Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke...
Habarini,
Kuna hekima ya Kiafrika ya namna ya kumdhibiti paka na kumpiga akiwa kakosea, awe ni paka wako au wa jirani.
Wazee wa Kiafrika wanashauri kuwa ukifanikiwa kumdhibiti paka ndani ya chumba na mkononi una kiboko mujarabu kwa ajili ya kumpa kichapo na mlango na madirisha yamefungwa...
Paka wenye umri wa miezi miwili ambao ni wa asili na wakamata panya mahiri wanauzwa. Wako watatu. Kila mmoja ni shilingi elfu arobaini. Wanapatikana Survey hapa Dar es Salaam. Wale wote mnaokabiliwa na tatizo la panya majumbani mwenu hapa Dar na kwingineko wahini hii fursa ya kumaliza tatizo...
Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani
Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
Nyumbani kwangu hapa naishi na mke na watoto wangu wawili pamoja na binti wa kazi na ndugu wawili.
Sasa kuna kipindi kuna paka mdogo alikutwa maeneo ya karibu na mtoto wangu basi mtoto wangu huyo akamleta.
Ni kipaka cheupe chenye madoa ya brown kwa mbali, kilikuwa kidogo sana, Binafsi...
Akizungumza kwa masikitiko sana mkuu wa majeshi wa Israel southern command Eliezer Toledano amesikitika kwa kumkosa kumuua mara mbili wiki iliyopita gaidi bishi la Hamas Mohammed Deif, 55 pichani hapo chini.
Deif ambaye ni gaidi zoefu ameponea na kukoswakoswa kuuawa mara kadhaa 2011, 2013...
Paka kiwepo pahala,panya hawana pirika,
Pale kakamata dola, panya wanadhoofika.
Mashimoni wanalala, kero tunapumzika.
Tangu paka kuondoka,panya nyumba watawala.
Paka walikuwa jela,kifungo walifungika,
Wakawa si wa kitala,midomo walifungika.
Kuondoka wa kuwala,jikoni ni patashika,
Tangu paka...
Ndani ya uongozi wa juu wa CCM hali si shwari tena, kumetibuka vumbi hawaonani na kila mmoja anamtazama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Unguja.
Kamera nyingi zimewanasa viongozi wa CCM serikalini walio ndani ya Serikali ya Samia Suluhu, wakiwa wamemtolea mimacho kama waliopigwa...
MUHIMU: PICHA HII SIO YA PAKA WA HAPA KWETU
Hapa kwangu napoishi tuna paka, Sio mimi niliemleta bali ni mke wangu.
Hatuna tatizo la panya kwa hio bado sielewi paka anahitajika wa nini.
Kuna jirani ana fuga ngombe huwa anatuuzia maziwa nyumba chache, Mke wangu alilipia ujazo wa ziada...
Kwa aliemsikiliza Jaji warioba atakuwa ameupata ukweli wa hatari inayoikabili Tanzania huko tuelekeako.
Chains au minyororo au tuseme links zile zilizomfanya na kuwafanya CCM waibuke na ushindi kuanzia diwani mpaka Raisi ni mchezo hatari unaoweza kuipeleka nchi katika shida.
Kwa mara ya kwanza...
Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta.
Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida.
Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta.
Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au?
Kumala...
Wazungu wana mambo ya ajabu sana, wacha nikupe mkasa nilioshuhudia leo
Mida ya lunch leo kuna rafiki yangu kazini katutoa lunch rafiki zake twende hotelini kupiga msosi.
wakati tunapiga msosi maeneo ya wazi nyuma ya hoteli, tukawa tunamshangaa mzungu flani yupo na paka wa pale hotelini...
Wadau mimi napenda kufuga hapa kwangu nina Mbwa,Paka, Ng'ombe wa Maziwa na Kuku pia.
Mbwa nmeona kazi yake maana kuna siku kibaka alijichanganya kuruka ukuta kabla sijaweka Fensi ya Umeme... Tulimkuta hoi. Hawa mbwa nikawapenda zaidi.
Kuku tunapata Mayai na Nyama pia. Ng'ombe tunapata maziwa...
Unakuta Panya hajawahi kuona wala kukutana na Paka tangia azaliwe, lakini siku akimuona tu kwa mara ya kwanza anashtuka na kuogopa sana, kwa nini? Nani kamfundisha kuhusu Paka?
Kama Uzi unavyosema, natafuta paka kwa udi na uvumba. Yeyote mwenye paka mdogo ambaye ameacha kunyonya tuwasiliane kuanzia jukwaani hapa. Hata kwa Kibaha, Dar, hadi Mkuranga, na Kisarawe pia Bagamoyo maeneo yote hayo niko tayari kumfuata.
Karibuni.
Naishi Dar es Salaam.
Tulishazoea kila mara kumuona Panya Mjanja wa Mtandaoni ambaye kiukweli ameweza Kumhenya na Kumnyima kabisa Usingizi Paka Mbishi wa Magogoni pamoja na kutumia Mbinu zake za kila aina Kumnasa. Hata hivyo Sisi wapenda Kuwafuatilia hawa Maadui wakubwa wawili tumeshikwa na butwaa kuona tangia tarehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.