JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA
NA.
MUDA
SHUGHULI
MHUSIKA
1.
3:00 – 5:00 Asubuhi
Kikao cha Bunge
Spika/Katibu wa Bunge
2.
5:00 – 8:00 Mchana
Shughuli za Kiutawala Ukumbini
Katibu wa Bunge/Chief of
Protocol
3.
8:00 – 9:00 Alasiri
Waheshimiwa Wabunge na...
Hongera Mh Rais Samia Suluhu kwa kutuongezea msamiati kwenye lugha yetu.
Katika kongamano na viongozi wa dini Rais Samia ametumia neno la kiswahili ambalo ni adimu kulisikia mitaani ingawa ni neno la kiswahili kutoka asili ya kusini mwa Zanzibar.
demka Taz. demnga.
demnga V cheza ngoma kwa...
Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Nawasalimu kwa jina La JMT, Harmonize kiswahili ni lugha tajiri sana hususani kwa watu wenye mahusiano ya kunanihii, mmeshaelewa kila wimbo Harmonize lazima kumuita mpenzi wake baby, kila nyimbo baby baby baby.. Inabore sana.
Hii inaua ubunifu wako mbona mpenzi lina majina mengi kama...
Nguzo kuu ya Chadema kwa miaka yote ya uhai wa chama hiki ni umoja wao , hawa watu kwa kushirikiana kwenye mambo yao ni wa kupigiwa mfano .
Leo Viongozi wa Bavicha Wakiwemo Pambalu na mfungwa mstaafu Mwaipaya wamefika kwenye gereza la Ruanda huko Mbeya na kuonana na Mfungwa wa kisiasa Mdude...
Mnyonge / mɲɔngɛ / nomino
Wanyonge (plural)
Ngeli za nomino: a-, wa-
MAANA YA NENO:
1. mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni (ms) Synonyms: mnyela...
Dikteta (kutoka Lat. dictator yaani mwenye kutoa amri kama imla) ni neno la kumtaja mtawala asiyebanwa na sheria na kutumia nguvu ya dola kuendeleza utawala wake na kutokubali upinzani dhidi yake. Pale ambako mtu au kundi la watu hutawala kwa mbinu huu hali ya kisiasa huitwa udikteta. Mfalme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.