Habari wapendwa nahitaji mnunuzi mwenye kujua thaman ya uwekezaji Nauza place yangu heka 3.
Location: njia ya bagamoyo mkenge
Document: Zipo na linatambulika na serikali ya kijiji
Nilinunua 2019 Nauza nimeshindwa kufanya chochote kutokana nipo mbali napo.
WhatsApp 0715160365
Call 0747464694
Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nauza saloon yangu ya kiume(barbershop) iliyopo makongo stend (mageuzio).
Nimepata uhamisho wa kikazi hivyo haina budi kuiuza kwani sitoweza kusimamia nikiwa nje ya dares Salam ( mkoani). Saloon iko full ina viti vya kunyolea (barbershop...
Habari,
Kama heading inavyojieleza nauza mafuta ya Alizeti katika dumu za lita 5 kwa TZS 24,000/- :
* Mafuta ni masafi
* Hayana harufu,
* Sio ya kuchemsha na
* Si machungu
* Muonekano wake unaita.
Mzigo upo Kibaha mjini.
Kama una uhitaji karibu PM au nicheki kupitia namba 0787454580...
Only For Tsh.360,000
Problem ni mic pekee sometimes yes/sometimes no.
Double line☑️
Only for serious buyer nicheki WhatsApp au piga 255673269533
Simu ipo Tabata Mwananchi
Nauza simu jamani wana jamiiform IPHONE 6s lak 180000 had 165000 haina shida yoyote pasipo kua utapata usb ios apple
:gb 128,gold km ndo hivo unavyo ona hapo chini👇👇👇👇👇👇
Contact:0782821751
Nipo dar/magomeni/kw binyau
Nauza viti vya mbao ambayo unaweza kutumia bar,grocery au mgahawani...
viti vinapatikana shekilango nyuma ya ofisi za abood bus au shabiby
■ kiti cha watu 2 vipo vi3
■meza 3
■stuli 6
inamaanisha kiti cha watu2+meza+stuli 2=150000
(mzunguko uko mara 3) inamaana ukichukua vyote ni laki450000 bei...
Habarini za jioni!
Kama kichwa kinavyojieleza. Miezi sita ilopita nilitamani kufungua kijiwe cha games za Ps na kwa bahati nilifanikiwa kununua baadhi ya vitu lakini baada ya kupata kibarua mbali na eneo nililotaka kufungua hiyo ofisi nimeona bora niviuze kuliko kumwachia mtu anitunzie.
1...
NAUZA KIWANJA CHANGU
📍Site located at Amani Mapinga Near EPLAS RECREATION
🧵Umbali:
👉 5 km kutoka Bunju
👉1.8 km kutoka Bagamoyo Road
👉2 km kutoka Baharini.(PLOT NEAR BEACH)
• Kiwanja kinagusa barabara kubwa ya mtaa
• Kiwanja kina nyumba ndogo ndani yake yenye vyumba viwili na sebule
• Pia...
Nauza Printer 🖨 ya Epson L850
Ina kila kitu chake, ni mpya sijawahi itumia
Tsh 900,000
All in one printer
Print,copy,scan
Six color eco-tank
Colored printer
Quality 💯
Napatikana Dar, Mbweni
WhatsApp/Call/SMS 0653 083 000
Habari zenu mabibi na na mabwana! Sisi ni lj adornments store tunauza saa(kike & kiume),cheni(kike & kiume),bracelets(kike & kiume),hereni,smartwatch na vingine vingi.
Bidhaa zetu zimezingatia sana ubora hazipauki,hazichuji na wala haziwashi na ni imara sana. Tunapatikana kigamboni na...
Haya wale professional wa kupiga picha mzigo huu......jumla ni 1,500,000/= pamoja na usafiri juu yangu kukutumia popote
But ukilipia 1,490,000/= utalipia delivery cost
Camera Nikon D7100 body+charger - 900,000
Lens 70-300mm - 250,000
Bag - 50,000
Speedlight - 150,000
Stand+Camera handle -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.