Walee mliokuwaa mkimtukana basiasi njoooni hukuu
Oryx Gas wamepunguza gesi kuanzia kesho 4-3-2020
KG 6 BEI YA KUUZA 20" 000
BADALA YA 22" 000 YA AWALI
(2000) diff
KG 15 BEI YA KUUZA N 50'000
BADALA YA 54" 000 YA AWALI
(4" 000) diff
TUNASHUKURU KWA USHIRIKIANO WENU
ORYX GAS PAMOJA NAWE DAIMA
Democratic presidential candidate former South Bend, Ind., Mayor Pete Buttigieg, left, meets with former President Jimmy Carter, center, at Buffalo Cafe in Plains, Georgia,March 1, 2020.
Democratic presidential candidate former South Bend, Ind., Mayor Pete Buttigieg, left, meets with former...
Shirika la Habari la Kimataifa la CNBC Africa tarehe 29 Februari, 2020 limerusha kwa zaidi ya nchi 100 duniani makala inayoeleza mafanikio ya Tanzania katika sekta mbalimbali
Ripoti ya RMB ya mwaka 2020 imeitaja Tanzania imekuwa ya 21 duniani, Afrika imekuwa ya 4 na Afrika Mashariki imekuwa ya...
Nakumbuka ilikuwa mwaka 1994, Kihanga, huko Iringa Vijijini, kwa mipango yako nilizaliwa, mtoto mdogo mwenye afya njema.
Miaka sita mbele hakika nilibadilika hasa, kijana mchangamfu, mchapakazi, mwenye akili nyingi na fuarha tele, wazazi wangu walikuwa ni wenye kujivunia kijana huyu,
Ndugu na...
Heshima kwenu wakuu,
Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU leo siku ya Ijumaa saa 7:00 mchana PCCB House Upanga, ataongea na vyombo vya habari.
Tutatoa updates kwa kila kinachojiri.
====
UPDATES:
Brig. Jen. John J. Mbungo, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Takukuru akizungumza...
Mwanahabari mkongwe na mjumbe wa usimamizi na uwendeshwaji wa ligi bwana Baruani Muhuza ameamua kujiuzulu siku ya leo baada ya kutoridhishwa na baadhi ya mambo yanayoendea ndani ya bodi hiyo.
Mtandao uliokuwa maarufu duniani kote Vine umefanya mabadiliko na sasa utatambulika kama Byte.
Vine kwa miaka kadhaa ilisimama imara kabla ya kupigwa vikumbo na magwiji Instagram, Snapchat na hata kusogezwa mbali zaidi na Tiktok.
Vine imekuwa ikifanya tafiti na kutengeneza mbinu wezeshi za...
Authorities in Egypt raided the offices of the Turkish state-run Anadolu News Agency in Cairo on January 15, arresting four staff members on charges of false news. The four were released on bail on January 16. Egypt was the world's third worst jailer of journalists in 2019.
Source: cpj.org
Ambao mpo kwenye mitandao ya kijamii,youtube au sky news Rais wa marekani yupo live kuzungumzia mgogoro wa Marekani na Iran.
Pia kama una tv unaweza kuangalia CNN,Aljezira .
Tupeane updates
*****
UPDATE
Baada ya Iran kushambulia Kambi mbili za Jeshi za Marekani huko Iraq, Rais Trump...
Habari za uzushi za kutekwa kwa mdhibiti mkuu wa fedha za serikali wa zamani Profesa Assad zimezusha taharuki kubwa.
Na mpaka ilipoibuka video mitandaoni ambapo Profesa Assad anaonekana yupo salama na mwenye afya njema, watu wengi waliingiwa na hofu kubwa.
Ifikapo tarehe 31 Desemba mwaka huu...
Leo Katika kikao kilichoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na viongozi wa dini kardinal Pengo amemtetea dictator Mussolin aliyetawala Italia enzi hizo kama ifuatavyo.
Mussolin aliondoa baa au balaa la Malaria Katika mji mdogo wa Italia, Kwa mujibu wa kardinal Pengo wakati...
Summary:
The project will involve the following components:[2]
A port at Manda Bay, Lamu
Standard gauge (1,435 mm (4 ft 8 1⁄2 in)) railway line to Juba and Addis Ababa, the South Sudanese and Ethiopian capitals respectively.
Road network
Oil pipelines (South Sudan and Ethiopia)
Oil refinery at...
November 10, 2019
La Paz, Bolivia
Jeshi lamlazimisha Rais kujiuzulu Bolivia
Rais wa Bolivia Mhe. camarade Evo Morales ameachia ngazi bila kutegemea leo jumapili na kutangaza kujiuzulu kufuatia mbinyo wa kisiasa baada ya kudai kuwa ameshinda uchaguzi kwa kipindi cha nne, uchaguzi na matokeo yake...
Wanabodi,
Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda.
Andamana nami...
Happening Now on Citizen TV. Our beautiful majestic Lady Marathoner Jackline Jepkosgei has won the New York City Marathon. Hongera kwake huyo mwanadamu kwa kuwakilishwa Kenya katika mbio hizo za riadha kule Marekani.
Wadau nimeona hii picha Sunday News leo juu ya ujenzi wa Kwala " Inland" Container Depot, at Ruvu Mkoa wa Pwani.
Nikashangaa kidogo maana picha haionyeshi u inland wowote bali panaonekaka ni ufukwe wa bahari ambayo natumaini ni bahari Hindi.
Pengine kukaa mno Dsm kumeniathiri na ndio nawauliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.