nauza

  1. kuntakinte9320

    Nauza redio yangu Boss 180 iko Chamazi

    Nuza redio yangu aina ya BOSS mali halali iko chamazi piga simu 0711427984
  2. buyoya419

    Nauza drill full box mpya

    Nauza drill full box mpya(Ina bit tano na vichwa viwili) Inatoboa zege,chuma na mbao Ina sehemu ya nyundo,inazunguruka pia na sehemu zilizoungana zoye hizo Zipo pcs 8 Bei 180,000 Nipo temeke Dar es salaam Namba 0710 599 055
  3. The last don

    Nauza kiwanja chenye hati mbweni teta

    Habari wakuu nauza kiwanja chenye hati ( SURVEYED PLOT) MBWENI MPIJI (Block No 09,Plot 139) UKUBWA WA KIWANJA SQM 820 KUNA BANDA KUBWA LA VYUMBA VINNE LENYE WAPANGAJI BEI: 110M MAWASILIANO:0621973591 Kwa video na picha zaidi nichek Whatsap. Nb: Kiwanja hakina udalali nauza mwenyewe ila dalali...
  4. Makonde plateu

    Nilikuwa nauza mgahawa sasa nina hotel mbili

    Kwa hapa nilipo nashukuru, nimefanya kazi ya kupika na kuuza chakula hapa mjini kwa miaka 10 sasa tangu mume wangu alipoamua kuniacha na kuoa mwanamke mwingine. Mume wangu aliponiacha nilipitia hali ngumu ya maisha haswa kulipa kodi, kuwapatia watoto chakula, kuwavalisha na huduma nyingi ambazo...
  5. B

    Nauza Laptop aina ya Dell Latitude E5470

    Nauza laptop yangu ambayo nimekuwa nikitumia kwenye mambo yangu ya maswala ya IT. Ipo vizuri, japo kuna marekebihso kidogo utakachofanya, ni marekebisho ambayo hayaathiri utendaji wake, ni kubadilisha mkanda kwa gharama isiyozidi tsh elfu 20. SPECIFICATION Model: Dell Latitude E5470 Processor...
  6. A

    Nauza SmartTv aina ya TCL inch 32

    Habari zenu Wakuu, Nauza Tv ya TCL inch 32 SmartTv kwa 320,000 tu! Tv ni nzima na haijawahi kwenda kwa fundi. Napatikana Dar es Salaam. Mawasiliano 0626753305
  7. M

    TYPE-C FLASH FOR SALE

    Nauza flash mpya zenye uwezo wa kuhamisha na kuhifadhi mafaili kutoka kwenye simu kwenda kwenye computer na kutoka kwenye computer kwenda kwenye simu karibuni zipo gb 4 @1000na gb 16 @12000
  8. Kalaga Baho Nongwa

    Nauza pochi kali, ofisi yangu ipo Kawe Ukwamani

    Wakuu kwema? Mzee wa machimbo leo chimbo mimi mwenyewe. Naweka mfululizo wa pochi kali ninazoleta kutoka china mimi mwenyewe Ofisi yangu iko kawe ukwamani. Frem mpya za Lugalo Mikoani utatumiwa kwa uaminifu mkubwa kabisa Mawasiliano: 0628731833/0778321833
  9. Y

    Nauza mabanda ya kuku makubwa sana

    Habari nauza mabanda hayo yako mawili ya kufugia yameisha kabisa na bado kuna kiwanja kimebaki kikubwa tu pembeni eneo lipo chanika mvuti mwisho sio mbali na barabara kabisa bei ni million6 kwa sehemu yote mawasiliano 0699361038
  10. Roseyree

    Sale sale: Jamani karibuni nauza Mtumba gauni 3500 tu na vishati 1500 tu sketi imebaki moja 2000 tu karibuni sale ya moto Mbezi Magufuli

    Kabla ya kufungua mzigo mpya nimeamua nifanye sale Jaman nauza gauni mtumba quality 3500 af tatu tu Sket imebak moja 2000 tu Vitop vishat 1500 tu Karibuni sana wasap or call 0625056158
  11. Crocodiletooth

    Nauza kitabu hiki kwa sailing 500,000/- tu soft copy!

    Kina uwezo mkubwa kupindukia hasa kwa wale watu wa treasury finder Siri nyingi duniani zimefichwa kwenye vitabu, tusome vitabu.
  12. O

    Nauza laini za wakala Tigopesa, Mpesa, Airtel money na Halopesa na Selcom Machine.

    Nauza laini za wakala Tigopesa, Mpesa, Airtel money na Halopesa na Selcom Machine Laini za uwakala zote nne nauza kwa 300,000 Mashine ya selcom nauza kwa 200,000.(Inafanya kazi na ia hali nzuri) Laini zote zimesajiliwa kwa jina moja la biashara,hivyo ni rahis kwa wewe kwenda kuzibadilisha...
  13. Neema Mkangwa

    Nauza Ubuyu Mtamu sana kwa Bei ya Jumla na Rejareja

    Jipatie ubuyu mtamu sana wa kiarabu ambao unapata kwa ladha tofauti tofauti Ladha ya Vanilla Ladha ya Chocolate Ladha ya Pilipili Ni mtamu na hauchubui Mdomoni Call:0752228138 Jumla na Rejareja
  14. ndege JOHN

    Nauza Mbwa wadogo

    sio mimi wa kwangu ila mimi ninkama mtu wa kati tu kuna rasi mmoja anavyo anauza 20000 tu ila naye cha juu changu hapo tufanye 30000 GO AWAY. Nakutumia kutokea Mtwara wewe kazi yako kuwapokea dar tu ni wazuri sana mimi nimekachukua kamoja kadume bado sijakatungia jina. Any suggestions?
  15. manyanga21

    Nauza Mashine ya kukamua na kuchuja alizeti no 120

    Nauza Mashine ya kukamua na kuchuja alizeti no 120 ,umeme stree phrase, tani 6.5 per 24.bei 26,500,000 ,napatikana kwa namba 0713503753 tupo dar es salaam
  16. Tyrex

    Nauza iphone X 64gb

    Iphone X 64gb Face ipo Battery 100 Power button haifanyi kazi 0743586474
  17. mossTV

    NAUZA ANDROID TV BOX YENYE IPTV ACCOUNT YENYE CHANNEL ZOTE ZA DSTV MOVIES NA SERIES

    ANDROID TV BOX YENYE IPTV ACC.. INA CHANNEL ZOTE ZA DSTV ZA MICHEZO, BURUDANI, HABARI, MUSIC.. SUPER SPORT ZOTE LIVE.. KAMA UNA INTERNET NYUMBANI AU OFISINI HAUNA HAJA YA DIKODA WALA MALIPO YA MWISHO WA MWEZI.. channel zaid ya 9000+ PIA KUNA MOVIE ZOTE NA SERIES ZOTE FULL HD MPAKA 4K RESOLUTION...
  18. Roseyree

    Nauza Magauni ya mtumba, jumla 2500 hadi 3000. Unapata gauni kali

    Hellow wapendwa nauza nguo za mtumba kali Magauni na tops kali pia. -Magauni jumla utapata kuanzia sh 2000, 2500 tu hadi 3000 guys vigauni vizuri mnoo ambayo ukienda kuuza unapata faida kama unataka kuanza biashara karibu Nauza magauni kwa reja reja pia kuanzia sh elfu 7000 hadi 15000...
  19. aqeelah

    Nauza freezer lita 300

    Nauza hii freezer ya West Point inagandisha barafu na umeme ukikata inaweza Kaa masaa 12, haina shida yoyote, inapatikana kijitonyama dar es salaam. Bei ni 300,000. Oven 80,000 Deep fryer 100,000
  20. E

    Nauza Betri za sola zilizochoka

    Karibu mysol kampuni inayojihusisha na uuzaji wa Sola za mikopo karibu tunazo Sola watts 80,120,na 200 na tunauza kwa cash ama mkopo unatanguliza ela kidogo na unafungiwa vifaa vyako nyumbani pamoja na azamtv na kifurush Cha mwez mzima karibu tukuhudumie
Back
Top Bottom