nissan

  1. Myahudi Jr II

    Natafuta vifaa hivi vya Nissan Dualis, DBA-KJ10

    Husika na kichwa cha habari hapo juu, Namshukuru Mungu ni mzima hata sasa, Jumapili nilinusurika ajali mbaya san, Kikubwa Uzima. tuende kwenye Mada Kama unajua/unauza vifaa hivi vya nisaan dualis niuzie upate pesa chap chap 1. Engine Cover, hii ndio ninayohitaji. 2. Inner fender(madgad)...
  2. JituMirabaMinne

    Athari za kutoa masega kwenye gari (catalytic converter)

    Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa. Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine, Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas. Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
  3. Kapepo

    Nissan Fair Lady Z 2005

    Wakuu naomba kujua kiundani juu ya hii gari bei, upatikanaji wa vipuli pamoja na ulaji wa mafuta nimetokea kupenda bajeti yangu ni 20milioni je naweza pata?
  4. aka2030

    Msaada gari ipi nzuri kati ya subaru Forester xt Outlander na Nissan Dualis

    Members naombeni mawazo hapo gari gani nzuri kwa Mtanzania mwenye kipato cha kawaida anayetaka kumiliki gari ya juu
  5. boy 1

    Plot4Sale Nissan tiida ipo sokoni

    Nissan tiida Ipo sokoni 2004 Km110000 Cc 1490 Black Nipe mlioni 6.9 tu Milioni sita na laki Tisa tu Njoo pm tufanye biashara
  6. KIMOMWEMOTORS

    MAJIBU: Niagize Nissan Murano, Dualis au Xtrail?

    NICHUKUE IPI KATI YA NISSAN MURANO, DUALIS NA XTRAIL? Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari 1. Nissan Murano Injini bora ya hii ni ile yenye Cc 2500 inayokadiriwa kwenda Km 10.6/L. Katika safari ndefu hii inasifika kufanya vizuri zaidi ya hizo nyingine sababu ina uzito mkubwa wa tani...
  7. Chizi Maarifa

    Nissan 2021 Vs Toyota 2021 Jamaa wamefikia Tamati katika Ubunifu

    Nissan. Toyota
  8. Tebajanga

    Nissan Dualis inagonga ukikata kona

    Habari wakuu, nina Nissan Dualis ya 2010. Pindi ukikata kona inakuwa inagonga. Wiki iliyopita nilikagua CV Rubber boot na mojawapo ikawa imekatika. Nikaenda kwa fundi akaisafisha CV joint na kuweka rubber mpya. Ndani ya siku mbili ule mlio haukuwepo, ila sasa umerudi tena na hakuna rubber...
  9. M

    Nissan Dualis: Msaada mwenye uzoefu na hili gari naomba ufafanuzi

    Picha: Nissan Dualis Wakuu nianze kwa kuwasalimu na kuendelea kukumbushana pia kuhusu namna ya kujikinga na hili gonjwa la sasa.. Corona Naomba nije kwenye topic kuu sasa. Nimekuwa nikitamani sana kumiliki gari lililo juu juu (wenyewe wanaita SUV), kutokana na mazingira niliyopo, gari la...
  10. Lee

    Msaada: Half engine Nissan Hardbody

    Wakuu nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Nina uhitaji wa half Engine ya Nissan hardbody QD 32, mwenye nayo au maelekezo wapi pa kuipata kiurahisi itakuwa msaada kwangu muhimu iwe jiji mwetu humu la joto. Asanteni.
  11. Elias400

    Kwanini magari aina ya Nissan yanasumbua mafundi kwenye matengenezo?

    Habari wadau,hivi ni kwanini magari aina ya Nissan matengenezo na marekebisho yake yanasumbua mafundi wengi?pia ni gharama kubwa kurekebisha ukilinganisha na Toyota
  12. T

    Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

    Habari. Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF. Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa. Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara...
  13. Extrovert

    Naombeni kujuzwa bei ya Engine na Gearbox hii ya Nissan

    Engine ya Nissan: Code: QG18 Gearbox yake: Code:N16 Applications: Nissan Almera, Nissan Sentra, Nissan Sunny, Nissan Bluebird/Sylphy Mwenye clue na bei ya engine ndogo za Nissan, hio engine tajwa ni 1796cc au 1.8L! Tafadhali taarifa yako ni muhimu.
  14. Mapank

    Nini kimepelekea gari za nissan Y62 isifanye vizuri kama nissani y61 na y60

    Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa magari ya Toyota na Nissan kwa hapa Tanzania. Ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa kuteka soko la magari kwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa. Kama kichwa kinavyojieleza toleo la Nissan y62 lina muda sasa lakini sioni watu wakiyakimbilia kama ilivyo tokea kwa matoleo ya...
  15. M

    Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

    Heshima kwenu wakuu. Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba) Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000. Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru...
  16. aleesha

    Naomba ushauri wa namna ya kuihudumia Nissan March

    Habari zenu wana jukwaa? Mimi kwa sasa ni Mkaazi wa Zanzibar, niliporudi nyumbani nilivitiwa na Muonekano wa Nissan March nikaamua niinunue, ila Marafiki zangu wa karibu wamekua wananilaumu sana kwa nini nimenunua Nissan March na nisinunue gari za Toyota kama IST? Hivo wana jukwaa nawaombeni...
  17. Manyema

    Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Nissan Dualis

    Wakuu tukienda moja kwa moja kwenye mada, nipo kwenye mchakato wa kubadili kababy walker kangu hivyo basi katika pita pita zangu huku na kule mtandaoni nikakutana na huyu mnyama anaitwa Nissan Dualis na akanivutia sana. Kwa hiyo nilikuwa naomba ushauri wenu kuhusu hiyo gari. Kuanzia kwenye...
  18. Tebajanga

    Gereji na oil nzuri kwa Nissan Dualis

    Habari wakuu. Ninatarajia kuchukua Nissan Dualis. Napenda kujua ni oil zipi (Brand na vipimo) na ni gereji ipi kwa hapa Dar es Salaam wana mafundi wazuri wa Nissan? Pia kuna uzi niliusoma unasema oil ya engine inabidi iwe 5w 30, je kuna ukweli kuhusu hilo? Na oil ya transmission, gearbox oil...
  19. KIMOMWEMOTORS

    Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  20. P

    Msaada wa kumpata fundi/gereji wa nissan hard body hapa Dar

    Poleni na Majukumu ya kila siku. Changamoto niliyonayo ni jinsi gani ya kupata fundi/gereji nzuri ya nissan hardbody hapa dar ambayo imepack kama miezi sita.Hapo awali ilikuwa iko poa tu,tatizo niliposafiri hapakuwa na mtu wa kuwa anaiwasha kila siku asubuhi. Naomba mwenye kujua fundi...
Back
Top Bottom