It has Pen which helps it to TouchScreen also👇
Lenovo 300e x360’✅
Intel celeron✅
Ram 4GB✅
Ssd 128GB✅
Touchscreen✅
Kioo inch 12.5✅
Supper slim✅
Pen✅
Bei 350,000/= Tu🔥
CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404
Tunauza mbao zilizokomaa zadawa buguruni
2/2 2900
2/4 5000
1 by 8 12000
1by10 16,000
Misumali inch 4 bei 3500
Misumali ya bati ya rangi pakt kg1 bei 10,000
..
Zote hizo ni ft 12
Piga sim 0743257669
Compressor machine L 1000, Gas cylinder 2, Floor Jack 3ton, Dry vacuum cleaner, Car pressure wash machine, Welding machine. Vyote kwa jumla 4ml tu.
Nipo sinza. Bei sawa na bure. Wahi mapema kabisa tajiri
Mawasiliano
0767266299
Ukiitaji chochote hapo juu mkuu nicheki
Bei zangu ni za viwandani na bidhaa ni uhakika. Pia ukiitaji ushauri kuhusu biashara hizi nipo tayari
Mikoani natuma kwa uaminifu Sana
Whatsup 0764225747
Kwa Mungu yote yanawezekana
Karibuni sana vunjabeimtumbagrade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 tuna balo za nguo aina zote Leo nawapa Bei ya nguo baadhi tu
✅Jeans kiume 450000 kike 320000 PC 80 mpk 90
✅nguo ya mtoto 400000 PC 350
✅ gauni 400000 PC 130
✅blouse 380000 pc 280
✅shati 900000 PC 200
✅viatu 250 PC 40
✅ school...
Habari wanajukwaa wenzangu najua mko poa, kama kichwa cha tangazo kinavojieleza nauza kabati langu la mninga lina mwaka mmoja tu toka nilinunue na nilinunua bei kubwa sana nadhani wengi mnafahamu mbao ya mninga ulivo imara na bei kubwa ni 6 ×5 ,lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni...
Habari za leo ndugu zangu najua mko poa, naenda kweny dhumuni langu kama kichwa cha uzi kinavojieleza, nauza kabati langu la mninga, nimelinunua lina mwaka mmoja tu ni 6×5 lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni tsh 299,000 /= halina kipengere chochote wala changamoto yoyote ni mali...
Nauza Mitsubishi Outlander ya 2009, bei ni Mil 18. Niliagiza ikiwa na Km 132,000 (Genuine) sasahivi ina km 150,000 kwahiyo nimeitembelea Km 18,000 tu. Haina shida yoyote kwenye engine, gearbox wala body. Doc zote zipo kwenye jina langu. Niliinunua mwezi wa 9/2022 then 2023 nikaipaki home Dodoma...
Habari maboss wangu.
Ni Mimi Kwa mara nyingine tena nakuletea nyumba hii ipo Mbagala kibulugwa.
Kiwanja hiki kina nyumba mbili ndani ya fensi.
Hapa unaweza kufanya uwekezaji wa Lodge Kali sana mana nyumba ipo katika ya mtaa na magari yanapita hapa boss.
Lakini ukiamua wewe mwenyewe...
Karibuni sana vunjabeimtumbagrade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 nguo kutoka uk china Dubai na Canada
Whatapp group VUNJABEI BALO ZA MTUMBA GRADE 1 QUALITY 👕👖👙👟
Mawasiliano 0657710078
Tunapatikana Ilala dar es salaam mkoani tunafanya delivery
Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693
Price 380,000
WhatsApp 0737317870 au jambojambo633@gmail.com
1. Richest man in Babylon 20,000.
2. The Law of success 18,000.
3. Side hustle 45,000.
4. The magic of thinking Big 30,000.
5. How to handle difficult people 25,000.
6. Rich dad, poor dad 25,000
7. The subtle art of not giving a f* 45,000.
8. Talk...
Wadau nina eneo upande wa shule ya msingi misugusugu iliyopo mkoani Pwani ninauza ni karibu na eneo la viwanda vya wachina. Pia unapita eneo la Usangu logistics.
Jirani ni msikiti, na kiwanda cha tissue
5,865 sqm
Urefu 141.01m
Upana 45.62
Bei 18.75M
Dalali 10%(kwa dalali akileta mteja)
Umbali...
Nauza king'amuzi cha Startimes kikiwa na dish lake, remote controller, waya wake wa kutoka kwenye dish hadi kwenye decoder pamoja na power adopter yake kwa Tshs 35,000
Kimetumika miezi 4 tu
Nipo Mbezi Luis
Mawasiliano 0767696021
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.