news

  1. U

    Shocking News: Spanish Man Jailed for killing and eating his mother

    A Spanish man has been jailed for 15 years and five months for killing and eating his mother at the apartment they shared in Madrid. Alberto Sanchez Gomez killed his mother, cut up her body and ate her over a period of at least 15 days in early 2019, according to a statement from the Madrid...
  2. Nyani Ngabu

    A new low for fake news CNN

    TF is wrong with CNN? Huyu jamaa, Jeffrey Toobin, alibambwa kwenye zoom call akipiga punyeto. Ilikuwa ni zoom call ya mwajiri wake wa wakati huo [Oktoba 2020], The New Yorker magazine. Pia, alikuwa ni CNN’s chief legal analyst. New Yorker walimfukuza kazi. CNN naona walimsimamisha kazi...
  3. I am Groot

    Good news: Money Heist is back

    Wale wapenzi wa Money heist season 5 imerejea. Mtandao na watayarishaji wa series hii wametangaza official date ya kutoka kwake. Part 1 itatoka SEPTEMBA 3 Part 2 itatoka DESEMBA 3. Tukae mkao wa kula.
  4. GENTAMYCINE

    Wakala wa Meddie Kagere, Mnyarwanda Patrick Gakumba atoa siri nzito za Kocha wa Simba SC Didier Gomez Da Rosa

    "Huyu Kocha nimejuana nae Siku nyingi hata kabla ya kuja hapo Simba SC. Anafanya mambo ambayo najua yatakuja Kumrudia na ataumbuka kwani hata Mwenyezi Mungu anayaona na atamuadhibu. Ana Chuki Binafsi na Mimi kwakuwa nilikataa Kumpigia Chapuo kwa Ushawishi wangu mkubwa katika Soka la hapa nchini...
  5. Sherlock

    Ethiopia Awards Safaricom First Telecom License

    It's big win for Kenya. Safaricom consortium wins Ethiopia licence bid on Sh91.8bn offer Saturday, May 22, 2021 Safaricom CEO Peter Ndegwa during the telco's 20-year anniversary celebration at the Serena Hotel in Nairobi on October 27, 2020. Diana Ngila | Nation Media Group What you need to...
  6. Mkikuyu- Akili timamu

    Japanese working in kenya will no longer pay Taxes..Meanwhile more taxes added on kenyans

    Rasmi sasa: Ukoloni mambo Leo..Nchi ya kijinga
  7. Ferruccio Lamborghini

    Sakata la mtoto wa Amber Lulu, Harmorapa akamatwa na Polisi

    Msanii wa Bongo Fleva anayependa kiki Bongo, Hamorapa amekamatwa na polisi, leo Jumamosi, Mei 8, 2021, katika Ukumbi wa Hotel ya Kebbys, uliopo Mwenge, jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari. Kukamatwa kwa Harmorapa kunatokana na kauli yake aliyoitoa akidai kuwa mtoto wa...
  8. GENTAMYCINE

    Mohammed Hussein Tshabalala 'asinya' Simba SC mbele ya Kocha Mkuu Profesa Gomez

    Ameshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa. Na sasa kuna Clause tumeweka ambapo Timu za ndani kama Azam FC ikimtaka itoe Tsh Bilioni 1 tu. Kama Klabu ya Yanga SC ikimuhitaji basi itabidi imnunue kwa Tsh 37 Bilioni tu. Klabu...
  9. Z

    Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

    Wimbo wa attitude wa Harmonize yafikisha views million 3 ndani ya masaa 27 you tube. Hii ni record ya aina yake inawekwa na Harmonize. Kama anatania vile lakini ndio anachukua kijiti Cha king of bongofleva kwasasa. Tumsuport jeshi ili tupate kuongeza international artist from Tanzania.
  10. digba sowey

    Kilwa Masoko, Lindi: Zaidi ya Tani moja ya Dawa za Kulevya yakamatwa

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na kikosi cha wana maji cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wamekamata zaidi ya tani mbili ya dawa za kulevya aina ya Heroin. Kazi iendelee,naona wauza unga wanajaribu kupima upepo,pongezi kwa serikali ya awamu ya sita ======...
  11. U

    Klabu ya Simba yapewa siku 14 kulipa kodi ya ardhi jumla ya Tshs milioni 77

    Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar es salaam ( kupitia Baraza la Ardhi na Nyumba) imeipa Klabu ya Simba muda wa siku 14 kulipa tshs milioni 77 kama fidia ya kodi ya ardhi vinginevyo mali za Klabu hiyo ikiwemo kiwanja cha Bunju kitashikiliwa au kitauzwa Utekelezaji wa agizo hilo...
  12. Nyani Ngabu

    Lawd hamercy!! This can’t be!!

    Is this really real or my mind is playing tricks on me? Everyone involved in this phuckery got to go.
  13. Mchimba Chumvi

    Meli ya Evergiven yaanza kuelea Suez Canal

    Ever Given, the massive container ship blocking Egypt’s Suez Canal for nearly a week, has been partially refloated, the Suez Canal Authority (SCA) said, raising hopes the busy waterway will soon be reopened. Monday’s move comes a week after the container ship ran aground in high winds, blocking...
  14. Tony254

    Nyanya wa Barack Obama, Bi Sarah Obama afariki dunia

    Nyanya (Bibi) wa Barack Obama amefariki. Habari hii ya huzuni imetangazwa na Ktn news. Pole kwa familia ya Obama. Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. -- Mama Sarah had been sick for a while and died while undergoing treatment at Jaramogi Oginga Odinga Teaching and Referral Hospital in...
  15. Ndebile

    ISIS Wameuteka Mji wa Palma Kaskazini mwa Msumbiji

    Habari ya hivi punde kutoka kituo cha televisheni cha France24, Mungu ibariki Msumbiji, Mungu ibariki Afrika.
  16. Sky Eclat

    #COVID19 ITV News Uingereza yaeleza hali ya Corona Tanzania

    Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini. Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na kujifanya ni Watalii. Walipohoji raia umuhimu wa kuvaa barakoa, wengi walisema wanamuamini Mungu.
  17. Miss Zomboko

    Mbaroni kwa kusambaza uzushi Mtandaoni kwamba Rais Magufuli ni Mgonjwa. Kigogo wa Twitter naye anasakwa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa. Pia, Kingai amesema wanamsaka mwanaharakati anayejiita...
  18. HIMARS

    Hii Coming 2 America sijaielewa...

    Jamani maoni yenu kuhusu hili dude, naliona. Lina matusi mno Haifai kwa watoto Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
  19. Niwahi_Kibangi

    IXAfrica breaks ground on data center campus in Nairobi, Kenya

    IXAfrica has broken ground on an 18MW data center in Nairobi, Kenya. Speaking during the ground breaking ceremony, IXAfrica chairman Guy Willner said that the data center will be IXAfrica’s first after years of delays and is on track to be East Africa’s largest ‘hyperscale-ready’ campus. The...
  20. T

    Nigeria's Ngozi Okonjo-Iweala appointed WTO Director-General

    Hon Dr Ngozi Okonjo- Iweala from Nigeria is appointed as the next WTO Director General. Dr Okonjo Iweala makes history as the first woman and the first African to lead the WTO. Her term stars on the 1 /03/2021. ====== Nigeria’s Ngozi Okonjo-Iweala was appointed the seventh...
Back
Top Bottom