Habari ya leo wakuu,
Ninauza dagaa kwaajili ya chakula ya kuku.
Mawasiliano: +255679903535
Napatikana Dar es Salaam
Bei:
Ndoo ndogo 15,000.
Ndoo kubwa 30,000.
wazee wa kuchomelea vyuma vizito, vigumu
mashine hio hapo inafanya kazi vizuri sana.
niko mwanza igoma
bei elekezi ni Milioni moja Tsh.
Tuwasiliane Whatsapp +255772225555
Wakuu habari za majukumu,
Naandika kwenye jukwaa hili kujulisha lengo langu la kutaka kuuza kampuni yangu ya ulinzi ambayo tayari imekamikika usajili.
Kampuni ilisajiliwa mwaka 2022 na kuanza kufanya kazi,lakini kutokana na sababu zilizo juu ya uwezo wangu nimetangaza kuiuza, Hivyo kama kuna...
Graphic Card Nvidia RTX 2060 Super 8gb
Nauza Tsh 600000/= laki sita
inacheza games zote wakuu niwewe tuu
na wale watu wa 3d hii ni fursa kwako chukua piga kazi kwa uhakika
0657977457
📍Dar es Salaam
Habari wana jukwaaa kama kichwa cha habari kilivoanza hapo juu nauza printer yangu nilokuwa na malengo ya kufanyia kazi ila kutokana na mambo kwenda vile nilivyopanga nimeona bora mali yangu inisaidie kuliko kudhalilika mwenye kuhitaji mawasiliano ni +255747654242 nipo Dar
PLOTS FOR SALE
Total Size – 4000Sqm
Price – 360,000,000 TZS
Location – Mtaa (Sala Sala )
Kata (Wazo )
Barabara (Flamingo Road)
Wilaya ( Kinondoni )
Title Deed – Under process
Residential Purpose
Close to Waziri Dorothy Gwajima
3 plots of 1333 sqm can be sold separately for 120M each.
serious...
Nauza mashine ya kukamua juisi ya miwa. Imetengenezwa sido. Inatumia umeme na imetumika kwa takribani mwezi mmoja. Ipo Kimara DSM
Inauzwa Tsh 700,000/
Phone: 0675336219
Mashine bado ipo wadau
Habari wanaforums! Nauza Mbao za mti wa pine zenye ubora, kipimo kilichojaa na bei rafiki.
Size ambazo zinapatikana ni
2 by 4
2 by 2
2 by 3
1 by 4
1 by 10
1 by 8
1 by 6
Ninapatikana Wino Songea Tanzania
Yard yetu iko Mkabala na njia juu ya Songea - Njombe
Kwa Mawasiliano zaidi piga namba...
Hii simu (Samsung galaxy A04s) ni brand new kutoka dukani nimeitumia miezi 3. Naiuza kwa 300,000 tu! Maongezi yapo. Storage ni GB 128. Memory Ram 4Gb. Ni simu ya kisasa unaweza upgrade kwa mfumo wowote wa kisasa. Sasa hivi ina Android 14.
Niko Dar es Salaam maeneo ya Mbezi mwisho ya kimara...
Wakuu naombeni mniungishe
WA mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa
Hata pc moja nakupa bei ya jumla .
ADAPTER,KEYBOARD, RAM, VIOO VYA LAPTOP, HDD, HDMI CABLES STAND ZA KISHUA,MOUSE ,PROTECTOR . CHARGER ORIGINAL ZA TABLETS NA SIMU
Shalom,
Hope mko poa asee.. makomando na wauza bucha kuna wembe hapa mkali sana kwa ajili ya kazi maalum
Ak47 CcCp mpyaaaa 💥🔥🔥
Shiling 20000 tu, free delivery
Niko mbagala hapa. Kokote nakuletea
NIWAACHIE KWA SHINGAPI SASA HII NINANJAA?
NAOMBA 300K
Naomba kwa hii unipe 180k
IPHONE 7 PLUS naomba 220k
👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽 HIYO IMETOKA DUBAI JANA PIA KAMA ZAWADI YANGU ILA NAKUACHIA KAMA OFFA KWA 650K
RAM 8GB
SSD 256GB
TOUCH SCREEN
NI HP.830
HII NAKUPA KWA BEI YA HASARA PIA
INA
8GB RAM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.