Mtu mmoja Mwajuma Mohamed mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa Veta Jijini Mbeya amenusurika kifo usiku wa kuamkia leo Julai 31 baada ya gari alilokuwa akiendesha aina ya Nissan Dualis kuteketea kwa moto katika eneo la Kabwe kata ya Iyela Jijini Mbeya
Afisa habari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji...
Wakuu salama?
Mfano mtu anataka ku experience the difference, ahame kutoka Toyota Rav 4/Harrier/Vanguard. Je kati ya hizi gari mbili ipi nzuri zaidi ama abakie tu kwa Toyota?
Gari hizo ni Foresta Toleo la nne na X-trail toleo la nne.
Ahsante sana
alphard
athlete
bmw
crown
dualis
inauzwa
ist
kali
nauza
new
nissannissan dualis
noah
premio
raum
sale
sana
series
shape
subaru
subaru forester
toyota
toyota wish
wish
Wakuu naomba kufahamu wataalamu wa magari, je ni wazo jema mtu kutaka kuuza Vanguard ya mwaka 2011 na kutaka kununua Nissan Extrail ya mwaka 2016.
Naomba uzoefu na ujuzi wenu wakuu.
Gari zote hizi hapa chini.
Nissan march
Top speed 200
Cc 1400
Bei 5.5 million
BIMA IPO
HAIDAIWIII
Sound option on steering
Full ac na full file
Gari haina changamoto yoyote ile ya ufundi
Ipo dar es salaam , sinza
0784020604
Habari wakuu.
Ninauza Gari yangu Nissan Tilda Namba C.
Engine: cc1490
Gari haitembei Ina changamoto zifuatazo
- Badhi za sensa zimekifa nilimwita fundi akatazama na kubadili sensa, gari iliwaka vizuri na kutembea. Sikuwa na fedha ya kulipia hizo sensa hivyo fundi akarudishia zile Mbovu, jumla...
Nina gari ambayo inahitaji kufungwa gearbox mpya lakini simjui fundi mwenye ozoefu na muaminifu hapa Dar ; wengi wa mafundi ninaowafahamu sio professional kwani sio waaminifu Ingawa unawalipa hela nzuri tu.
Sasa kama kuna mtu anamfahamu fundi muaminifu na mzoefu anaeweza kuja kunifungia...
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
bmw
discovery
dualis
fuso
isis
mark x
mazda
nissannissan dualis
note
offa
pdf
raum
scania
series
spacio
subaru
subaru forester
suzuki
toyota
ubaya
ufupi
ushauri
volvo
wapenzi
Habari zenu
Kampuni yetu inatoa mkopo wa magari ni gari aina moja tu nissan juke naomba nijue changamoto zake nianze kujipanga mapema kabla sijachukua hili gari nasika watu wanayasema sana haya manissan, nikipata na mtu ambae anamiliki hili gari anipe habari zake nitashukusu sana.
Nauza au Kukodisha pick up Single cabin
Imenunuliwa 2014 ikiwa mpya kutoka South Africa.
Namba ya Usajili T4....DBW
Kwa Yoyote atakaye hitaji napatikana kwa
0767 848423
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.