Hiki kifaa kinaitwa ID-WTM6 TRIMMER, KAZI YAKE NI PAMOJA NA KUTENGENEZA MAPAMBO KWENYE MBAO NA NAKISHI, NI KIZURI SANA KWA WATENGEZA FURNITURE
LEO NA KIUZA KWA BEI NDOGO SANA 120000 TU.
Namba 0617009453
DSM
Kiwanja kipo kigamboni mwasonga tulivu kina ukubwa wa sqm 480 kipo mpaka mmoja na shule majira wawili watatu wapo kiwanja ni changu mwenyewe hakina dalali nina shida na ndio maana nauza
Bei 3.2Milioni
Maongezi kidogo yapo
Cantact 0687536389
Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4
Bei:7500
Location Sae Mbeya, 0676692082
SIFA
Wana stahimili magonjwa
Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea
Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji
Nyama na mayai ya kloila yana ladha...
Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4
Bei:7500
Location Sae Mbeya, 0676692082
SIFA
Wana stahimili magonjwa
Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea
Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji
Nyama na mayai ya kloila yana ladha...
Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Nauza diesel iliyothibithswa na yenye Vibali vya EWURA, nauza Lita 2600 tshs
Sharti: Ili tufanye biashara lazima uwe unanunua kuanzia kuanzia Lita elfu 50 kuendelea
Eneo: Dar-Es-Salaam
Mawasiliano:0761419399
Habari za asubuhi wadau, Naiman mko salama kabisa.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ,nimeamua kuuza hii kwa sababu ya ukata tu ila radio nzima. Hizi ni picha za hip radio husika. Bei ni 340k
Baada ya kujidunduliza na kujinyima nyima nikapata kamtaji ka kupata nusu tani ya mchele
Nauza mchele kwa bei ya 1600 ,1800,2400 na 2800
Flem yangu ipo chamazi jirani na uwanja wa azam complex,pia nafanya delivery kwa wale ambao watakosa muda wa kufika ninapouzia
Namba yangu ni 0682528220.
Wadau Habari?? Nna youtube account yangu taarifa zake ni hivi ...
-It has 13usd, now it only needs identity verification.
-Has 4k+ subs
- per average it has 900 view Hours per every month since January 2024. Sometimes it hit 1.5k watching hours.
_ views kwa wasting ni 12k
-it has educational...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.