NMB Bank Nepal is a commercial bank in Nepal with headquarters in Kathmandu. The bank is licensed by central bank of Nepal, the Nepal Rastra Bank and has 163 branches across the nation providing retail and commercial banking services.
Recently, it acquired Om Development Bank.
The bank's shares are publicly traded in the Nepal Stock Exchange. The Bank has a joint venture agreement with Netherlands Development Finance Company (FMO) a Dutch development bank which holds 17% of the bank's shares and is the largest shareholder of the Bank.
Head; Technology Infrastructure
Job Purpose
Driving strategy and execution of operations of the bank’s technology infrastructure and ensuring operational availability, performance, scalability, recoverability, security and continuous improvement of these infrastructure.
Main Responsibilities...
Watu watatu wamefi kishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la wizi na utakatishaji wa zaidi ya Sh bilioni mbili mali ya Benki ya NMB.
Washitakiwa hao ni Joseph Nicas (63) Mlinzi na Mkazi wa Kimara, Paston Pangaja (37) Mkazi wa...
Senior Manager, Compliance
Job Purpose
Serving as the Data Protection Officer of the bank (DPO), is expected to support the design, development and implementation of strategies, standards and procedures to support the Data Governance program while facilitating adherence to NMB Enterprise Data...
Data Risk Analyst
Job Purpose
The Analyst is responsible for executing investigations to identify relationships that pose money laundering, terrorist financing, fraud, and sanctions risks.
The Analyst/Investigator compiles evidence and documentation in compliance with AML procedures and...
Habari wandugu. kwa yeyote anayeweza kunisaidia namna ya ku-upload CV kwenye website ya Bank ya NMB. Mimi kila ninapo upload inanikatalia. Please help!
Kama kuna benki yenye kiwango cha chini kwenye ubunifu basi NMB ni moja wapo! Wakati benki zingine zikiwa zimeshaachana na lile sharti la kung'ang'ania mfanyakazi anayetaka mkopo lazima mshahara wake upitie benki yao, NMB wao ndo kwanza wanazidi kusisitiza hilo sharti kama kigezo namba moja...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI
JESHI LA POLISI TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUKAMATWA KWA WATU 32 KWA TUHUMA ZA MABILIONI YA BENKI YA NMB JIJINI DSM.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linawashikilia watu 32 kwa tuhuma za wizi wa fedha kiasi cha...
Hakika ule msemo wa pesa sabuni ya roho umejidhihirisha baada ya Bilionea Laizer kupongezwa kimasai na Benki ya NMB wakionyesha heshima kubwa kwake.
Pata pesa benki zikufate popote ulipo tena kwa kutumia lugha yako.
Leo nilitakiwa nipate huduma katika Tawi hilo kwa kulipia mapato ya TRA lakini nilipofika pale sikuamini macho yangu. Tawi lile lina madirisha matano ya kutolea huduma lakini ni dirisha moja tu ndilo lililokuwa na mtumishi wao anayetoa huduma.
Wateja tulikuwa zaidi ya 200 na wengi wa wateja...
Jamaa Facebook anajiita Venance Mbike akitaka kukutapeli anakuanzia mbali kidogo kwenye kipengele cha kukuomba urafiki. Kisha anajifanya mlisoma wote aidha chuo kikuu au sekondari lakini yeye alikutangulia kidogo but anakufahamu sana.
Kama unapenda siasa atakupeleka huko, kama u mpenzi wa mpira...
NMB declares 48bn/- dividend to govt, shareholders
THE government and other NMB Plc shareholders will pocket 48bn/- dividend payment this year which is equivalent to 45 per cent increase compared to 33bn/- paid in the previous year. Last year, the bank handed over 10.48bn/- dividend to the...
Relationship Manager (Chinese Portfolio)
Job Purpose
To evaluate Chinese portfolio credit risks associated with lending at the client interface, with the primary objective to contain credit risk within acceptable parameters.
Main Responsibilities
Provision of direct credit evaluation services...
Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.