nissan

  1. M

    Msaada kati ya subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis ya 2007

    Wakubwa naitaji kumiliki gari moja wapo kati ya hizi Subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis 2007 je, Ipi inanifaa zaidi ikizingatiwa ndo mara ya kwanza kutaka kumiliki gari? Nilitaka kujua kuhusu ubora ,gharama ya vifaa Subaru Forester 2005 Nissan Dualis 2007
  2. High Vampire

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana. Je, wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu. BAADHI YA MAWAZO YALIYOTOLEWA NA WADAU KUHUSU GARI HII --- --- --- --- --- --- --- ---
  3. Mwl Evarist Mchele

    Nakaribisha offer za exchange deal. Nissan xtrail

    Kwa yeyeto mwenye mapenzi na xtrail na yuko tayar kufanya xchange deal, nakaribisha ofa
  4. G

    Mjadala: Je, ni kwanini gari hupoteza nguvu? Je, unawezaje kutatua tatizo hili?

    MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI Gari ninayotumia ni Chaser GX100. Nimesafiri nayo kutoka Dar kuja Iringa na ninatarajia kuitumia kurudi Dar. Imetokea ghafla steering imekuwa nzito (stiff) ie unatumia nguvu kidogo kukata kona. Hakuna kelele za belt kwisha, hakuna leakage...
  5. blakafro

    Nissan Patrol Nyeupe ya Mwaka 2008 inauzwa, Ina Engine ya TD42

    TD42 ENGINE | MANUAL | 4WHEEL DRIVE | DIESEL WHITE COLOUR | AFTER MARKET RIMS |BRAND NEW TYRES. FULL AC | 93,000KM VERY CLEAN INTERIOR. UN-REGISTERED. Price : 50Million Negotible. 📞 0744183343
  6. funzadume

    Nataka nimnunulie wife Nissan Dualis

    Wataalam wa hizi kazi nataka nimchukulie wife Nissan Dualis baada ya kukaa sana kwenye Toyota. Je, wajuvi mnasemaje kuhusu uimara na ubora au udhaifu wa hizo gari?
  7. C

    Nahitaji Used gear box ya Nissan Caravan

    Salamu wana bodi, Nina shida na gear box ya nissan caravan. Natafuta used. Msaada tafadhali. Hata kwa asiye nayo ningeoenda nipate mchango kuwa bei zake zikoje. Asanteni
  8. Mb-one

    Fuel consumption ya Nissan x trail 2007/2008 ikoje?

    Wakuu habari, Poleni na janga la corona. Nilikuwa nauliza kuhusu matumizi ya mafuta ya hi gari Nissan xtrail 2007 au 2008 ikoje kiuhalisia kwa wale waliotumia hii gari au wanijua vizuri. Kutokana na specification Yake ni 1990CC Nitashukuru \
  9. hp4510

    Wapi kuna fundi mzuri wa magari ya Nissan?

    Jamani leo asubuhi nimeona jambo la ajabu kwenye gari yangu Pale kwenye top cover Kuna vuja oil ambayo inaenda kuungua chini na kutoa Moshi mwingi Sana So please wandugu kama kuna mtu anajua fundi mzuri wa hizi Nissan teana au gereji mzuri naomba connection
  10. Bonlove

    Naomba msaada au ushauri juu ya Fundi wa Nissan X-trail

    Habarini na poleni na majukumu, Ninaomba msaada/ Ushauri juu ya Tatizo la gari langu (Nissan X- trail) nimetumia hili gari zaidi ya miaka 6, shida ilijitokeza kwenye Engine nikafanya uamuzi wa kubadilisha Engine na gear box (niliweka nyingine). Baada ya kukamilisha hilo zoezi cha ajabu (shida)...
  11. ElectronicSalim

    Nissan X-trail new model

    xtrail new model Bei 15.5 Million 78,000 KM Petrol Engine 1990cc 1 owner , the car has been well taken care of. Call 0762 53 578
  12. K

    Msaada: Mafundi wazuri wa Nissan X-Trail

    Wanabodi, Leo asubuhi wakati nawasha gari yangu ya Nissan X Trail ikatoa muungurumo usio wa kawaida yake. Muungurmo wa gari uliotoa ni kama ule wa magari ya mashindano au kama ule unaofanana na Subaru Forester. Nimeshindwa kuondoka nalo kwenda nalo ofisini imenibidi nilipaki nyumbani. Naomba...
  13. Nukta5

    Msaada: Nissan Bluebird Sylphy

    Habari wakuu ninaomba msaada wa kuzijua hizi gari za nissan bluebird kwenye ulaji wa mafuta na upatikanaji wa spare parts nimeona bei inaridhisha nikaona nije kwa wataalamu kwa ushauri zaidi ahsante. Engine size: 1490cc
  14. bwegebwege

    Msaada: Natafuta injini ya Nissan Patrol (Turbocharged) 4.2L TD42T3

    Wadau, Mimi ni mpenzi wa Nissan. Natafuta hiyo Engine hapo juu (TURBOCHARGER SYSTEM NISSAN PATROL 4.2L TD42T3) DIESEL
  15. A

    Kati ya Subaru Forester na Nissan X-trail, ipi bora?

    Wadau, salamu kwenu. Naomba ushauri toka kwenu. Mimi ni mgeni wa magari ila nayapenda haya magari, sasa je gari gani kati ya Nissan X-tail na Subaru Forester ni bora zaidi kwenye: 1. Uimara 2. Kuhimili barabara za vumbi na tope 3. Upatikanaji wa spea
  16. R

    Nissan X-trail imekataa kuwaka, haitupi spark kwenye cylinder, mashine inasema hakuna error code yoyote

    Habari wanabodi Nna Nissan X-trail, haijawahi kuniletea shida yoyote kabisa, ila mwezi mmoja kabla engine ili-heat kwa uzembe wangu mwenyewe, nikabadilisha head, gari ikarudi sawa, nikatembelea zaid ya mwezi, kama wiki moja iliyopita taa ya check engine iliwaka, nikaona isiwe tabu, nikapeleka...
Back
Top Bottom