Habar wadau !!
Naomben kujua wapi naweza kupata blue ray disk drive au BD -DD cd zake zinaitwa BD -R zina 40GB empty space.
NOTE : BD -DD sio DVD disk drive hz zinazokuja na computer hz ni bora zaid na zipo advance na zina read and write DVD but DVD disk drive haziwez kuread au write BD -R.
Leo ahsubuhi wakati naenda kuoga nimeteleza na kuanguka kwa kishindo kikubwa nikiwa ndani chooni.
Nina afya nzuri kabisa. Sina pressure, wala tatizo la moyo.
Kuna dhana kwamba ukianguka chooni, unaweza kufa au kupata matatizo. Naona wife anahema sana. Kuna ukweli wowote kwenye hili?
Mshana Jr
Wandugu,
Nina gari Zanzibar, nataka kuja nalo bara, na niweze kulitumia kwa miezi michache.
Swali langu: je, ni process gani zinatakiwa kufuatwa?
Kama kuna mtu yeyote amewahi kupata changamoto kama hii naomba aniambie alitatuaje.
Dar es Salaam. Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameomba kuhakikishiwa mambo sita ili aweze kuanza safari ya kurejea nchini akitokea Ubelgiji anakoishi tangu Januari mwaka 2018.
Lissu, aliyepelekwa kwa matibabu nchini Ubelgiji Januari 2018 baada ya kushambuliwa kwa risasi akitokea...
Hivi kwa mil. 5 naweza kujenga nyumba ndogo ya chumba 1, sebule, jiko na choo mpaka kiwango gani?
NB: Kiwanja kipo Dodoma Kisasa Au niongeze mpaka ngapi wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.