Kampuni: Honor LED
Watts 3 - 10,000 PC 10
Watts 5 - 12,000 PC 10
Watts 7 - 13,000 PC 10
Watts 9 - 14,000 PC 10
Free Delivery piga : 0614502969
Dar na mikoani
Wakuu
Kama muonavyo kwenye picha, hawa ni baadhi ya Kuku ambao nauza.
Kuku wapo Dar es Salaam, Mbweni JKT kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24.
Nilinunua 150,000
Kwa sasa sina kazi nayo zipo 2 unaweza kuongea hadi km 15 hadi 20km
Kwa sasa sina kazi nayo nauza bei ya hasara 100,000 zipo banana
0743257669
Kwa msiojua unaweza kuongea na mtu bila kutumia vocha wewe ni kuichaji tu kwa kampuni za ulinzi
Godauni,mashambani,kiwanda hii itakufaa
Wadau kama heading inavyojieleza hapo juu nina vifaa vyangu kwa ajili ya kupiga picha indoor na viuza kwa bei kitonga Sana
Kuna studio background yenye vitambaa vinne ambavyo ni nyeusi, nyeupe, kijani na kijivu.
Soft box mbili, miavuli minne na reflector
Taa NNE na fleme zake, pia vitambaa...
Apple Iphone 13 pro 128 GB
•Face id✅
•Battery health 81
•Ina network lock(unaweza tumia •Gevey sim card au ukalipia deni ikawa unlocked)
Simu Imetumika wiki moja tu tangu itoke nje ya nchi
Price 950,000/=
Kimara Dar es salaam
0757187238
Husika na kichwa Cha habari hapo juu nauza shera.
Shera ni mpya nzuri ninaiuza bei iyo kwa sababu ya dharula iliyojitokeza ambayo inaitaitaji fedha kwa ambae atakuwa serious ni pm ili nikutumie picha na video.
Napatikana Dar Mbezi
Jipatie shuka za kudarizi pamoja na foronya mbili kwa bei ya elfu Thelathini (30,000/=) Tu.
Size ni 6×6.
Delivery ni Bure kwa wakazi wa dar.
Usikubali kupitwa na ofa hii ya January , hivyo nitafute kupitia
0628 160058 / 0658 843438.
Karibuni sanaa.
Habarini za muda huu wana jukwaa!?, mimi ni mjasiriamali mdogo ninae jihusisha na kuuza bando za halotel internet za mwezi mzima, kwa mawasiliano zaidi 0653963998, 0621599120(whatsap only)…karibuni sana kwa huduma na mchanganuo wa bando hizo na gharama zake ni kama ifuatavyo!
Jamani hii nilishaipost narudia tena sasahivi kwa kuweka gharama yake maana naona watu wengi walikuwa wanaongelea pesa ambazo sijaziandika,
HIYO SET KWENYE PICHA NI STAND YA TV INA NA COFFEE TABLE YAKE, JAPO KIOO CHA COFEE TABLE KIMEPASUKA NI CHA KUBADILI, KWAHIVYO NAUZA ZOTE MBILI KWA 90,000...
Nauza king'amuzi cha Startimes kwa Tshs 20,000 tu. Kipo na Adapter yake ya umeme pamoja na remote controller yake.
Kimetumika miezi mitano peke yake
Nipo Mbezi Luis karibu na Stand ya mabasi ya mkoani ya Magufuli
Karibu upate kilicho bora
Mawasiliano: 0767696021
Nauza Bata Mzinga wawili , Kuku aina ya Brahma wawili na Kuku aina ya Kuchi wawili wote wakiwa na umri wa miezi minne bei maelewano napatikana Dumila Morogoro Kwa mawasiliano piga simu 0655760381
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.