nauza

  1. K

    Nauza dagaa kwaajili ya chakula cha kuku

    Habari ya leo wakuu, Ninauza dagaa kwaajili ya chakula ya kuku. Mawasiliano: +255679903535 Napatikana Dar es Salaam Bei: Ndoo ndogo 15,000. Ndoo kubwa 30,000.
  2. Big Fat Lady

    INAUZWA Nauza Fridge Used (Mr UK)

    SOLD
  3. Down To Earth

    Mwanza: Nauza Industrial Welding Machine.

    wazee wa kuchomelea vyuma vizito, vigumu mashine hio hapo inafanya kazi vizuri sana. niko mwanza igoma bei elekezi ni Milioni moja Tsh. Tuwasiliane Whatsapp +255772225555
  4. Nyabiri

    NAUZA KAMPUNI YA ULINZI

    Wakuu habari za majukumu, Naandika kwenye jukwaa hili kujulisha lengo langu la kutaka kuuza kampuni yangu ya ulinzi ambayo tayari imekamikika usajili. Kampuni ilisajiliwa mwaka 2022 na kuanza kufanya kazi,lakini kutokana na sababu zilizo juu ya uwezo wangu nimetangaza kuiuza, Hivyo kama kuna...
  5. Mr Kazembe

    INAUZWA Nauza Graphic Card Nvidia RTX 2060 super 8GB

    Graphic Card Nvidia RTX 2060 Super 8gb Nauza Tsh 600000/= laki sita inacheza games zote wakuu niwewe tuu na wale watu wa 3d hii ni fursa kwako chukua piga kazi kwa uhakika 0657977457 📍Dar es Salaam
  6. INJECTION TECHNICIAN

    INAUZWA Nauza printer Canon IP1188

    Habari wana jukwaaa kama kichwa cha habari kilivoanza hapo juu nauza printer yangu nilokuwa na malengo ya kufanyia kazi ila kutokana na mambo kwenda vile nilivyopanga nimeona bora mali yangu inisaidie kuliko kudhalilika mwenye kuhitaji mawasiliano ni +255747654242 nipo Dar
  7. iptl skanska

    Plot4Sale Plot for sale at IPTL, Skanska Dar es Salaam

    PLOTS FOR SALE Total Size – 4000Sqm Price – 360,000,000 TZS Location – Mtaa (Sala Sala ) Kata (Wazo ) Barabara (Flamingo Road) Wilaya ( Kinondoni ) Title Deed – Under process Residential Purpose Close to Waziri Dorothy Gwajima 3 plots of 1333 sqm can be sold separately for 120M each. serious...
  8. USSR

    Nauza viti hivi vipo zaidi ya 4000

    Kuna hivyo vya aina kama blue bahari 9500/= alafu Sina hiyo nyingine kama blue iliyokolea 8500/= Ni hasara but inabidi nifanye hivyo. Njoo inbox USSR
  9. J

    Nauza mashine ya kukamua juisi ya miwa. Imetengenezwa sido. Inatumia umeme na imetumika kwa takribani mwezi mmoja. Ipo Kimara DSM

    Nauza mashine ya kukamua juisi ya miwa. Imetengenezwa sido. Inatumia umeme na imetumika kwa takribani mwezi mmoja. Ipo Kimara DSM Inauzwa Tsh 700,000/ Phone: 0675336219 Mashine bado ipo wadau
  10. 90sgeneration

    Nauza Samsung Fridge

    Halina shida yoyote ni 100% Msasani bei ni fixed 380k aipungui, hivo hakuna maongezi please🙏 +255685909105
  11. P

    Mashudu ya Karanga nauza nipo Dodoma

    Mashudu mazuri ya karanga nauza nipo Dodoma bei maelewano nicheki kwa namba zangu +255682761740 tufanye biashara iliyonyooka ipo Tani 30 kilo sh.800
  12. kinojet

    Nauza HP laptop Laki 2 tu

    HP laptop Intel core i3,Ram 4gb HD 320gb ,simu 0786570530
  13. kinojet

    Computer4Sale Nauza Laptop Lenovo 400,000/-

    Lenovo laptop G50 , Intel core i7 RAM 4gb HDD 500gb, Graphics card 2gb ,simu 0786570530
  14. Chiareto Haule

    Nauza mbao za mti wa pine

    Habari wanaforums! Nauza Mbao za mti wa pine zenye ubora, kipimo kilichojaa na bei rafiki. Size ambazo zinapatikana ni 2 by 4 2 by 2 2 by 3 1 by 4 1 by 10 1 by 8 1 by 6 Ninapatikana Wino Songea Tanzania Yard yetu iko Mkabala na njia juu ya Songea - Njombe Kwa Mawasiliano zaidi piga namba...
  15. Falzkunta

    Computer4Sale Nauza Laptop Yangu

  16. Andazi

    Computer4Sale Nauza PC mbovu

    Solid out
  17. Atlast nimempata

    Phone4Sale Nauza simu mpya Samsung galaxy A04s

    Hii simu (Samsung galaxy A04s) ni brand new kutoka dukani nimeitumia miezi 3. Naiuza kwa 300,000 tu! Maongezi yapo. Storage ni GB 128. Memory Ram 4Gb. Ni simu ya kisasa unaweza upgrade kwa mfumo wowote wa kisasa. Sasa hivi ina Android 14. Niko Dar es Salaam maeneo ya Mbezi mwisho ya kimara...
  18. Miss Natafuta

    Nauza vifaa vya laptop tablets na desktop kwa bei ya jumla

    Wakuu naombeni mniungishe WA mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa Hata pc moja nakupa bei ya jumla . ADAPTER,KEYBOARD, RAM, VIOO VYA LAPTOP, HDD, HDMI CABLES STAND ZA KISHUA,MOUSE ,PROTECTOR . CHARGER ORIGINAL ZA TABLETS NA SIMU
  19. Kalaga Baho Nongwa

    Nauza kisu cha kukunja

    Shalom, Hope mko poa asee.. makomando na wauza bucha kuna wembe hapa mkali sana kwa ajili ya kazi maalum Ak47 CcCp mpyaaaa 💥🔥🔥 Shiling 20000 tu, free delivery Niko mbagala hapa. Kokote nakuletea
  20. EDIGAR JO

    Nauza vitu mbalimbali

    NIWAACHIE KWA SHINGAPI SASA HII NINANJAA? NAOMBA 300K Naomba kwa hii unipe 180k IPHONE 7 PLUS naomba 220k 👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽 HIYO IMETOKA DUBAI JANA PIA KAMA ZAWADI YANGU ILA NAKUACHIA KAMA OFFA KWA 650K RAM 8GB SSD 256GB TOUCH SCREEN NI HP.830 HII NAKUPA KWA BEI YA HASARA PIA INA 8GB RAM...
Back
Top Bottom