipiki ni mwendo wa dakika 7-10 na kwa miguu ni mwendo wa dakika 20-25, kipo upande wa kushoto ukiwa...
  12. S

    Phone4Sale Nauza simu aina ya Samsung A04 used

    Habari wana jf. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, 👉 Aina ya simu ni SAMSUNG A 04 ya rangi nyeusi, nilinunua mwezi wa 5 mwaka huu. 👉 Haina cracks wala faults yeyote ni nzima kabisa isipokuwa tu haisomi earphones na badala yake huwa natumia earpod za ku-connect na bluetooth. 👉...
  13. AKILI TATU

    Nauza mahindi, kila gunia Tshs. 80,000

    Wandugu habari ..Nina MAHINDI nayauza Niko na GUNIA 50, kila GUNIA nauza Tsh 80,000 hali imekuwa mbaya sana naomba wa kunisaidia kuyanunua Kwa harakaharaka, shamba Liko Tanga, Kwa maelezo zaidi na utayari Tuonane Inbox 📥
  14. B

    INAUZWA Nauza Hard disk(HDD) za laptop kwa bei ya jumla

    Hard disk za laptop mpya 500 GB = 45,000 tsh Ukihitaji kuanzia mbili bei inapungua kwa mawasiliano zaidi 0621 089 762 tupo dar es salaam
  15. Afande Macha

    Nauza bag limejaa nguo!

    Nguo jumla zipo zenyewe ni kadet zipo 4 jeans zipo 3 track suit 1 Size ya kiuoni ni 30/31 nguo zote. Nakuuzia zote na bag nakupa Bure kwa jumla 40,000 tu. location: Ubungo Kibangu nitumie SMS: 0752 565852
  16. N

    Toshiba External Hard Disk GB 500 inauzwa

    Nauza External hard drive (Toshiba) yenye ukubwa wa GB 500 Ipo kwenye hali nzuri sana na haina tatizo la aina yoyote Bei Ni Tshs 65,000 maongezi kdg yapo Nipo Mbezi Stand ya Magufuli TAYARI IMESHAUZWA
  17. B

    Phone4Sale Nauza Samsung note 20 5g full box

    Nauza Samsung Galaxy note 20 5g full box kwa 630k tuuuu Ina ram 8 storage 128 Pia zip Nokia 3310 kwa 65k tuuu
  18. VMWare-Oracle

    INAUZWA Nauza Dumbbells used

    Uzito -30kg Bei-200k Maelewano -yapo.
  19. Penologist

    Nauza Magunia ya Mahindi KG 100

    Habari za kazi wakuu, mimi ni mkulima kijana nimeamua kuuza nafaka nilizo vuna mwenyewe bila dalali, mahindi yana ubora wa hali ya juu, store nina gunia 30 nauza 1 kwa 100,000. Sitaki dalali. Store ipo Arusha Ilboru. Number za simu 0763574651 serious buyer only udalali sitaki.
  20. S

    Plot4Sale Nauza kiwanja Goba

    Ninauza kiwanja changu kipo Goba Kulangwa kina ukubwa wa mita 15 kwa mita 30. Bei ni milioni 14 Nyaraka Serikali za mitaa. Huduma zote za kijamii zipo 0762282526
Back
Top Bottom