nauza

  1. E

    Computer4Sale Nauza Laptops Used Clean as New

    Hp Elitebook x360 830 g8 , Core i5-11th Gen, Ram 16gb, Ssd 256Gb, Display size 13.3” , Touchscreen x360 , Backlit Keyboard, Price 1,550,000/= CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404 MAWASILIANO BUS STAND
  2. E

    Computer4Sale Nauza Laptops Refurbished Clean as New

    It has Pen which helps it to TouchScreen also👇 Lenovo 300e x360’✅ Intel celeron✅ Ram 4GB✅ Ssd 128GB✅ Touchscreen✅ Kioo inch 12.5✅ Supper slim✅ Pen✅ Bei 350,000/= Tu🔥 CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404
  3. stabilityman

    Nauza mbao za dawa buguruni

    Tunauza mbao zilizokomaa zadawa buguruni 2/2 2900 2/4 5000 1 by 8 12000 1by10 16,000 Misumali inch 4 bei 3500 Misumali ya bati ya rangi pakt kg1 bei 10,000 .. Zote hizo ni ft 12 Piga sim 0743257669
  4. K

    Nauza jenerator ndogo inayofanya welding

    Habari wadau nauza jenereta ndogo unayoweza tumia kama welding machine kama unahitaji nicheki 0626333300
  5. Chance ndoto

    NAUZA Compressor machine, Gas cylinder 2, Floor Jack 3ton, Dry vacuum cleaner, Car pressure wash machine, Welding machine.

    Compressor machine L 1000, Gas cylinder 2, Floor Jack 3ton, Dry vacuum cleaner, Car pressure wash machine, Welding machine. Vyote kwa jumla 4ml tu. Nipo sinza. Bei sawa na bure. Wahi mapema kabisa tajiri Mawasiliano 0767266299
  6. Miss Natafuta

    Nauza laptop & phone accessories/solar /flat TV na majiko ya gesi kwa jumla na rejareja bei mserereko

    Ukiitaji chochote hapo juu mkuu nicheki Bei zangu ni za viwandani na bidhaa ni uhakika. Pia ukiitaji ushauri kuhusu biashara hizi nipo tayari Mikoani natuma kwa uaminifu Sana Whatsup 0764225747 Kwa Mungu yote yanawezekana
  7. V

    NAUZA MABALO YA MTUMBA NAPATIKANA ILALA BOMA 0657710078

    Karibuni sana vunjabeimtumbagrade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 tuna balo za nguo aina zote Leo nawapa Bei ya nguo baadhi tu ✅Jeans kiume 450000 kike 320000 PC 80 mpk 90 ✅nguo ya mtoto 400000 PC 350 ✅ gauni 400000 PC 130 ✅blouse 380000 pc 280 ✅shati 900000 PC 200 ✅viatu 250 PC 40 ✅ school...
  8. Bujoro

    Nauza Kabati la Mninga Bei Sawa Na Bure tsh 299,000/=

    Habari wanajukwaa wenzangu najua mko poa, kama kichwa cha tangazo kinavojieleza nauza kabati langu la mninga lina mwaka mmoja tu toka nilinunue na nilinunua bei kubwa sana nadhani wengi mnafahamu mbao ya mninga ulivo imara na bei kubwa ni 6 ×5 ,lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni...
  9. Bujoro

    Nauza Kabati la Mninga Bei Sawa Na Bure tsh 299,000 /=

    Habari za leo ndugu zangu najua mko poa, naenda kweny dhumuni langu kama kichwa cha uzi kinavojieleza, nauza kabati langu la mninga, nimelinunua lina mwaka mmoja tu ni 6×5 lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni tsh 299,000 /= halina kipengere chochote wala changamoto yoyote ni mali...
  10. MaduhuJ

    Nauza gari Mitsubishi Outlander (2009) - Bei ni Mil 18.

    Nauza Mitsubishi Outlander ya 2009, bei ni Mil 18. Niliagiza ikiwa na Km 132,000 (Genuine) sasahivi ina km 150,000 kwahiyo nimeitembelea Km 18,000 tu. Haina shida yoyote kwenye engine, gearbox wala body. Doc zote zipo kwenye jina langu. Niliinunua mwezi wa 9/2022 then 2023 nikaipaki home Dodoma...
  11. E

    Nauza twin za mastercable 1.5 na 2.5 roller 2 bei 370,000/- zote mbili

    Piga simu Kwa maelezo zaidi 0685590415
  12. Dalali wa mjini

    Nauza nyumba Mbagala Kibulugwa.

    Habari maboss wangu. Ni Mimi Kwa mara nyingine tena nakuletea nyumba hii ipo Mbagala kibulugwa. Kiwanja hiki kina nyumba mbili ndani ya fensi. Hapa unaweza kufanya uwekezaji wa Lodge Kali sana mana nyumba ipo katika ya mtaa na magari yanapita hapa boss. Lakini ukiamua wewe mwenyewe...
  13. V

    Nauza mabalo ya mtumba

    Karibuni sana vunjabeimtumbagrade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 nguo kutoka uk china Dubai na Canada Whatapp group VUNJABEI BALO ZA MTUMBA GRADE 1 QUALITY 👕👖👙👟 Mawasiliano 0657710078 Tunapatikana Ilala dar es salaam mkoani tunafanya delivery
  14. Delacruzito

    Wakuu nauza hp probook mali yangu binafsi

    Hp proboook Proccessor intel-pentium inside (7thgeneration) Ram 8gb HDD 500gb Battery 4hrs Price 280k 0628116693 Airport Dar Es Salaam
  15. Delacruzito

    Nauza Laptop yangu mwenyewe haina kipengele

    Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693 Price 380,000
  16. T

    INAUZWA Nauza pikipiki aina ya Honlg

    Wanajamvi nauza pikipiki imetumika no .MC439 CUN aina HONLG ipo mbezi ya kimara. Bei 700,000 Njoo DM tuongee
  17. J

    Habari nauza nguo za mtumba nipo Dar es salaam wapi nikitembeza naweza nikapata soko kirahisi naombeni ushauri wenu

    Mimi ni kijana mjasiriamali naombeni ushauri wenu nauza nguo za mtumba za watoto nikitembeza wapi naweza nikapata soko kirahisi nipo dar es salaam
  18. PamojaTz

    Nauza vitabu vya hard copy

    WhatsApp 0737317870 au jambojambo633@gmail.com 1. Richest man in Babylon 20,000. 2. The Law of success 18,000. 3. Side hustle 45,000. 4. The magic of thinking Big 30,000. 5. How to handle difficult people 25,000. 6. Rich dad, poor dad 25,000 7. The subtle art of not giving a f* 45,000. 8. Talk...
  19. T

    Plot4Sale Nauza shamba eneo la viwanda misugusugu

    Wadau nina eneo upande wa shule ya msingi misugusugu iliyopo mkoani Pwani ninauza ni karibu na eneo la viwanda vya wachina. Pia unapita eneo la Usangu logistics. Jirani ni msikiti, na kiwanda cha tissue 5,865 sqm Urefu 141.01m Upana 45.62 Bei 18.75M Dalali 10%(kwa dalali akileta mteja) Umbali...
  20. Zero Competition

    INAUZWA Nauza king'amuzi cha Startimes na dish lake

    Nauza king'amuzi cha Startimes kikiwa na dish lake, remote controller, waya wake wa kutoka kwenye dish hadi kwenye decoder pamoja na power adopter yake kwa Tshs 35,000 Kimetumika miezi 4 tu Nipo Mbezi Luis Mawasiliano 0767696021
Back
Top Bottom