Showcase ilo sokoni hii kwa wale wauza simu na bidhaa zake inawafaa zaidi au hata kama hufanyi hiyo biashara ila unaona inakufaa pia unakaribishwa....
Bei ni 235,000
Ipo Sinza madukani
Mawasiliano 0718905208
Habari za muda huu,
Nauza shamba heka 3 tu zipo Bagamoyo Mkenge. Ni kama 10km kutoka Bagamoyo road. Zote kwa pamoja ni 3.7m ni mali yangu haina dalali pia linatambulika na Serikali za kijiji.
WhatsApp: 0715160365
Unaweza nipigia: 0698170582
Habari za leo!
Ninauza fenicha za ofisini zilizotumika zipo katika hali nzuri sana:
1. Meza kubwa moja (imported)
2. Kiti kimoja cha ngozi cha kuzunguka
3. Viti viwili vya wageni (nimenunua mwezi Januari,2024)
Fenicha zote hizi nauza kwa pamoja kama zilivyo sh 800,000 maongezi yapo
Zinapatikana...
🔥🔥🚘🚘🚘
ON SALE (EEP) - SUBARU IMPREZA
Price 14.5ML
0768160670
SUBARU IMPREZA ¥
KALI SANA
Color 🖤 BLACK
LOW MILEAGES
Engine 1490
Low mileage
New tyre
Clean sana
DAR ES SALAAM
0768160670
EXCHANGE ALLOWED
Kwa anayehitaji Midoli ya Kuuzia Mawigi tuwasiliane. Ipo zaidi ya 20. Nauza sababu nimebadilisha biashara.
Nipo Goba Dar-es-salaam.
0713794962
bei ni 9000tsh kila mmoja
NIMEKWAMA NAUZA ENEO LANGU KIBAHA KWA MFIPA.
LIKO SEHEMU NZURI HUDUMA MUHIMU ZIPO.
NGUZO MBILI ZA UMEME MPAKA SAITI.
MCHANGA UKO HAPO HAPO
TOFARI MAPAKA SITE TSH. 750
MAJI YAPO JIRANI TUPO KWENYE MCHAKATO WA KUYAINGIZA
KUTOKA MAIN ROAD KM. 1.5
Square mita 300
Bado sijapata mteja sahihi.
NATAKA...
SPECIFICATION
Model : Dell Latitude 5300
Processor: Core i5
Ram : 8 GB
SSD : 500 GB
Size : Inch 14
Generation : 8
Window : 11
Screen: Normal and Touch screen
Bei : 500,000/=
Computer ni used ila ipo kwenye ubora mzuri sana kama mpya.
Inakaa na charge zaidi ya masaa kumi ukitumia mfululizo.
Ina...
Habari wadau,
Nauza simu yangu kwa mtu anayetaka kuinunua hapa Dar es Salaam. Nakupa na chaja yake bure. Simu ipo rooted na unaweza kutumia line 2 za simu. Kama utataka nikufungulie social media accounts (Instagram, Facebook, X, nk), nitakufungulia bure. Pia kama utataka links za websites za...
Natafuta Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani Dodoma. Nina Dagaa nyama kutoka Tanga kilo za kutosha nahitaji kupata wanunuaji.
Mwenye namba za Dalali wa bidhaa za sokoni mkoani DODOMA anisaidie tafadhali.
Habarini wadau. Nauza cement grade 42.5 kampuni ya Camel kwa bei ya 15,000 kwa mfuko. Eneo ni Tabata Saanene. Bei ni nafuu kwa kuwa ninafunga biashara.
Imebaki mifuko 200 tu. Wahini sasa. Risiti ya EFD ipo.
Kwa mawasiliano zaidi, piga namba 0687320462.
Karibuni wote tunauza mashuka bei zinatofautuana. Tunauza cover za sofa na za bed cover.
Tunauza mapazia kwa bei nafuu karibuni wote ni ukitaka kujua bei ya chochote hapa. Nipigie 0699 227942
Duka lipo Arusha mjini.
Mfanyabiashara mkubwa nchini Azim Dewji, ameweka wazi kuwa biashara yake ya kwanza kuifanya ilikuwa ni kuuza mafuta ya Taa.
Akifanya mahojiano na CloudsTv Dewji amesema,
"Biashara yangu ya kwanza nilinunua gari kwa mkopo, nikawa na gari lakini tulikuwa tunanunua mafuta ya taa kwenye madebe...
Habari wadau.
Deki ipo Dar, faida nyingine ya deki hii ni kwamba inayo amplifaya ndani yake , kwa hiyo unaweza kutumia kama amplifaya na radio kwa wakati mmoja.
Bei : 130,000
Mawasiliano : +255621396850
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.