MEI 13, 2021
Anaandika Mchambuzi, SHAFII DAUDA.
Binafsi sio muumini sana wa Seasons wala movies za part One mpaka Three, by nature nina uvivu wa kusoma sana au kukaa kwenye mada moja kwa muda mrefu, kutokana na changamoto ya muda
By the way niliwapa aina mbili za Haji Manara, nikawaelezea na...