nauza

  1. Baba Atifah

    Computer4Sale Nauza Acer Gaming PC

    Acer gaming pc Still iko good condition,(🚨🔥 (POWERFUL PC) Price 1.2M Bei yakutupa kazi kwenu gamer and editors,code Details 👇🏿 Core i5,2.5ghz 7300hq 7th gen ram16gb ddr4 storage 750gb 1 blur fast usb port nvidia gtx 1050ti 4gb
  2. M

    Car4Sale Nauza magari used

    Habari, naamini uko salama. Mimi ni agent natoa magari madogo na makubwa, container, loose cargo katika bandari ya Dar es Salaam. Pia nauza magari used na chassis pamoja na container za 20 feet na 40 feet...kwa mawasiliano zaidi nichek +255764423726 wasap no. Karibu Sana nikuhudumie.
  3. stabilityman

    Nauza mlango wa aluminum banana elf 50

    ango wa Aluminum upo banana piga 0743257669 nauza elf 50
  4. Deejay nasmile

    Computer4Sale Nauza laptop laki na 80 tu

    Wakuu habarini. Nina shida kidogo ya kifedha hivyo nina laptop yangu haiko vizuri kimuonekano, lakini inapiga kazi mwanzo mwisho. Ndio ninayoitumia hata katika kazi zangu za muziki..naiuza kwa tsh 180000 tu. Ni dell e6400 ram gb4 haddisk ina gb150. Ukitaka nakubadilishia nakuwekea 500gb...
  5. Golden Elimeleck

    Nauza Dell Pc 💻

    Nauza Portable Dell laptop 💻 Specifications Generation:10 Internal storage:1000Gb(1tb) Ram:4 Processor:2.5GHZ Battery charge storage capacity:4hrs Condition :Used like new /nimetumia kwa mwaka mmoja nilinunua 700,000Tsh BEI:Nauza kwa Ofa Tsh 500,000 Location: Muhimbili ,Dar Es Salaam...
  6. McRiyckeel

    Nauza Dry & Reefer | Freezer Containers 40Ft & 20Ft

    Nauza Dry & Reefer | Freezer Containers 40Ft & 20Ft Bei za Dry Containers (Offer till 20th July) 20Ft - Tsh 4.3M 40Ft - Tsh 6.3M Bei za 40Ft Reefer Containers (Offer till 20th July) 40Ft - Tsh 28.5M Zote ziko Dar es salaam Mawasiliano: 0625973365
  7. Upcoming

    Car4Sale Nauza Toyota Rush - Price 12m

    Karibuni wadau nauza gari aina ya Toyota Rush (SERIOUS BUYER ONLY) Engine - Petrol 1491490 Seats - 5 Colour - Mid Night Silver Metallic Transimition - Manual Mileage - 103,000
  8. trust 1

    Nauza Toyota voltz 8.5m

    .
  9. Bigirita

    Car4Sale Car4Sale: Nauza Jeep Grand Cherokee, Make 2014

    🚙Jeep Grand Cherokee ➡️Limited edition ➡️Make 2014 ➡️CC 3600, Petrol ♨️ECO consumption tech ➡️Auto 4x4 transmision ➡️Push start ➡️Air suspension auto ➡️Cruise control ➡️Auto Idle control. ➡️Registration #D ➡️Gari ipo Dar Es Salaam. ➡️Reason for selling: Travelling out of the country for a...
  10. R

    Nauza godoro la QFL Dodoma 100k

    Habarini godoro naliuza nilinunua 140k hapo mwez 5 sasa ivi naliuza 100k lina miezi miwili tu toka linunuliwe hapo nilipiga picha wakati nimelinunua nimetumia miezi 2 tu nasisitiza LC 5×6 Jaman bei haishuki chini ya 100K. Lipo katika hali nzuri kabisa halina shida ni vile tu shida zangu...
  11. MEGATRONE

    Natafuta mnunuaji wa maharage ya njano gololi na combart

    Habari zenu ndugu zangu! Natafuta mnunuaji wa maharage ya njano gololi na combart! Anayehitaji tuwasiliane kwa mawasiliano: 0672473087
  12. 90sgeneration

    Phone4Sale Nauza simu yangu, Xiami Redmi 13C

    Nauza XIAOMI REDMI 13C storage yake ni 128gb,ram 6gb, ina fingerprint pembeni, kila kitu chake ninacho, box receipt n.k na ina mwezi tu, iko poa na waranty kila kitu. nauza 200k tu, nipo mbezi magufuli iwahi faster 0697224996
  13. S

    NAUZA LODGE/GUEST YANGU(DSM)

    HABARI WANAJAMII, NAUZA LODGE YANGU IPO WAZO HILL,KISANGA ROAD INAVYUMBA 11 VYOTE SELF AC,HEATER NA TV. NJE KUNA KAUNTA,CHOO,JIKO NA PARKING UKUBWA WA ENEO 1600 SQM MATARAJIO YA MAUZO KWA SIKU 165,000-200,000 BEI 130 MILLION :-KWA MTU SERIOUS TUWASILIANE SABABU YA BIASHARA NA MAZUNGUMZO...
  14. The last don

    Nauza Macbook Pro za mwaka 2018 bei ya jumla

    Wadau wa graphics,gaming,na video production nauza macbook Pro za 2018 kwa bei ya jumla Specs: Macbook Pro display Retina Iris display 13.3' RAM: 16GB Storage: ssd 500GB Processor intel core i 5 3.1.Ghz Touch pad bar. Graphics: Intel Iris Plus Graphics 650,1536 bought from USA asking price ~Tsh...
  15. K

    INAUZWA Nauza mashine yangu ya kutengeneza sabuni za miche

    Nauza mashine ya kutengeneza sabuni za miche iko complete na mixer ya lita 100 inafaaa kwa uwekezaji WA kiwanda kidogo.
  16. D

    Nauza godoro qfl dodoma 140k LC 5×6

    Habari ndugu zangu kuna godoro naliuza qfl dodoma size: LC 5×6 bei 140K( negotiable) nipo dar es salaam. Karibuni sana
  17. Baba Atifah

    Computer4Sale Nauza laptop HP probook used as new

    HP PRO BOOK core i5 Generation 4 Ram 4 GB 2.60GHz Window 11 pro 500 GB Cd door WiFi Bluetooth price 390,000 Call 0692562259
  18. jerryempire

    Nauza kitanda na godoro

    Nauza kitanda na godoro Kitanda ni 5/6 mbao ni mninga Godoro ni QFL dodoma nchi 8 ukubwa ni 5/6 Vyote nauza kwa 300k tu sababu ya kuuza ni alikuwa anatumia mwanangu now nmemnunulia vipya Karibu vipo tabata mawenzi 0659756647 calls/whatsapp
  19. E

    NAUZA MAPARACHICHI

    Habarii za Muda, Nauza MAPARACHICHI kutoka moshi kwa gunia, noamba kama kuna mhitaji au dalali wa soko lolote Dar au popote tuwasiliane nikuuzie kwa bei nzuri kabisa, gunia ni 65,000 - 80,000 unaweza kupata idadi ya gunia utakazo Mawasiliano 0658644485
  20. 90sgeneration

    NAUZA OVEN LT 40

    Nauza Oveni lita 40 Kampuni mr uk Bei lak 1.2 tu maongez yapo tabata shuleee 0697224996
Back
Top Bottom