Nilisikiliza mjadala wa NSSF Kenya - LIVE, nikaona kikokotoo chao kina endana endana na vya Nchi za wenzetu...
Fikiria Mfanyakazi wa Kenya hukatwa 5% ya Mshahara na muajiri humchangia 5% kufanya jumla ya michango iwe 10% lakini akistaafu hupata wastani wa pension ya nusu ya Mshahara wake kila...