'Mama Kibandiko Unajua kupika kila kitu!'-" Pishi la Leo Maharagwe tena yame changanywa na Tui la Nazi!!'. ..."Basi Shibe yangu imekua Balaa".
"Huwa nahisi raha Sana, pia najisikia Amani kula Chakula kilicho pikwa na Mke Wangu"-
Nakumbuka nilimsifia Mkwe wangu kwa maneno hayo Mara Badaa ya...