Story of change.
Hadithi yangu inaanzia asubuhi ya Mei 9, 2017 baada ya kupokea simu. Haikuwa ni namba ngeni kwenye simu yangu, alikuwa ni mtu mwenye nilikuwa nikimfahamu na ni mtu wa karibu sana. Baada ya kupokea simu, ndipo upande wa pili akaanza kuongea maneno mazito na yenye uchungu ndani...
UTANGULIZI
NDOTO NI NINI?
Ndoto ni taaswira, mawazo, tamaa au hisia ambazo zinapita katika akili yako. Mara nyingi Sana ndoto ni kitu unachoweza kukitengeneza katika taaswira yako kulingana na malengo yako ya baadae. Ndoto ni kitu unachokitamania kukitimiza siku moja katika maisha yako. Lakini...
Kwema Wakuu!
Huwaga najiuliza ikiwa Ada ya kusomea Udaktari kwa mwaka ni zaidi ya Milioni Sita bila ya mkopo. Ukipewa Mkopo 100% yadaiwa Serikali itakulipia nusu yaani sio zaidi ya milioni tatu. Inamaana mwanafunzi atalipa sio pungufu ya Tsh. Milioni 3. Kwa miaka mifano hiyo ni zaidi ya Tsh...
Kama title inavyosema, nimekuwa nikiota niko shule na ni kipindi cha kumaliza. Kipindi cha mitihani.
Sasa huwa najikuta sijasoma kabisa na mtihani ndio huo! Basi huwa naweweseka sana na kuwa na hofu. Wakati wengine wanajiandaa mi huwa sijui niko bize na nini. Mwisho wa siku huwa napata ahueni...
Utangulizi:
Nchini Tanzania, Mtoto ni binadamu mwenye umri chini ya miaka 18, Ni tafsiri kutoka sheria ya watoto ya mwaka 2009, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2019, sehemu ya pili, kifungu cha nne, kifungu kidogo cha kwanza
Rejea: TLS – Online Legal Aid Repository
Kila mzazi/mlezi huwa nania...
Ndugu zangu zilikuwa ni ndoto za baba wa Taifa kuijenga Tanzania yenye usawa na haki kwa watu wote, Tanzania ambayo kila mtu alikuwa ana nafas sawa katika kuijenga na kunufaika na matunda yake, Tanzania iliyokuwa inaheshimika na mataifa yote bila kujali uchumi wetu.
Katika kuifikia azima hiyo...
Historia inaanza miaka zaidi ya million 82 iliyopiya ambapo virusi vinavyosababisha Homa ya inni (Hepatitis B) viligunduliwa uko afrika ya kaskazini mapoja na masharikI ya kati huku wataalamu wakidai kwamba virusi ivyo vilitokana na ndege pamoja na samaki kisha vikaenda kwa binadam. Ni miaka...
Hi ni mara ya 3 naoteshwa ndoto kuwa CHADEMA kitakuwa chama tawala katika uchaguzi wa 2025. Nimejaribu kuzipuuza hizi ndoto ila sasa zimekuwa too much,naona umefika wakati wa nchi kuingia katika mikono salama ili safari yetu ya mafanikio ianze rasmi. Je swali sasa ni nani atakaye tuvusha kutoka...
Utangulizi
Elimu ni ufunguo wa Maisha ni neno ambalo limekua likizungumzwa sana katika jamii yetu. Neno hili limekuwa likitumika kuhamasisha wanafunzi kupenda shule na kuongeza juhudi zaidi katika masomo yao.
Wazazi wengi wamekua wakiamini na kuwaaminisha watoto wao kuwa bila ya kuwa na elimu...
Wapo watu wanajivunia kuwa na mawazo ya biashara ila hawana mitaji; ukiomba wakushirikishe wazo lao, wanakataa wakihisi unaweza kuchukua wazo lao na kulifanyia kazi.
Unakuta miaka nenda rudi, mpaka anakuwa mzee bado yuko na wazo lake tu, na hataki kushirikisha watu ili lifanyiwe utekelezaji...
KIJANA mwenye ndoto za kuwa na maisha bora huonekana kwa namna mbali mbali akijituma,kujishughulisha na kutumia mda wake mwingi kwa asilimia kubwa kuzalisha fedha ili aweze kutimiza malengo na mipango anayotamani kuwa nayo ili kuuoa moyo wake kile kitu unahitaji.(vijana wa namna hii huwa Ni...
Kustaftahi
Ongezeko la vijana wengi wano maliza elimu ya juu, vyuo vya kati na shule za upili limesababisha upungufu mkubwa wa ajira nchini. Taasisi binafsi na taasisi za serikali ambazo zina nafasi ya kuajiri zimekua zikitumia mwanya wa uwingi wa wahitimu wa vyuo na vyuo vikuu kama fimbo ya...
Wale wanaofkiri kuwa Ulaya maisha ni mazuri wala huwezi kuteseka namna ambavyo tunateseka Afrika Acha niwajuze tuu hapo unapoona pichani ni nchini Ufaransa jijini Paris hebu tazama maisha ambayo wanayoishi 😬😬😬
Kubwa zaidi ni pale mwamba hupigiwa simu na ukoo wote ili atoe msaada kwa sababu tu...
Maono mazuri ya ndoto ya mtu mwema ni sehemu ya arobaini na sita ya ufunuo au bishara, au Wahyi. Ndoto ni njia ya mawasiliano iliyobakia baina ya mambo ya Kiroho na mwanaadamu.
Baadhi ya ndoto ni njia ya mawasiliano ya kiroho. Kila ndoto huwa na maana au tafsiri yake ambayo ni muhimu kuifahamu...
Habari za mchana wadau,
Basi bhana, jana nikiwa ndani ya treni kama kawaida nikielekea home. Basi bhana ghafla nikaskia taarifa ya habari kutoka Idhaa ya Kiswahili sauti ya Japan, nikaskia mtangazaji akisema "Dar-es Salaam, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametengua nafasi ya bosi wa...
Poleni na majukumu ya kila siku ndugu zangu, nimemaliza degree ya kwanza ya business administration na nina kazi yangu binafsi kwa sasa lakini haikuwa ndoto yangu ilinilazimu kusoma Ili nipate kwanza kazi ya kufanya.
Ndoto yangu ni kuwa daktari na sikuweza kutimiza vigezo kwenye masomo ya...
Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba.
Ila kama hainitoshi, inadondoka.
Naitafuta naipata navaa tena.
Nikijisahau inavulika inadondoka.
Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba.
Ila kama hainitoshi, inadondoka.
Naitafuta naipata navaa tena.
Nikijisahau inavulika inadondoka.
Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
Habari wanajukwaa?
Bila kupoteza muda ngoja nirnde moja kwa moja kwenye hoja. Nimekuwa nikimuota marehemu baba yangu mkubwa mara kwa mara japo alipata kufariki 2013 (Mungu amlaze mahala pema).
Japo alinilea toka udogoni kama mzazi wangu vile na kunichukulia kama mtoto wake. Nimekuwa nikimuota...
Baadhi ya ndoto ni njia ya mawasiliano ya kiroho.
Kila ndoto huwa na maana au tafsiri yake ambayo ni muhimu kuifahamu.
Maono mazuri ya ndoto ya mtu mwema ni sehemu ya arobaini na sita ya ufunuo au bishara, au Wahyi. Ndoto ni njia ya mawasiliano iliyobakia baina ya mambo ya Kiroho na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.