Hellow, naombeni msaada wenu.
Nina shida kwenye namba yangu ya NIDA.
MAJINA yangu yalikosewa kwenye NIDA Jina la katikati likakaa mwisho na la mwisho likakaa katikati yakatofautiana na ya kwenye vyeti vyangu vya
taaluma
Nikafuatilia ofis za NIDA wilaya , nikaelekezwa cha kufanya nkafuata hatua...