Minister in the Presidency Jackson Mthembu
Minister in the Presidency Jackson Mthembu died of Covid-19-related complications on Thursday, just 10 days after testing positive for the disease.
President Cyril Ramaphosa described him as "an exemplary leader, an activist and life-long champion of...
The Joint Chiefs of Staff, the group of the most senior uniformed leaders at the Pentagon, issued a force-wide statement Tuesday condemning the riot at the Capitol as a “direct assault” on Congress and the constitutional process and affirming President-elect Joe Biden will become the nation’s...
Nasisitiza Maamuzi haya ya CAF siyo kwa Ushindi wa Namungo FC bali ni kwa Ushindi mnono wa Simba SC na Kufuzu Kwake Makundi CL iliyopo.
Taarifa: Mtandao rasmi wa CAF
Ni matumaini yangu sasa Timu zingine zote hasa ile yenye Washamba wengi nchini Tanzania itaitii na Kushukuru kubebwa sana tu na...
Jamaa alitoka Nkana akaenda timu ndogo huko Egypt kagongesha magoli hadi ma-giants wamemchukua.
Hongera sana Bwalya naona ndugu yetu Okwi huko Al Itihad hata namba ni shida kupata.
Jengo hili lilikua ndio sura ya mji Mkongwe Zanzibar na kivutio Kiki kikubwa cha utaliii, lakini serekali imeshindwa kulitunza.
Serekali ya Oman 🇴🇲 ilikua tayari kulikarabati lakini inaonekana wamefanyiwa urasimu na watendaji wenye tamaa.
===
Jengo la Beit al Ajaib lilijengwa na sultan wa...
Bila shaka tumekuwa na kipindi kizuri cha takribani siku 360. Tumekuwa na tumepitia changamoto nyingi, lakini tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwenye rehema kwa kutuweka tukiwa salama.
Nichukue fursa hii kuwatakia mapumziko mema ya mwisho na mwanzo wa mwaka.
Haya magazeti huletwa kazini kila siku ya kazi ili kutimiza azma ya kuwapa watumishi haki yao ya kupata habari kama katiba inavyosema.
Sasa karibu kila siku lazima ukutane na title ya JPM kafanya hili, mara JPM kasema hili, mara JPM kamtumbua kigogo.
Hata kama ni mahaba sasa haya ni mahabati too...
Yaani katika dunia hii ya watu karibu takriban bilioni 8, nyimbo ya kijana wetu, mTanzania mwenzetu, Diamond Platnumz - WAAH ndio nyimbo namba moja duniani kwa sasa.
Wizara ya maliasili na utalii itumie fursa hii adhimu kuiambia dunia kwamba Tanzania ina nini cha kuwapa watalii, maana kila mtu...
Hii picha imekuwa ikitokea karibu mara ya 20 sasa katika gazeti la Serikali "Daily News".
Mara ya mwisho imetokea jana 30th Nov 2020 katika ile sehemu "Down Memory lane".
Kushoto kwa aliyekuwa Rais wakati huo, Ali Hassan Mwinyi ni Nalaila Kiula, aliyekuwa waziri wa Ujenzi wakati huo.
Kushoto...
Baba mwenye nyumba huyo anaenda kwa Jina la Mzee Andrew na mkazi wa Singida
Mzee Kikwete na familia yake waliamua kumtembelea Mzee huyo ili kumjuliana hali na kukumbushana ya miaka mingi!
Ikumbukwe kuwa Mhesh Kikwete pia ni Mwenyekiti Mstaafu Taifa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kabla ya...
Amesema ndoto hiyo ya ajabu imemfanya avunjike mguu wake.
Mwanamuziki huyo Kiongozi wa bendi ya Talent amedai ndoto hiyo siyo ya kawaida kabisa na ameamua kumuachia Allah aliye mjuzi wa mambo yote.
Anadai Jogoo huyo wa ndotoni alijaribu kumdonoa na yeye aliamua kupambana nae kikamilifu kwa...
Tundu Lissu, aliyekuwa mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA , ameondoka nchini humo leo Jumanne kwenda Ubelgiji huku akisema “sikimbii mapambano, ila nakwenda uwanja mwingine mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu.”
Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...
Huwa najiuliza Tanzania yetu ni nchi ya kawaida na tupo kivyetuvyetu kutokana na utamaduni wetu ni very conservative na lugha yetu ya mambo yote haijulikani to the outside world lakini utashangaa namna tupo effective kwenye worlds headlines
Kuna jambo la kawaida tu linaweza kutokea Tanzania...
Tatizo la kuingiza waswahili kwenye fani za uandishi ambao kiingereza kwao ni kigumu.
Daily News ya leo imetoa mpya kabisa.
Picha ya Mkuu wa Mkoa Tanga akipokea maandamano ya amani kupongeza uchaguzi.
Ati Daily News kwa kiingereza wanatafsiri kuna "peaceful protest of congratulations"- yaani...
Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na Waandishi wa Habari. Yatafanyika Makao Makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Stay tuned!
BREAKING NEWS: Adhabu iliyokuwa inamkabili mgombea ubunge wa Jimbo la Vunjo na mwenyekiti wa chama ndugu James Francis Mbatia ya kutokufanya mikutano ya hadhara kwa ajili ya kampeni imetenguliwa rasmi hii leo.
About time we started updating our little brothers from down south about the major progress Kenya is making as a country.
Nitaanzia jiji kuu huku East & Central Africa, providing daily updates hadi likamilike🔥🔥
Violence Alert Tanzania Election
"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"
Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.
Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.