naweza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. EINSTEIN112

    Hivi Laptop ambayo haina KEYBOARD LIGHT naweza kuwekewa

    Heading imemaliza swali langu. Ni laptop aina ya HP Envy x360 15-aq005na
  2. A

    Ni course gani naweza kusomaa kwa matokeo haya?

    Nimemaliza mwaka huu 2021 PCM division 2.12 na matokeo yafutayo: Physics D Chemistry S Advance mathematics B Naombeni ushauri ni course gani itafaa kwa ufaulu huo.
  3. A

    Kwa matokeo haya naweza kusoma Medicine?

    Kwa matokeo haya je naweza kupata medicine hata vyuo vya private ukizingatia pia competition Physics D Chemistry C Biology D Bam C
  4. Zakamwamoba

    Kiwanja cha meter 11x15 naweza jenga vyumba 3 na sehemu ya Parking?

    Wakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
  5. Lager

    Wapi naweza pata mkopo?

    Wapi naweza pata mkopo wa laki mbili na nusu itakuwa vizuri zaidi kama kuna site za online zinaweza toa mkopo maana sitarajii kukaa na mkopo huo kwa muda mrefu ni kitu fulani tu nakikamilisha ndani ya wiki then pesa husika inarudi. Msaada tafadhari.
  6. Jemimah cindy

    Helo am new here,

    Helo am new here, naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara, asanteni
  7. B

    Bugarika, Mwanza: Maji bado changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani

    Ni kilomita 3 tu kutoka Ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hospital. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndugu zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro. Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote...
  8. KIBEBENYEKE

    Je, naweza kuomba chuo tena baada ya kumaliza mosomo kama mwaka wa kwanza?

    Naumba ushauri ndugu zangu mm nasoma chuo kikuu ila nipo mwaka wa mwisho na semester ya mwisho je naweza kuomba tena chuo kwa kozi nyengine kama mwaka wa kwanza na baada ya kumaliza semester hii kukubaliwa kuendelea na kozi nyingeni kwa mwaka huu mpya wa masomo uko Bado sijagraduenti.
  9. music mimi

    Wapi naweza pata Fonts za bure kwa ajili ya illustrator?

    Natafuta mtandao naoweza download font za bure. Nahitaji sana font ya eurostile extended, gill sans std na chica gogo nf bold.
  10. EvilSpirit

    Wapi naweza kupata simu hii (Nokia 1680c)?

    Kama heading inavyojitanabaisha ninatafuta simu hii inayoitwa Nokia 1680c ambayo ilitoka mwaka 2008.Niliwahi kutumia simu hii kuanzia 2009 mpaka 2013. Ilikuwa ni simu nzuri kimuonekano, kitendaji na kiumadhubuti. Badala ya kuwa na simu ndogo zisizoeleweka kama tecno au itel nimeona ni bora...
  11. Mumlii

    Hivi naweza kuanzisha biashara ya kutoa huduma ya usafi bila mtaji?

    Naipenda kutoa huduma ya usafi wa majumbani, ofisni. Je, naweza kuanzaje ili nifike malengo? Kwa anayejua naomba mawazo maoni, mitazamo? Kwenye hii biashara ya usafi.
  12. Mtepa wa Mtepaza

    Nina elimu ya Kidato cha nne naweza kupata scholarship nchini Canada?

    Habari zenu wadau wa jamii forum, samahani, kiu yangu ni kufanya kazi nje hasa nchi ya Kanada na elimu yangu ni kidato cha nne kwa ufaulu wa division 3 nimemaliza mwaka 2015 masomo ya sanaa,kulingana na tafiti yangu ndogo nimeona wengi hupitia kwa njia ya masomo ili kufika huko Je, kulingana na...
  13. H

    Nahitaji ushauri maeneo yapi mkoa wa Dar es Salaam naweza pata chumba kizuri masters kwa bei poa?

    Naombeni mnisaidie ni maeneo yepi ktk mkoa wa Dar naweza pata chumba kizuri cha masters kwa bei nzuri ya kizalendo or n maeneo yepi dsm unaweza mshauri mtu akapange chumba na kuanza maisha.
  14. U

    Naweza kupata chuo kwa matokeo haya?

    Kwa matokeo haya naweza pata chuo (EDE-hge) degree coz za biashara? Nmefany mtihan 2019, mwaka huu nmerudia economics can uhakika na matokeo yatakavyotoka mana pepa ilikaza sana
  15. JourneyMan

    Ushauri: Naweza msafirisha Mjamzito wa miezi 7?

    Naomba ushauri kwa wazoefu, wataalamu, wajuzi n.k Amebakiza miezi 2 kwa makadirio. Ni safari ya almost 8Hrs, kutoka Dar kwenda mkoani. Tayari nipo out of time, safari hio ni either kesho/keshokutwa or never. Kama inawezekana, nini vya kuzingatia? NOTE: ni kwa njia ya Public transport/Bus.
  16. Civilian Coin

    Hatimaye nimepata Usajili wa Kimataifa wa Muziki wangu(ISRC), naweza kuuza popote na kuchezwa TV au Redio yoyote duniani

    OFFICIALLY NOW ON TV& RADIO. Thanks almighty God, all my audios and Videos songs now have Copyright under ISRC(International Standard Recording Code) and can be Played anywhere all over the World and I can sell anywhere all over the World. Now I have my own Registrant code number. Join with me...
  17. K

    Msaada wa aina tano za shahada ambazo hata nikikosa serikalini naweza kujiendesha

    Wanajamvi nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama kichwa cha somo hapo juu kinavyoeleza naomba mnisaidie angalau aina tano tofauti za shahada ambazo nikizisoma hata nisipopata serikalini kazi bado nitakuwa na uhakika wa kupata mlo wa kila siku nimesoma HGL ahsante
  18. Red Giant

    Wakuu hivi naweza kununua eneo la 30 msq?

    Yaani eneo liwe na upana wa mita tano na urefu wa mita sita. Inawezekana? Kuna limit ya ukubwa wa eneo analoweza miliki mtu?
  19. Richmoto Kushmoto

    Naweza pata shafow fight 3 inayocheza offline wakuu

    Kuna ambaye ameweza kulihack shadow fight 3 licheze offline anayeweza atuoe msaada wadau tuenjoy Game nzuri sana hii tatizo ni online simnajua hatuwezi eka bando kila siku
  20. J

    Je, ukishikiliwa Kituo cha Polisi unaweza kupata dhamana?

    Inategemea umekamatwa kwa kosa gani, kwa mfano ukikamatwa kwa makosa ya mauaji, Uhaini, makosa ya kutakatisha pesa, kunajisi, wizi wa kutumia silaha kufanya biashara ya madawa ya kulevya au ugaidi miongoni mwa makosa mengine huwezi kupata dhamana. Ikiwa umekamatwa kwa tuhuma za makosa mengine...
Back
Top Bottom