ng'ombe

Ng'ombe
Ng'ombe ni wanyama wakubwa wanaokula nyasi. Ni wanyama wanaofugwa kwa wingi sana kwa ajili ya nyama, maziwa, ngozi au pia kwa kuvuta plau au gari la kukokotwa.

Kwa asili kuna aina mbili za ng'ombe-kaya: ng'ombe wa Ulaya na ng'ombe wa Uhindi ambazo ni nususpishi za B. primigenius (B. p. taurus na B. p. indicus mtawalia, ingawa mara nyingi nususpishi hizo zinaainishwa kama spishi za B. taurus na B. indicus). Zinatoka kwa nususpishi za zamani B. p. primigenius na B. p. namadicus.

Ng'ombe hula nyasi na hutembea kwa kwato. Ng'ombe waliofugwa na binadamu walitokana na ng'ombe-mwitu ili kujipatia nyama na maziwa. Katika nchi nyingi hutumiwa pia kama mnyama wa mizigo anayevuta plau au magari.
  1. The Sheriff

    Njombe: Ashikiliwa na polisi kwa kumuua mtoto wa miaka saba akidhani ni ng'ombe

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linamshikilia Mwanamke mmoja aitwaye Estaroda Kaduma (28) amkazi wa Kichiwa kwa tuhuma za kumuua Mtoto wa Kaka yake anayefahamika kwa jina la Brown James Kaduma (7) ambaye anasoma darasa la kwanza katika Shule ya msingi Kichiwa. Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe...
  2. BARD AI

    Polisi wazuia ndoa ya utotoni, muoaji na muolewaji wote wakiwa chini ya miaka 18

    Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na maofisa maendeleo ya jamii halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, wamezuia ndoa ya utotoni aliyokuwa akifungishwa mtoto wa miaka 15 kwa mahari ya ng'ombe kumi na fedha Sh200, 000 kwa mtoto mwenzake mwenye miaka 17. Tukio la kufungishwa ndoa hiyo lilikuwa...
  3. Poker

    Ni haki kweli kumlipia mpenzi wako mahari ng'ombe 40?

    Nina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2. Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo...
  4. JanguKamaJangu

    RC wa Kagera, Chalamila asema Ng'ombe wanaofugwa kwa stress wana nyama ngumu

    Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amewataka wadau wa mifugo kutoa elimu ya ufugaji bora kwa wafugaji ili kuwawezesha kufanya ufugaji wa kisasa ambao utaepusha ng'ombe kutembea umbali mrefu kutafuta malisho na kusababisha nyama yake kuwa ngumu Akizungumza wakati wa kufunga maonyesho ya...
  5. JS Dairy Farm

    Maonesho na mnada wa ng'ombe yanaanza leo Ubena Zomozi

    Maonesho na mnada wa ng'ombe yananza leo Julai 15, 2022 na yataisha Julai 17, 2022. Yanafanyikia Ubena Zomozi, kilometa chache kutoka Chalinze kama unaelekea Morogoro kwenye viwanja vya Highland estates ambavyo vipo pembeni ya barabara ya Morogoro, upande wa kulia Kama unaenda Morogoro. Wote...
  6. JS Dairy Farm

    Nyasi za Juncao: Suluhusho la malisho ya ng'ombe, mbuzi na kondoo

    Nyasi za Juncao ni nyasi zilizofanyiwa utafiti nchini China, utafiti ulifanywa na Profesa Zin Zhanxi wa chuo kikuu cha Fujian Agriculture and Forestry.Ni hybrid ya aina tofauti za napier na yanafanana na majani tembo(elephant grass).Yanafahanika pia kwa majina ya Giant Juncao na majani ya...
  7. gkasambo

    Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10

    Habari wakuu Kwa wakazi wa DAR ES SALAAM. Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10. Delivery free mpaka kwa mteja. Malipo. mpaka mzigo unapofika kwa mteja Bei ni 7000 kwa kilo Taasisi kama shule, migahawa, hoteli na kwa mahitaji ya nyumbani karibuni tufanye kazi Napatikana...
  8. tzhosts

    SOLD: Eneo Lenye Pagale Mbili linauzwa-Boma Ng'ombe

    Eneo lenye Pagale Mbili Linauzwa Eneo Lipo Boma Ng'ombe kwa Wasomali.KM 1 kutoka barabara kuu ya Moshi Arusha. Eneo lina Pagale Mbili Moja Self ya Vyumba 3 na NYingine in ni Double yenye Master Room. Bei ya Eneo ni Milioni 18 ila Maongezi yapo. Kwa mawasiliano Piga Simu nama 0757323060.
  9. Squidward

    Aoteshwa kwato za Ng'ombe na mkia baada ya kutuhumiwa kutembea na mke wa mtu

    Mtu mmoja raia wa zimbabwe, azua taharuki mjini baada ya kuonekana akiwa na kwato za ng'ombe na mkia baada ya kutuhumiwa kutembea na mke wa mtu. Wazee mke wa mtu ni sumu. Katika nchi zenye waganga wakali zimbabwe, Nigeria, Kenya, DRC, so usijaribu. VIDEO
  10. Mufti kuku The Infinity

    Unafahamu lolote kuhusu mchezo wa kukimbizwa na Ng'ombe? Je, Kwa Tanzania huu mchezo upo??

    Ni wakati muafaka sasa wananchi wa Tanzania wachangamkie fursa ya huu mchezo kama baadhi ya nchi za ulaya na America ya kusini wanavyo Fanya Faida zake:- 1: chanzo cha kipato 2: Burudani N.k Hasara zake:- 1: Kuumizwa (Hasa hasa ukutane na ng'ombe ambae hataki masikhara kabisa) 2: Ongezea...
  11. Determinantor

    Uliwahi kufanya biashara ya Ngozi ya Ng'ombe Nje ya Nchi?

    Nimeleta ombi lengu huku kwenye Jukwaa hili najua huku kuna watu wengi zaidi, hebu kama umewahi kufanya hii biashara au kama una watu unawafahamu wanafanya hii kitu tafadhali naomba details, 1. Upatikanaji 2. Bei 3. Vibali Shukrani
  12. Determinantor

    Biashara ya ngozi mbichi ya Ng'ombe nje ya nchi

    Habari za kazi, hivi mu akitaka kufanya biashara ya ngozi ya ng'ombe mbichi kwa Tanzania kwenda nje ya nchi inawezakana? Upatikanaji wake na bei zake zikoje? Natanguliza shukrani sana. Naomba kujua taarifa zifuatazo 1. Upatikanaji wa Ngozi mbichi ya Ng'ombe 2. Bei yake kwa ngozi 3. Vibali 4...
  13. B

    Tume ya kinyesi cha ng'ombe mto Mara yatoka kivingine

    Tulikuwa kwenye vinyesi 25kg na mkojo wa lita 21 kwa ng'ombe kwa siku, kana kwamba mtoni ndiko chooni kwao. Sasa hivi tuko kwenye uozo: Tuko kimya siyo kuwa hatuoni. Tuelewane: "Vikwazo katiba mpya inatukera zaidi."
  14. Roving Journalist

    Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

    Musoma. Kamati maalum ya kitaifa iliyoundwa na serikali kuchunguza mabadiliko ya maji ndani ya mto Mara, imetoa taarifa ya chanzo cha mabadiliko katika mto huo yaliyosababisha maji kuwa meusi na kutoa harufu, huku samaki wakifa ambapo chanzo kimeelezwa kuwa ni shughuli za binadamu pamoja na...
  15. JanguKamaJangu

    Ripoti madai ya sumu Mto Mara zina utata, zimetofautiana, wataalam wamezichambua

    Juzi kati niliona memba humu JF akiandika juu ya taarifa za kemikali zenye sumu kutoka mgodini zilivyoharibu mazingira kwenye Mto Mara na kusababisha vifo vya samaki na pamoja maji kuwa meusi. Baadaye habari hiyo ikasambaa na kuwa kubwa mwisho Serikali ikiingilia kati na kufanya uchunguzi...
  16. M

    Kuanzia leo naunga mkono siasa za Msukuma na Kishimba wasomi wa Darasa la Saba, hawa maprofesa wanaliangamiza taifa

    Ni bora akina Msukuma na Kishimba 100 pale bungeni kuliko maprofessor 5000 kama Manyele hapa nchini. Elimu zao hazisaidii nchi... Ng'ombe kutoa kinyesi cha kg25 kwa wakati mmoja na mkojo lita 20 ni kioja kingine kwa taifa. Huyu jamaa TAKURURU kwa nchi zinazojielewa wangekuwa washaanza...
  17. 44mg44

    Leo Nan yupo zam ya kuchunga ng'ombe wa Mayele?

    Wana Yanga naomba mnifahamishe Maana juz nlimuona mzee Nabi alikuwa zam na alikuwa anahangaika nao Sana,mzee wa watu had huruma jaman Yanga mnateseka kwa kweli Vip Leo Nan Yuko zam ili mzee Nabi nae apumue kidogo??
  18. B

    Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

    Background check zinaleta mrejesho huu muhimu: Prof. Samuel Manyele ni msomi mbobevu wa shahada ya Ph.D katika iliyokuwa department ya Chemical and Process Engineering ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Atakuwa angalipo kwenye hiyo department kwenye ambayo sasa ni shule ya Uhandisi Jalalani...
  19. M

    Wakulima wa Tanzania hamko serious na Kilimo, Yaani Ng'ombe anatoa kilo 25kg za kinyesi kwa wakati mmoja na bado mnalia kwa kupanda bei mbolea ya YARA

    Kweli nimeamini sisi wabongo ni wavivu sana. Hebu fikiria kwa ripoti ya msomi wetu wa viwango vya juu kabisa, Le Professor mwenyewe kule mto MARA, ng'ombe mmoja kwa wakati mmoja tu anatoa kg 25, tufanye kwa hesabu ya chini kabisa, huyu ng'ombe atoe kinyesi mara moja tu kwa siku, zidisha kwa...
  20. M

    Samaki kufa kwa kinyesi na mkojo wa ng'ombe inawezekana ,lakini samaki wa mto mara wamekufa kwa sababu hiyo?

    Wasalaaamu ndugu , jamaa na marafiki wa JF . Haika nawathamini sana. Kila mmoja wetu amepata kushituka kwa taarifa ya wasomi wetu nguli wa mambo ha mazingira kwa kusema samaki katika mto mara wamekufa kutokana na kinyesi na mikojo ya ng'ombe. Kabla ya kupinga au kuunga mkono majibu ya tafiti...
Back
Top Bottom