paka

  1. Mzukulu

    Ni kwanini Paka wengi wa Uswahilini hulia kama Watoto Wachanga (Wadogo) tena kwa Nyakati za Usiku tu pekee huku Wakiwa Madirishani kwa Watu?

    Kuna mahala fulani nilihamia Uswahilini na Siku moja nikasikia Kilio kama cha Mtoto Mdogo anamlilia Mama yake na nilipotoka zangu tu nje kwa nia njema ya kwenda Kumuangalia huyo Mtoto nikihisi ametelekezwa na Mama yake nikaishia kukutana na Paka Wawili wakilia hivyo tena kwa Sauti ya pamoja na...
  2. Komeo Lachuma

    Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

    Pale ofisini kuna dada mmoja mashallah huwa analeta chakula. Kaumbika sana yule, chakula anachokuletea hata akizidisha pilipili kama yupo mbele yako huwezi pata ujasiri au nguvu ya kumkosoa; utakiona sawa tu. Nilichukua namba yake tuwe tunawasiliana nimwagize chakula ntakacho. Mtoto wa kizigua...
  3. anonymousafrica

    Paka Oscar alias Unsinkable Sam, aliyenusurika kifo mara tatu wakati wa vita vya Dunia

    Hii sio AFRIKA NA UAFRIKA. Leo nakusimulia kuhusu paka aliyenusurika kufa vitani mara tatu. Paka ana roho ngapi? Utaskia watoto wanajibu ANA ROHO SABA Labda theory hii ya kikatili ya kumsifu paka ana roho saba ilianza kwa paka OSCAR. Kwenda JKT tu kwa vijana sasa ni mbinde. Kuna njemba moja...
  4. mitale na midimu

    Shenzhen China: Ulaji wa Paka na Mbwa wapigwa marufuku katika jitihada ya kuzuia Corona

    Wanyama hawa ambao ni haramu hata kibibilia wamesadikiwa kuchochea janga hili. Pia wanamkakati wa kuongeza list zaidi ya wanyama mwitu,kufugwa na watambaao. Tabia ya kulakula nyama za mwitu akiwemo paka miaka 17 iliyopita ilipelekea vifo vya watu zaidi ya 8000 Source: South China Morning Post...
  5. Superbug

    Kisa cha mtoto wa shehe na paka; Bulembo, Mama Lwakatare na Zitto; Mdomo huumba na mdomo uliponza kichwa

    Wakati tunasoma shule alikuwepo mtoto mmoja baba yake alikuwa Shehe. Mtoto yule Kuna siku aligombana na sisi wanafunzi wenzake wote bwenini. Kwa bahati mbaya Sana alitutishia kwamba baba yake ni Shehe na anafuga majini hivyo usiku atakuja kwa njia ya paka akiwa Kama jini. Basi sisi tulilala...
  6. Analogia Malenga

    Paka mkubwa kuliko wote duniani

    Paka aliyevunja rekodi ya ukubwa anaitwa Hercules, ambaye ni chotara wa mchanganyiko wa simba na chui milia, ambaye sasa anaishi Myrtle Beach Safari, hifadhi ya wanyama pori South Carolina, USA. Ana urefu wa mita 3.33, kimo chake ni mita 1.25 na ana uzito wa 418.2 kg (922 lb). Hercules anakula...
  7. GENTAMYCINE

    Paka wenye tabia hizi huwa ni paka kweli?

    1. Anapenda kwenda sawa na wewe kwa kile unachokila na muda mwingine atataka ale zaidi yako. 2. Ukiwa umelala na mkeo au mpenzi wako atalazimisha akupige chabo dirishani. 3. Ukiificha mboga hasa nyama sehemu ya mbali akiwa hayupo baadae unakuta ameshaila. 4. Ukimuadhibu anakudindia...
  8. W

    Msaada: Namna bora ya kuua paka pori/shume kwa sumu

    Habari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu ----------------------------------------------------------------------------------------- MREJESHO: nawashukuru kwa msaada. Paka Yule...
Back
Top Bottom