nauza

  1. Damaso

    Nauza Airtag Mpya kabsa- Elfu 50

    AirTags zilitangazwa katika hafla ya uzinduzi wa Apple mnamo tarehe 20 Aprili 2021. Zitatolewa tarehe 30 Aprili, lakini unaweza kuagiza mapema wakati huo sasa. Maagizo ya mapema yalianza tarehe 23 Aprili. Apple AirTags ni vifaa vya ufuatiliaji vyenye teknolojia ya Bluetooth vilivyoundwa...
  2. J

    Nauza welding machine

    Ni mashine mpya kama inavyoonekana pichani. 160 AMP Single phase. Bei 450000
  3. Kakondele

    Tunauza Magari Makubwa na madogo ya aina mbalimbali

    Basi lenye Terias injini ya scania 113 hoarse power 320 body limetengenezewa kenya linauzwa lipo katika hali nzuri na hivi sasa linatembea na injini yake haijawai kuguswa.bei yake ni rahisi ambayo hata watu wahali ya chini wanaweza kumudu kwa mawasiliano zaidi bei ni tzsh mil 50,000,000 sababu...
  4. kali linux

    SOLD: Nauza iPhone XS Max Gold, bei ya kutupa

    Hello bosses and roses... Nauza Apple iPhone XS Max Gold kwa 500k tu. Nimeitumia kwa miezi miwili tu, battery health ni 87%. Bado ni mpya kimwonekano hata kimatumizi. UPDATE. ======== SOLD
  5. F

    Nauza dagaa waliokaangwa kutoka Mwanza wenye viungo

    Habari za Leo wapendwa! Leo nawaletea biashara ambayo unaweza kuifanya kwa mtaji mdogo na kuifurahia. BIASHARA YA DAGAA NYAMANONO yaan dagaa waliokaangwa kutoka Mwanza. Dagaa Hawa wakiwa wabichi, huoshwa vizuri na kuwekewa viungo Kama Chumvi, Swaum, tangawizi na limao. Baada ya hapo...
  6. Top007

    Nauza maembe Jumla

    Niko Kibamba CCM . Bei 300 Tsh kwa embe moja . Aina dodo na apple Piga: 0678650509
  7. Waibi fredy

    Nauza heka zangu 3 mili 3 na nusu

    Wapendwa kimfaa mtu chake nauza heka zangu zote 3 zipo Bagamoyo karibu na plot ya Bakhresa. Ni mali yangu halali nauza kwa sababu nipo mbali. Piga kwa maelezo zaidi 0715160365. Ni mali yangu hakuna dalali.
  8. D

    Nauza Abaya kwa bei ya ofa Januari Tsh 30,000

    Nauza Abaya kwa bei ya Januari Tsh 30,000. Nipo Dar es Salaam
  9. Jiran mwema

    INAUZWA Nauza Refrigerator aina ya FrigoGlass, Niko Mwanza

    Habari Wanajamvi! Wacha niende Moja kwa Moja kwenye Maada yangu. Nina shida ya kifedha, hivyo nalazimika kuuza friji yangu aina ya frigo. Glass(650Ltrs)nimeitumia miezi mitano tu, kwamaana hiyo Bado ni mpya na iko kwenye hali nzuri. Bei ni Tshs 650,000/= Kwa mawasiliano nicheki 0745 493961
  10. dvj nasmiletz

    Phone4Sale Nauza simu yangu samsung A10s tsh 150000

    Simu ipo katika hali nzuri haisumbui choxhote Bei 150000 Ram2gb Storage gb32 Line 2 4g Fingerptint 5000 battery Clean camera 0627474141 Pugu dsm
  11. V

    Nauza balo za mtumba grade 1

    Karibuni sana Bei chee tunauza balo za mtumba grade 1 ukitaka nguo za kupoint zipo. Tuna balo za nguo aina zote. Gauni za kike Suruali za kike Mabwanga Skin and boyfriend jeans Mashati T-shirt Cargo jeans. Cardet Na nyinginezo nyingi Tunapatikana mtongani temeke dar es salaam Mawasiliano...
  12. Yusomwasha

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Weka tangazo,mahali ulipo bei ya tv na aina yake pamoja na namba ya simu karibuni. Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo; Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza Kama ni bidhaa, elezea hali yake (mpya au imetumika muda gani) huku...
  13. N

    INAUZWA Nauza mrUk Subwoofer kubwa bei chee Tshs 110,000

    Nauza Subwoofer aina ya mrUk UK21T23 kwa bei ya Tshs 110,000 Nimeitumia kwa muda wa miezi 3 tu bado ina upya wake na boksi lake pia bado lipo Haina tatizo la aina yoyote na haijawahi kwenda kwa fundi ila naiuza ili nitatue changamoto zangu Ukiiona ndo utaamini ninachoeleza hapa Karibu...
  14. Y

    INAUZWA Nauza Bajaji Namba B

    Bajaji Bei 1.5M, Iko vzur engine iko vzur, njoo ukague ulipie uondoke nayo mawasiliano 0693 794 907 location Dar es salaam Airport N.B haijaenda body.
  15. Dr Matola PhD

    Car4Sale Nauza Gari Kali, Jeep WRANGLER

    Nauza Gari yangu Aina ya Jeep WRANGLER ya Mwaka 2018. Registration T 127 CUA Make: Jeep Model: WRANGLER Body type: Station Wagon Colour: Green Year: 2018 Fuel: Diesel Price: 65,000,000/=
  16. FirstClass

    Nauza crets za bia na soda

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, napatikana Mbezi Beach Jogoo.. Gharama ya kila cret ni Sh 15000. Napatikana kwa namba 0764813772.. Karibuni
  17. ENICK

    Nauza ndoo za lita 20 nzito nyeupe transparent

    Nauza ndoo za lita 20 nzito nyeupe transparent bei ya jumla 0768686677.
  18. Kalaga Baho Nongwa

    Nauza vikombe, kumi ni 14,500/- TU

    Habari wakuu, Nina vikombe vya udongo takriban 200 hapa ofisini naviuza. Chukua kuanzia 10, update kwa elfu 14500 TU. Call 0628731833
  19. the lucky mlokole

    Nauza kuku aina ya saso umri miez 3

    Nauza kuku aina ya saso umri miez 3 Bei 12000 location tanga korogwe Mikoa jiran wanakufkia ninao 85 Mawasliano 0682060425
  20. I

    Computer4Sale Nauza HP Folio 9470M, Dodoma Mjini

    Habari Wakuu, Nauza laptop yangu sio dalali. Hp,Core i5, Intel(R) Core (TM) i5 Family Processor 4th Generation Laptop 4GB installed RAM. Processing Frequency of 2.40GHz X 2.3GHz. 4CPU's (Core Processing Units) 500GB of HDD STORAGE. Backlight keyboard Bluetooth & webcam Original Hp folio...
Back
Top Bottom