news

  1. Sky Eclat

    Tanzania’s ruling party has nominated President John Magufuli to run for a second five-year term

    Tanzania’s ruling party has nominated President John Magufuli to run for a second five-year term, while opposition parties and human rights groups demand an independent electoral body to oversee the October vote. DODOMA, Tanzania (AP) — Tanzania’s ruling party on Saturday nominated President...
  2. Jidu La Mabambasi

    Daily News, itendeeni haki hii picha

    Hii picha imetoka katika Gazeti la Serikali katika ile safu ya "Down Memmory lane" mara nyingi sana. Kama sikosei karibia mara 10! Sijui Daily News wanataka kutuambia nini lakini jina la Katibu Mkuu Ujenzi siyo Mr David Mlingwa bali Dr George Mlingwa. Kosa hili limekuwa likirudiwa rudiwa sijui...
  3. Influenza

    Rais wa Brazil, Jair Bolsonaro atangaza kupata Corona

    Kupitia chaneli ya Taifa, Rais Jair Bolsonaro (65) ametangaza kupata maambukizi ya #CoronaVirus baada ya kufanyiwa vipimo kwa mara ya nne siku ya Jumatatu kufuatia kuonesha dalili za ugonjwa huo Bolsonaro amekuwa mara kwa mara akipuuza ugonjwa huo huku akiuita ni mafua madogo ya kawaida na...
  4. Influenza

    Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

    UTEUZI WA RC ARUSHA NA DC ARUSHA WATENGULIA Rais Magufuli, leo ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Idd Kimanta Pia ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro na nafasi yake imechukuliwa...
  5. M-mbabe

    Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

    Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za...
  6. musabuze

    Jinsi ya kutengeneza App ya news bila ujuzi wa Coding wala Programing

    Habari Wana JF, Siyo Kila anayehitaji Android App Kama ya News, Chating,Live Tv ana Haja ya yeye Kujua Programing au Coding. Inabidi Totofautishe Kati ya Kazi na Mahitaji, Programing au Coding ni Kazi Kama Kazi Zingine ila Kuwa na Shauku ya Kuwa na App Yako ni Mahitaji Kama Yalivyo Mahitaji...
  7. LIKUD

    Breaking News: Felicien Kabuga arrested in France

    It was alleged that Felician Kaguba was the one who was supplying the government of Juvenal Habyarimana and the deadly Interahamwe with machettes. He was the " Reginald Mengi" of Rwanda during the reign of Habyarimana. He has been at large since 1994. For a very long time, rumours has it that...
  8. Jidu La Mabambasi

    Mhariri "Daily News" sasa unatia aibu! Yapi Merzeki na mradi wa Umeme , wapi na wapi?

    Gazeti la leo 15/3/2020, front page Daily News. Picha ni nzuri lakini ati anayejenga mradi huo ni Yapi Merzeki!!!!!!! Mhariri naona amechok kazi. No proof reading na anabeba tu makosa ya waandishi wake. Hakumbuki gazeti hili la serikali linasomwa dunia nzima.
  9. M

    Top Tanzanian news paper questions the tests done at Namanga by Kenya

    Covid-19: Tanzanian Leading Newspaper Questions The Tests Done at Namanga Border by kenya [Photo: President Magufuli (L) of Tanzania and President Uhuru of Kenya (R)] Photo/Courtesy Relationship between Tanzania and other East Africa states is deteriorating. This is after Tanzania way of...
  10. M

    Good news as ltaly has allegedly discovered a new Vaccine for COVID-19

    A doctor administering a vaccine to a patient. [Source/cnbctv18.com] As the war against the world wide coronavirus pandemic continues, there are many countries and organizations that are trying so hard to come up with its vaccine. Recent allegations have pointed out that Italy, a country that...
  11. Nigrastratatract nerve

    CNN, Sky news, Aljezeera, BBC, New York Times, Daily Mail, CBS, DW, Finacial Times vyaunga mkono hotuba ya Magufuli kuhusu Test kits

    Msimamo usioyumbishwa! Hiyo ndiyo picha aliyoitengeneza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, baada ya kueleza waziwazi mashaka yake juu ya mashine zinazotumika kupima sampuli za wagonjwa wa Corona. Akizungumza kutokea Chato, mkoani Geita wakati wa hafla fupi ya...
  12. M

    African Union supports COVID-19 Organic Medicine from Madagascar

    AFRICAN UNION SUPPORTS COVID ORGANICS MEDICINE FROM MADAGASCAR Addis Ababa- The Bureau of the African Union Heads of States held a tele-conference meeting to discuss in detail the efficacy of the Covid Organics Medicine(CVO) as developed by the Republic of Madagascar in treating COVID-19...
  13. Kevin85ify

    Kenya: Good news to married couples

    The kenyan government will increase maternity services allocation, due to the projected growth in pregnancies resulting from the covid19 crisis. The president said this in interviews with radio station journalists at state house. He said couples are spending more time together and this will...
  14. Kaduguda

    Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

    Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha mchango wa kifedha ambao Marekani imekuwa ikiutoa kwa Shirika la Afya Duniani WHO kufuatia namna walivyolichukulia suala la COVID-19. Pia WHO wanalaumiwa kwa kuchelewa kutoa taarifa za mlipuko wa ugonjwa huo kwa mataifa mengine kwa wakati. Amewaambia...
  15. Kevin85ify

    Kenya: Good news dog lovers

    Attention all Kenyan Dog lovers and breeding kennels,the annual Kenya police dog auction(In Langata ) has been postponed. This gives you time to prepare your wallet and vocal chords for this annual auction that is also a good family event. This year 18 highly trained and battle ready dogs from...
  16. Cvez

    Hivi Braking news ni habari yenye sifa ipi!

    Zaidi ya mara mbili sasa kituo maarufu zaidi kwa habari nchini. Ghafla tu kinakatiza matangazo na kutuletea breaking news. "BREAKING NEWS: Idadi ya visa vya Corona nchini Kenya yafikia watu 172".. Kwa hali ya sasa ambapo baadhi ya watu wapo quarantine, wengine wanasubiria vipimo ni dhahiri idadi...
  17. J

    Coronavirus: Prince Charles tests positive for COVID-19

    Habari za hivi punde ambazo ni mpasuko kupitia BBC zinasema Prince Charles wa Wales amepata maambukizi ya virusi vya Corona. Prince alikuwa anafanya kazi zake kutokea nyumbani na haijulikani amepataje maambukizi. ------ Prince Charles has tested positive for coronavirus. Clarence House...
  18. S

    Tanzia: Sheikh Idd Nyundo afariki dunia

    Kuna taarifa zisizothibitishwa kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala [na hapo kabla Temeke] Mh. Idd Nyundo amefariki dunia leo asubuhi. bagamoyo,
  19. Pdidy

    Korona yatua nchini Rwanda

    MUNGU ATUNUSURUU NAONA USAFIRI .... LIGI NAYO.. MMH
  20. Mekatilili

    Konza Technopolis (Konza City): Pictures & News

    Website: Konza Technopolis Konza (Konza Technopolis ) is a key flagship project of Kenya’s Vision 2030 economic development portfolio. Konza will be a world-class city, powered by a thriving information, communications and technology (ICT) sector, superior reliable infrastructure and business...
Back
Top Bottom