nguvu

  1. Kichwamoto

    Ndani ya vyama vya kijamii kuna wenyewe sio uenyekiti wako au ukubwa wako utakaokupa nguvu ya usaliti

    Hello Bazzukulu, Kwenye jamii zetu kuna vyama vingi vya kijamii huanzishwa na watu kwa malengo ya kudumu. Ni vema ifahamike ukipewa nafasi ya uenyekiti au urais wa chama hicho cha kijamii tambua wenyewe wapo na usithubutu kupindisha malengo yako, hasa nyakati za kupewa dhamana kipindi cha...
  2. R

    Kwanini CCM ina nguvu sehemu zenye umaskini wa fikra na mali?

    CCM inazidi kukosa nguvu kwenye majiji na makao makuu ya miji; hakuna mtu anayevaa kofia na t-shirt kama ishara ya uzalendo tena....wazee nao wamepungua kwa kasi huku idadi ya vijana ikiongezeka. Idadi kubwa ya vijana wanahama kutoka maeneo yasiyo na ajira na kukimbilia mijini. Dar es salaam...
  3. D

    Matatizo mengi tuliyo nayo yana mizizi ya kiroho. Tafuta nguvu za Mungu kuyamaliza

    Usiache kutafuta nguvu ya Mungu, maana vita ya kiroho hutakaa uiweze bila Mungu mwenyewe kuingilia Kati.
  4. M

    Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume

    Wapendwa naomba msaada nimeishiwa nguvu za kiume miezi miwili sasa hata nimekuwa kero kwa mwenza wangu. Uume umepungua hata ningebanwa mkojo haustuki unabaki umelegea. Maumivu ya kiuno ni makubwa na hayo yana zaidi ya miaka kumi. Hospitali wamekuwa wakinipa dawa za kupaka tu na za maumivu.
  5. BARD AI

    Jinsi upandikizaji wa Uume unavyofanyika kwa wenye tatizo la Nguvu za Kiume

    Huduma ya upandikizaji uume iliyotangazwa hivi karibuni na Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma ilizua mjadala, huku wengi wakipiga simu kuulizia huduma hiyo. Hospitali hiyo ilifanya upasuaji huo wa kwanza kwa kushirikiana na chama cha Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Mfumo wa Mkojo nchini...
  6. Sildenafil Citrate

    TCRA yapiga stop wimbo wa Nay wa Mitego kuchezwa kwenye vyombo vya habari

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari. Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo...
  7. R

    Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete kuanza kutibu nguvu za kiume

    Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI), inatarajia kuanza kutoa huduma ya kuzibua mishipa ya uume ikiwa ni hatua ya kukabiliana na upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume wenye tatizo hilo. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa JKCI Dk. Peter Kisenge...
  8. Jemima Mrembo

    Jemima ninasema, mwanamke mwenye nguvu zaidi aidha za uchawi au nguvu za Mungu ndiye atakayeolewa

    Nimeona nifanye sharing ya video, nimechoka ku type. Ila ili uwe kuolewa, lazima uwe na nguvu zaidi ya wanawake wengine wa bwanako.
  9. BRN

    FT: Mechi ya kujipima nguvu Simba 1-1 Zira

    Timu ya Simba ambayo iko kwenye Kambi ya maandalizi nchini Uturuki leo tarehe 24 Julai inacheza mechi yake ya kwanza ya majaribio. Mechi hiyo itaanza saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki na kati na inapambana na timu ya Zira ya Azebaiajan..timu ya Zira iliyoko pia kwenye daraja la kwanza...
  10. TheForgotten Genious

    SoC03 Ili Bunge liwe na nguvu ya kuiwajibisha Serikali, Spika wa Bunge asiwe mwanachama ama mshirika wa chama cha siasa na apatikane kwa kura za Wananchi

    UTANGULIZI. Bunge ni miongoni mwa vyombo vinavyounda dola,Bunge ndicho chombo kinacho wakilisha wananchi moja kwa moja kwa kuwa kina wabunge ambao wanapatikana kutokana na kura za wananchi. Bunge ndilo linalotunga sheria kwa niaba ya wananchi,Bunge ndilo linalopitisha maazimio yote ambayo...
  11. Raia wa Afrika

    SoC03 Nguvu ya Redio: Kuunda tabia mpya kwa jamii bora

    Katika historia, mawasiliano ya umma yamecheza jukumu muhimu katika kuunda jamii, na redio, kwa hakika, imejitokeza kama muhimili wenye nguvu katika kusambaza habari na kuathiri umma, ikileta matokeo mazuri na mabaya pia. Katika mfano muhimu wa athari nzuri ya redio, BBC ilizindua kampeni yenye...
  12. B

    Mataifa yenye nguvu ya silaha za nyuklia duniani

    Yafuatayo ni mataifa 9 yenye uwezo mkubwa wa silaha hatari za nyuklia duniani. 1. Urusi Pamoja na kupunguza hifadhi zake za nyuklia tangu kumalizika kwa vita baridi (Machi 12, 1947 – Desemba 3, 1989), Urusi na Marekani zinamiliki asilimia 90% ya silaha zote za nyuklia duniani. Lakini Urusi ni...
  13. R

    Miundombinu ya mjini inachangia sana fursa ya kuzini; kijijini zinaa inafanyika kwa shida sana; Hapa ndipo nguvu za kiume na kike zinapopotelea

    Mjini ukitaka kuzini ni wewe tu na pesa yako; lodge kila kona lakini pia maisha yakupanga yanakuruhusu kuzini kila unapojisikia. Hii ni sababu kubwa ya wanaume wa mjini kuona tendo la zinaa ziyo tatizo na kubweteka. Kijijini kuzini hadi uoe au uishi kwenye vichaka; la sivyo ukiwa sehemu ambayo...
  14. S

    Hivi hili la bandari nalo likipita kwa ushwari uliolengwa na mamlaka, je ni kitu gani au jambo gani tena la kutuingiza barabarani kama nguvu ya umma?

    Kama kuna jambo ambalo limeamsha hisia na vuguvugu za kizalendo kwa kipindi kirefu kilichopita, na kupata sapoti ya wanazuoni wanaoheshimika ndani na nje ya nchi ni hili la bandari. Pamoja na kuwa wazi kabisa kwamba kuna kila dalili ya kuja kulilia huko mbele ya safari kuwa viongozi wetu...
  15. DR HAYA LAND

    Je, unaweza pata Mafanikio bila Nguvu zozote za kiroho?

    Hello Kama mtu mpamanaji mwenye ndoto za Kupata Mafanikio ambayo yamesimama je unaweza kuyapata bila Nguvu za kiroho? Hapa sizungumzii Mafanikio ya Nyumba gari na NO Namaanisha Mafanikio Makubwa ya kuishi vizuri huku ukiwa Una uhakika hata ukilala kitandani miaka mitano bado Biashara zako...
  16. Auntyg

    SoC03 Tukithubutu, tukafanya tutasonga mbele kwa nguvu ya kilimo

    Tunaposema Uwajibikaji ni kitendo Cha kutimiza majukumu Fulani husika Kwa maslahi binafsi au ya jamii husika. Kilimo ni uzalishaji wa mazao ya biashara na ya chakula. Kilimo ni sekta muhimu inayobeba dhana nyingi sana. kiuchumi, kitamaduni, hata jamii Kwa ujumla Tunaposema kilimo ni mama...
  17. BARD AI

    Tume ya Haki Jinai: Vyombo vya Ukamataji hutumia nguvu na kutesa Watuhumiwa

    Akiwasilisha Mapendekezo mbele ya Rais Samia, Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu, Mohamed O. Chande amesema wamebaini hayo baada ya kuhoji Watuhumiwa katika Vituo 46 vya Polisi Nchini Pia, Tume imebaini uwepo wa Taasisi nyingi za ukamataji na zenye Mahabusu hali inayosababisha ugumu...
  18. Stephano Mgendanyi

    Michezo Yapewa Nguvu Jimbo la Manonga

    MBUNGE SEIF GULAMALI AZIDI KUIPA NGUVU SEKTA YA MICHEZO JIMBONI MANONGA Mbunge wa Jimbo la Manonga Wilaya ya Igunga Mhe. Seif Khamis Gulamali ameanza ziara rasmi kwenye Kata ya Igoweko na Vijiji vyote na Kufanya Mikutano katika Maeneo 5 kwa Maana ya Seregei, Mwina, Buhekela, Bugingija na...
  19. GENTAMYCINE

    Unadhani hii Nguvu Kubwa ya Watanzania Kuijadili DP World ije au isije ingehamishwa Kujadili ya Msingi tungekuwa 'Masikini Tukuka' hadi Leo?

    Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu 'Comments' zenu hivyo Karibuni sana.
  20. I

    SoC03 Maajabu matatu (3) yenye nguvu ya kutisha yaliyoifanya familia masikini kuikopesha Marekani

    Hapo zamani za kale pembezoni mwa upwa wa bahari ya hindi kulikua na familia ya wabantu. Familia hiyo kwa umaarufu wake wa kumiliki kila aina ya vito vya thamani hata vile visivyoweza kupatikana kwa malimwengu yote yaani tanzanite, vilipelekea familia za walowezi kutumia mabavu kujimilikisha...
Back
Top Bottom