nauza

  1. African businesses

    LEO NAUZA HIKI KIFAA KWA BEI YA MWAKA MPYA

    Hiki kifaa kinaitwa ID-WTM6 TRIMMER, KAZI YAKE NI PAMOJA NA KUTENGENEZA MAPAMBO KWENYE MBAO NA NAKISHI, NI KIZURI SANA KWA WATENGEZA FURNITURE LEO NA KIUZA KWA BEI NDOGO SANA 120000 TU. Namba 0617009453 DSM
  2. J

    Plot4Sale Nauza kiwanja

    Kiwanja kipo kigamboni mwasonga tulivu kina ukubwa wa sqm 480 kipo mpaka mmoja na shule majira wawili watatu wapo kiwanja ni changu mwenyewe hakina dalali nina shida na ndio maana nauza Bei 3.2Milioni Maongezi kidogo yapo Cantact 0687536389
  3. Elma91

    Plot4Sale Nauza kiwanja Dodoma

    Habari, nauza kiwanja Dodoma kipo eneo la michese square meter 520, hati ipo,bei mil. 15 kwa maelezo zaidi nitafute. 0692776355
  4. Mejasoko

    Nauza photocopy machine xerox 7220 kama screpa bei 500k, mazungumzo yapo.

    Shida yake ni moto tu inajiwasha na kujizima. Muonekano wake ni kama hapo pichani.
  5. S

    NAUZA VIFARANGA VYA KLOILA

    Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4 Bei:7500 Location Sae Mbeya, 0676692082 SIFA Wana stahimili magonjwa Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji Nyama na mayai ya kloila yana ladha...
  6. S

    Nauza vifaranga vya Kloila

    Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4 Bei:7500 Location Sae Mbeya, 0676692082 SIFA Wana stahimili magonjwa Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji Nyama na mayai ya kloila yana ladha...
  7. P

    Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
  8. Chura

    NAUZA MAFUTA YA DIESEL LITA ZAIDI YA MILIONI MOJA.

    Nauza diesel iliyothibithswa na yenye Vibali vya EWURA, nauza Lita 2600 tshs Sharti: Ili tufanye biashara lazima uwe unanunua kuanzia kuanzia Lita elfu 50 kuendelea Eneo: Dar-Es-Salaam Mawasiliano:0761419399
  9. M

    Nauza chainsaw

    Aina NI hausqavar Model 272 Imetumika miezi mitatu Tu Bei NI Million 1.5
  10. M

    Nauza chainsaw

    Aina ni hausqavarna Imetumika miezi mitatu Bei NI Million 1.5 Made in Brazil
  11. M

    Nauza chainsaw

    Aina NI hausqavar Imetumika miezi mitatu Bei 1.5
  12. buyoya419

    INAUZWA Nauza Stand za laptop

    Nauza Stand ya laptop ya aluminium Zimebaki 9 Bei 15,000 Temeke Dar es salaam Namba 0710-599-055
  13. Kilangi masanja

    NAUZA JBL CHARGE 5

    Habari za asubuhi wadau, Naiman mko salama kabisa. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ,nimeamua kuuza hii kwa sababu ya ukata tu ila radio nzima. Hizi ni picha za hip radio husika. Bei ni 340k
  14. C

    Nauza mchele kwa bei rafiki

    Baada ya kujidunduliza na kujinyima nyima nikapata kamtaji ka kupata nusu tani ya mchele Nauza mchele kwa bei ya 1600 ,1800,2400 na 2800 Flem yangu ipo chamazi jirani na uwanja wa azam complex,pia nafanya delivery kwa wale ambao watakosa muda wa kufika ninapouzia Namba yangu ni 0682528220.
  15. kikoozi

    Nauza computer yangu HP ProBook 450 G4

    NAUZA COMPUTER YANGU BINAFSI AINA YA HP PROBOOK YENYE SIFA ZIFUATAZO Model: HP Probook 450 G4 CPU: core i7 7th GENERATION Storage: 512GB (Ssd). Ram: 16Gb Price: Tsh. 680,000/= NOTE: Location DSM TANZANIA Whatsap No: 0716056030 Call Number: 0714739838
  16. Goodluck Boaz

    Nauza pikipiki npo moshi mjini, bei 1.5M maongez yapo kwa mawasiliano 0672901144

  17. deNavigator

    Nauza monetized youtube account

    Wadau Habari?? Nna youtube account yangu taarifa zake ni hivi ... -It has 13usd, now it only needs identity verification. -Has 4k+ subs - per average it has 900 view Hours per every month since January 2024. Sometimes it hit 1.5k watching hours. _ views kwa wasting ni 12k -it has educational...
  18. chazi piere

    Nauza gari mitsubishi canter D33 tiper

    Gari ipo kwala Bei M 13 For more details Contact 0578804442
  19. dalaliadam

    Nauza kitanda cha mbao ngumu 4×6

    Ukubwa ni 4×6 Bei 65,000 Kipo Mbezibeach Tangibovu 0687614981
Back
Top Bottom