nissan

  1. Ulongupanjala

    Nissan Caravan TD Engine

    Habari za jioni wandugu, Naomba kuuliza mwenye NIssan Caravan Td Engine ya kuuza iliyo kwenye hali nzuri,aje PM tuyajenge. Asanteni wote.
  2. Bexb

    Nahitaji Nissan Dualis Used

    Habari ya asbuhi wajumbe. Ninahitaji Nissan Dualis kaliii nzuri na isiyo na shida. Budget iliyopo ni 12.5M. Kama itakuwa moja kwa moja toka kwa mwenye gari itakuwa vema zaidi lakini hata kama itapitia kwa dalali basi awe wazi kujitambulisha kama dalali. Kama unayo tafadhali nicheki ili tuje...
  3. G

    2015 Nissan X-trail Hybrid Vs 2015 Honda vezel Hybrid gari zinazokuja kuteka soko kila eneo

    Nissan x-trail hybrid Honda vezel hybrid Gari zote ni cc chini ya 2000cc pia ni 4w drive consumption ya hybrid si chini ya 20km/l so nashauri kama unataka kaagiza gari basi zingatia hybrid cars kama hizo, maoni zaidi yanakaribishwa.
  4. M

    Nissan Xtrail taa ya check engine imewaka

    Hii ni Xtrail ya 2007/8. Taa ya check engine inawaka lakini gari inafanya kazi vizuri tu. Nimejaribu procedure za kui-reset lakini bado. Pia nilichomoa battery kwa sekunde chache lakini bado. Kuna jamaa yangu kaniambia yeye inawaka mwaka wa pili sasa na maisha yanaendelea kama kawaida. Kasema...
  5. Msanii

    Nissan Xtrail na changamoto zake

    Waheshimiwa wanajukwaa umofia kwenu. Kwa heshima na taadhima ninaomba kufahamu changamoto zozote zinazohusu gari aina ya Nissan Xtrail? Mfumo wake wa umeme Transmission ipoje Anything pls Natanguliza shukrani
  6. Samatime Magari

    Nissan X Trail aka Kimeo

    Samahani kwa kuita gari yako pendwa Kimeo ila twende pamoja utanielewa huko mbele, Kaa vizuri andaa Juice yako bariiidii ule MADINI.. . X trail ni moja ya SUV [compact crossover] ya Kijapan iliyoingia sokoni November 2000, Ikiwaa ni crossover SUV ya Kwanza kutoka Nissan. Nissan X trail mpaka...
  7. Ulongupanjala

    Nozel za Nissan Caravan Z30 zinahitajika

    Wakuu heshima kwenu, Kuna gari Nissan Caravan ya 2007 CC 2950 ya Diesel.(Engine Z30) Hii gari ilikuwa inatumia lita 1 kwa km 9. Sasa kuna mtu aliweka Petrol kuanzia hapo tatizo likaanza lita 1 ikawa km 8 hadi sasa lita 1 kwa km 6. Mafundi wamekagua na kushauri ninunue Nozel zake 4 hivyo...
  8. C

    Car4Sale Nissan Dualis inatafutwa kwa bajeti milioni 9

    Kama unayo na umeichoka njoo pm tuyajenge. Dalali tulieni kwanza hela ngumu kwa sasa.
  9. T

    Naomba ushauri kuhusu Nissan X-Trail toleo la kuanzia 2015

    Habari wakuu. Kuna staff mwenzangu kaniomba ushauri kuhusu Xtrail toleo la pili kuanzia 2015 anataka kununua nimpe ushauri. Sasa ukizingatia mimi sio mtaalamu wa masuala ya magari, nikaona niombe ushauri huku kwanza ili nipate abc za kumpa. Waomba reviews za hiyo gari wakuu. Ahsante sana.
  10. Teremaro

    Kuhusu gari aina ya Nissan Dualis

    Ndugu wanaJamiiiForums, habari za wakati huu Naomba mwenye kujua kuhusu gari aina ya Nissan Dualis kuanzia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa Spare na changamoto zingine. Na vipi kununua used kwa mtu maana nyingi zinauzwa sana mtaani. Je, zinakuwa kuna changamoto inayopelekea hizi gari kuuzwa...
  11. K

    Car4Sale Gari aina ya Nissan linauzwa

    Gari aina ya Nissan spirit type two (2), serious buyers only, gari nzima na inatembea bei ni 8 Millions, Kwa maelezo zaidi piga 0757340880
  12. AUTOMASI COMPANY LIMITED

    Car4Sale Karibu automasi uagize nasi gari lenye ubora kwa gharama nafuu

    KARIBU AUTOMASI UAGIZE NASI GARI LENYE UBORA KWA GHARAMA NAFUU ************** ♻️ High Quality , Reliable, and Speed ♻️ *************** 🔅VEHICLE DESCRIPTION Make : TOYOTA Model ...
  13. P

    Pickup Nissan patrol for sale

    Nauza Nissan Patrol haina shida yoyote ni kuwasha na kuondoka Bei 9,000,000 Mawasiliano whatsap 0626333300
  14. B

    Nissan Tanzania, Toyota Kenya na VW Rwanda

    Kwanza tunawashukuru Nissan kuja kufungua kiwanda cha magari Tanzania. Sasa ukitaka Toyota nenda kanunue Kenya maana huko nasikia Toyota wamefungua/wanafungua kiwanda. Ukitaka VW nenda Rwanda maana huko tayari kiwanda kipo. Ila Nissan, Tanzania ndio zitakuwa zinaundwa. Nasikia hata hao VW...
  15. Ze Bulldozer

    Nissan wakubali sera za Rais Samia. Kujenga kiwanda Cha magari Tanzania

    Kufuatia sera nzuri za uwekezaji zilizoasisiwa na Rais wa awamu ya Sita Mhe Samia Suluhu Hassan, Tayari makampuni mbalimbali yanamiminika kuwekeza Tanzania ikwemo Kampuni hii ya Nissan iliyoonesha nia ya kuwekeza kiwanda cha kuunganisha magari, Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi...
  16. Tembele

    Car4Sale Nissan Murano Inauzwa

    Habari, Gari Excellent Condition inauzwa Nissan Murano - T879 DRW In a good condition, Full Ac Bei. - 10.5 M Contact - 0685020831 Gari ipo Tegeta - Kibo Complex, unaeeza nipigia muda wowote kuiona gari. ( 0685020831)
  17. Influenza

    Car4Sale Nissan Teana inauzwa. Ipo kwenye hali nzuri

    Wakuu naamini mpo salama, Kwa anayehitaji kununua usafiri wake, nipo na Nissan Teana nzuri na nzima, nauza. Gari limesajiliwa Tanzania kwa usajili wa DMK DETAILS Make Nissan Model Teana Manufacturing Year 2007 Engine Capacity 2340 cc Fuel Type Petrol Transmission Automatic Color...
  18. R

    Natafuta Clutch ya Nissan Xtrail manual

    Salaam Naomba msaada wa kujua duka linauza spare parts za Nissan Xtrail. Nahitaji clutch na pressing yake. Gari ni manual Natanguliza shukran
  19. K

    Car4Sale Nissan xtrail for sale 3.8m

    Habari Nauza gari Nissan extrail for repair or spare. Ilipata ajali ikagongwa mbele. Inahitaji nose cut complete. 2004 Tuwasiliane kwa namba 0713750760 bei 3,800,000 gari iko Dar Goba. Engine haina shida kabisa
  20. Ramon Abbas

    Car4Sale Chuma nyingine hii hapa kwa bei ya Kuhamia Burundi. Nissan March kwa 2mil only

    Gari imekaza. Gari inatembea mwendo mdundo Haina shida wala kelele Njoo na Mil 2 nikuachie sms 0625750755 gari za bei kitonga zipo. imebaki hii tu INAFUATA FORD XLT manual gear kwa milioni 7
Back
Top Bottom