oman

Oman
Oman ( (listen) oh-MAHN; Arabic: عمان‎ ʻumān [ʕʊˈmaːn]), officially the Sultanate of Oman (Arabic: سلطنة عُمان‎ Salṭanat ʻUmān), is an Arab country on the southeastern coast of the Arabian Peninsula in Western Asia. Its official religion is Islam. Holding a strategically important position at the mouth of the Persian Gulf, the country shares land borders with the United Arab Emirates to the northwest, Saudi Arabia to the west, and Yemen to the southwest, and shares marine borders with Iran and Pakistan. The coast is formed by the Arabian Sea on the southeast and the Gulf of Oman on the northeast. The Madha and Musandam exclaves are surrounded by the UAE on their land borders, with the Strait of Hormuz (which it shares with Iran) and Gulf of Oman forming Musandam's coastal boundaries.

From the late 17th century, the Omani Sultanate was a powerful empire, vying with Portugal and the UK for influence in the Persian Gulf and Indian Ocean. At its peak in the 19th century, Omani influence or control extended across the Strait of Hormuz to modern-day Iran and Pakistan, and as far south as Zanzibar. When its power declined in the 20th century, the sultanate came under the influence of the United Kingdom. For over 300 years, the relations built between the two empires were based on mutual benefits. The UK recognized Oman's geographical importance as a trading hub that secured their trade lanes in the Persian Gulf and Indian Ocean and protected their empire in the Indian sub-continent.

Historically, Muscat was the principal trading port of the Persian Gulf region. Muscat was also among the most important trading ports of the Indian Ocean.

Sultan Qaboos bin Said al Said was the hereditary leader of the country, which is an absolute monarchy, from 1970 until his death on 10 January 2020. His cousin, Haitham bin Tariq Al Said, was named as the country's new ruler following his death.Oman is a member of the United Nations, the Arab League, the Gulf Cooperation Council, the Non-Aligned Movement and the Organisation of Islamic Cooperation. It has sizable oil reserves, ranking 25th globally.

In 2010, the United Nations Development Programme ranked Oman as the most improved nation in the world in terms of development during the preceding 40 years. A significant portion of its economy involves tourism and trade of fish, dates and certain agricultural produce. Oman is categorized as a high-income economy and ranks as the 69th most peaceful country in the world according to the Global Peace Index.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, leo Juni 13, 2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania Rais Samia amewahakikishia wa Oman mazingira mazuri ya biashara kuwa na sera thabiti za fedha. Akizungumza katika Kongamano lililojumuisha Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, Rais...
  2. 5

    Kwanini Rais Samia ametoa zawadi hii katika ziara yake Oman?

    Nimekuwa najiuliza kwanini mwarabu hakupewa picha ya mlima wa Kilimanjaro badala yake akapewa ile ya Zanzibar Baitul Ajaibu?
  3. Roving Journalist

    Rais Samia Suluhu Hassan akiwa Muscat nchini Oman kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya Siku tatu

    Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili Muscat nchini Oman kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya Siku tatu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mwenyeji wake Kiongozi Mkuu wa Taifa la Omani Sultan Haitham bin Tariq Al Said wakati Wimbo wa Taifa wa...
  4. mack255

    Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

    Video ya Mapokezi ya Rais . Samia huko Oman . Itakuwa ni ziara ya siku tatu
  5. Kamanda Asiyechoka

    Je, huyu Rais wetu wa sasa ni Vasco Da Gama mwingine? Ziara za nje zimekuwa nyingi sana kama enzi za Awamu ya Nne

    Awamu ya nne tulishudia Jakaya Kikwete akifanya ziara za nje huku akisahau kabisa masuala ya ndani ya nchi yake mpaka akapachikwa jina Vasco Da Gama. Awamu hii nayo naona ni mwendo uleule. Juzi alikuwa Ulaya. Leo yupo Uarabuni. Hii ishu ya Uarabuni asingeweza kuwakilishwa hata na balozi!
  6. Greatest Of All Time

    Rais Samia kufanya ziara nchini Oman kuanzia June 12

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku 3 nchini Oman mara baada ya kualikwa na kiongozi wa nchi hiyo. Ziara hiyo itaanza Juni 12 mpaka Juni 15. Hii ni ziara nyingine ya Rais Samia katika kile anachokiita kuifungua nchi kiuchumi.
  7. RWANDES

    Mtoto wa Hilal Sood, mzawa wa mkoa wa Shinyanga alamba ubalozi akiiwakilisha Oman. Hii imekaaje?

    Mimi siyo mtaalamu sana wa diplomasia kijana kalamba shavu ni kijana ambaye ameishi mkoa wa shinyanga kwa miaka yote lakini kwa sasa kalamba ubalozi kuiwakilisha OMAN hongera zake mimi kwa ujumla namtakia majukumu mema kuiwakilisha nchi yake ya OMAN nineamini kila kitu kinawezekana katika nchi yetu.
  8. M

    Nini kinawafanya waarabu wa Oman kusifika kwenye diplomasia na mapatano?

    Inakuwaje wanajamvi! Oman Arabs ama waarabu wa Omani wana sifa moja kubwa sana katika mashauriano, upatanishi na diplomasia. Wanatumika na kuhitajika sana kwenye nyanja hizo. Tunaona hata mateka na wafungwa wa magharibi Iran hata kwa wataliban Oman inatumika kama 'Mabrokers' pande zote mbili...
  9. sky soldier

    Ni ipi sababu ya Rais Samia kuwa karibu sana na kuipa uzito Nchi ya Oman?

    Nimekuwa nikiona Rais wetu akiipa uzito hii nchi ya kuitwa Oman. Hadi sasa ninachojua tu ni kwamba Zanzibar ilikuwa koloni la Oman na masultani wake walikuwa na asili ya Oman. Ila leo pia nimeona hii nchi nayo ipo mbioni katika kinyanganyiro cha kujenga Bandari ya Bagamoyo. Kwa anaejua japo...
  10. MK254

    Kenya yarejea mauzo ya mifugo Oman baada ya miaka 16, hivi karibuni hii itafanya na bandari ya Lamu

    Lengo ni kufiksha mifugo 500,000 kwa mwaka Kenya on Monday resumed direct export of livestock to Oman after more than 16 years ban. A ship carrying more than 14,000 goats and sheep from different livestock keeping zones left Mombasa port on Monday afternoon to Salalah Port, Oman, as the two...
  11. jollyman91

    IRGC releases footage of confronting US piracy targeting Iranian oil in Sea of Oman

    Iran's Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) releases detailed footage of its confrontation late last month against an American act of piracy targeting an Iranian fuel shipment. The incident took place on October 25, but news and footage of which were released on Wednesday. During the...
  12. LIKUD

    Video: Baba wa Kambo vs Mtoto wa Kambo huko Muscat, Oman

    Baba wa Kambo Ni huyo alievaa kanzu.
  13. Sky Eclat

    SoC01 Domestic workers ni ajira inayohitajika sana Oman, kuna umuhimu wa kuiboresha

    Wasaidizi wa ndani wanahitajika duniani kote. Nchi za Magharibi zimeboresha mikataba na maslahi ya wafanya kazi wa ndani, matokeo yake ni wachache wenye uwezo wa kuajiri wafanya kazi hao. Hao wachache wanaopata ajira wana mikataba ya kazi, likizo kila mwaka, malipo wakiwa wagonjwa, kiinua mgongo...
  14. STRUGGLE MAN

    Meli ya Israel ya mafuta yapigwa kombora pwani ya Oman ikitokea Saudi, mabaharia wawili wauawa

    Israeli-managed tanker attacked off Oman, motive unclear, 2 dead DUBAI, July 30 (Reuters) - A petroleum products tanker managed by Israeli-owned Zodiac Maritime came under attack on Thursday in the Arabian Sea, off the Omani coast, the company said on Friday in what it described as suspected...
  15. K

    Oman yapiga Marufuku abiria yeyote kutoka Tanzania asikanyage kwao

    Kama moja ya hatua ya kupambana na Covid-19 nchi ya Oman imezipiga marufuka nchi zipatazo 12 kufika kwao Tanzania ukiwemo. Ikumbukwe kwamba Tanzania na Oman zina uhusiano wa karibu sana hususan Zanzibar ambao wameoleana sana. Hili litatuathiri sana. Hii ni kwa sababu tunaonekana hatuko serious...
  16. Cannabis

    Waziri wa Afya Oman: Asilimia 18% ya wasafiri wanaotokea Tanzania wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, tunafikiria kusitisha safari za ndege

    Waziri wa Afya wa Oman amethibitisha takwimu za maambukizi ya Corona kwa wasafiri wanaotokea nchini Tanzania kuwa katika kiwango cha juu sana, ambapo asilimia 18 ya wasafiri wamekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Waziri huyo amesema wanafikiria kuzuia safari za ndege kutoka nchi zinazoonyesha...
  17. guwe_la_manga

    Utaratibu wa kuomba 'Visa' ya Nchi ya Oman

    Wakuu, Ningependa kwenda kutalii nchini Oman katika nchi tajwa hapo juu. Naomba nipatiwe0utaratibu wa kuomba visa,na ikiwezekana na gharama za nauli na malazi kwa wiki tatu. Natanguliza shukrani.
  18. B

    Tangu utawala wake kupinduliwa Zanzibar mwaka 1964, hatimaye Sultan Jumshid bin Abdullah arudi na kupokewa Oman akitokea uhamishoni nchini Uingereza

    14 September 2020 Muscat , Oman Sultan wa Zanzibar Jamshid Bin Abdullah hatimaye akanyaga ardhi ya Oman Sultan wa mwisho wa Zanzibar Jamshid Bin Abdullah mwenye umri wa miaka 91 ameruhusiwa kuingia Oman kwa mara ya kwanza toka apinduliwe ktk Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar tarehe 12.Januari...
  19. Webabu

    Mfalme wa Mwisho wa Zanzibar Jamshid atua Oman kwa mara ya kwanza

    Mtawala wa mwisho wa Zanzibar kwa mfumo wa ufalme ambaye alichukuliwa Uiengereza kwa madai ya kupinduliwa leo ametua nchini Oman kutokea London ikiwa ni mara yake ya mwanzo tangu azaliwe miaka 91 iliyopita. Ametua nchini humo kama wazanzibari wengine wanavyofika kuitembelea nchi hiyo yenye...
  20. MK254

    Bunge la Tanzania balaa, kuna wakati hushambuliana kwa misingi ya kikabila na kiasili, mara rudi kwenu Oman, rudi kwenu Congo

    Wenzetu hawa wanavyopenda kuchachamaa kuhusu ukabila kwetu utadhani kwao ni binguni hamna aina yoyote ya ubaguzi, ilhali mitandao ya kijamii huanika uozo wao haswa kwenye bunge ambapo mizuka ya wabunge husababisha wanaanza kushambuliana kwa misingi ya kikabila, kikanda na asili ya mtu, mara rudi...
Back
Top Bottom