Hello Bazzukulu,
Kwenye jamii zetu kuna vyama vingi vya kijamii huanzishwa na watu kwa malengo ya kudumu.
Ni vema ifahamike ukipewa nafasi ya uenyekiti au urais wa chama hicho cha kijamii tambua wenyewe wapo na usithubutu kupindisha malengo yako, hasa nyakati za kupewa dhamana kipindi cha...
CCM inazidi kukosa nguvu kwenye majiji na makao makuu ya miji; hakuna mtu anayevaa kofia na t-shirt kama ishara ya uzalendo tena....wazee nao wamepungua kwa kasi huku idadi ya vijana ikiongezeka.
Idadi kubwa ya vijana wanahama kutoka maeneo yasiyo na ajira na kukimbilia mijini. Dar es salaam...
Wapendwa naomba msaada nimeishiwa nguvu za kiume miezi miwili sasa hata nimekuwa kero kwa mwenza wangu. Uume umepungua hata ningebanwa mkojo haustuki unabaki umelegea.
Maumivu ya kiuno ni makubwa na hayo yana zaidi ya miaka kumi. Hospitali wamekuwa wakinipa dawa za kupaka tu na za maumivu.
Huduma ya upandikizaji uume iliyotangazwa hivi karibuni na Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma ilizua mjadala, huku wengi wakipiga simu kuulizia huduma hiyo.
Hospitali hiyo ilifanya upasuaji huo wa kwanza kwa kushirikiana na chama cha Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Mfumo wa Mkojo nchini...
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.
Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo...
Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete(JKCI), inatarajia kuanza kutoa huduma ya kuzibua mishipa ya uume ikiwa ni hatua ya kukabiliana na upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume wenye tatizo hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa JKCI Dk. Peter Kisenge...
Timu ya Simba ambayo iko kwenye Kambi ya maandalizi nchini Uturuki leo tarehe 24 Julai inacheza mechi yake ya kwanza ya majaribio.
Mechi hiyo itaanza saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki na kati na inapambana na timu ya Zira ya Azebaiajan..timu ya Zira iliyoko pia kwenye daraja la kwanza...
UTANGULIZI.
Bunge ni miongoni mwa vyombo vinavyounda dola,Bunge ndicho chombo kinacho wakilisha wananchi moja kwa moja kwa kuwa kina wabunge ambao wanapatikana kutokana na kura za wananchi.
Bunge ndilo linalotunga sheria kwa niaba ya wananchi,Bunge ndilo linalopitisha maazimio yote ambayo...
Katika historia, mawasiliano ya umma yamecheza jukumu muhimu katika kuunda jamii, na redio, kwa hakika, imejitokeza kama muhimili wenye nguvu katika kusambaza habari na kuathiri umma, ikileta matokeo mazuri na mabaya pia.
Katika mfano muhimu wa athari nzuri ya redio, BBC ilizindua kampeni yenye...
Yafuatayo ni mataifa 9 yenye uwezo mkubwa wa silaha hatari za nyuklia duniani.
1. Urusi
Pamoja na kupunguza hifadhi zake za nyuklia tangu kumalizika kwa vita baridi (Machi 12, 1947 – Desemba 3, 1989), Urusi na Marekani zinamiliki asilimia 90% ya silaha zote za nyuklia duniani. Lakini Urusi ni...
Mjini ukitaka kuzini ni wewe tu na pesa yako; lodge kila kona lakini pia maisha yakupanga yanakuruhusu kuzini kila unapojisikia. Hii ni sababu kubwa ya wanaume wa mjini kuona tendo la zinaa ziyo tatizo na kubweteka.
Kijijini kuzini hadi uoe au uishi kwenye vichaka; la sivyo ukiwa sehemu ambayo...
Kama kuna jambo ambalo limeamsha hisia na vuguvugu za kizalendo kwa kipindi kirefu kilichopita, na kupata sapoti ya wanazuoni wanaoheshimika ndani na nje ya nchi ni hili la bandari.
Pamoja na kuwa wazi kabisa kwamba kuna kila dalili ya kuja kulilia huko mbele ya safari kuwa viongozi wetu...
Hello Kama mtu mpamanaji mwenye ndoto za Kupata Mafanikio ambayo yamesimama je unaweza kuyapata bila Nguvu za kiroho?
Hapa sizungumzii Mafanikio ya Nyumba gari na NO
Namaanisha Mafanikio Makubwa ya kuishi vizuri huku ukiwa Una uhakika hata ukilala kitandani miaka mitano bado Biashara zako...
Tunaposema Uwajibikaji ni kitendo Cha kutimiza majukumu Fulani husika Kwa maslahi binafsi au ya jamii husika. Kilimo ni uzalishaji wa mazao ya biashara na ya chakula. Kilimo ni sekta muhimu inayobeba dhana nyingi sana. kiuchumi, kitamaduni, hata jamii Kwa ujumla
Tunaposema kilimo ni mama...
Akiwasilisha Mapendekezo mbele ya Rais Samia, Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mkuu Mstaafu, Mohamed O. Chande amesema wamebaini hayo baada ya kuhoji Watuhumiwa katika Vituo 46 vya Polisi Nchini
Pia, Tume imebaini uwepo wa Taasisi nyingi za ukamataji na zenye Mahabusu hali inayosababisha ugumu...
MBUNGE SEIF GULAMALI AZIDI KUIPA NGUVU SEKTA YA MICHEZO JIMBONI MANONGA
Mbunge wa Jimbo la Manonga Wilaya ya Igunga Mhe. Seif Khamis Gulamali ameanza ziara rasmi kwenye Kata ya Igoweko na Vijiji vyote na Kufanya Mikutano katika Maeneo 5 kwa Maana ya Seregei, Mwina, Buhekela, Bugingija na...
Hapo zamani za kale pembezoni mwa upwa wa bahari ya hindi kulikua na familia ya wabantu. Familia hiyo kwa umaarufu wake wa kumiliki kila aina ya vito vya thamani hata vile visivyoweza kupatikana kwa malimwengu yote yaani tanzanite, vilipelekea familia za walowezi kutumia mabavu kujimilikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.