paul kagame

Paul Kagame (; born 23 October 1957) is a Rwandan politician and former military leader. He is the sixth and current president of Rwanda, having taken office in 2000. Kagame previously commanded the Rwandan Patriotic Front (RPF), a Uganda-based rebel force which invaded Rwanda in 1990 and was one of the parties of the conflict during the Rwandan Civil War and the Rwandan genocide. He was considered Rwanda's de facto leader when he served as Vice President and Minister of Defence under President Pasteur Bizimungu from 1994 to 2000.
Kagame was born to a Tutsi family in southern Rwanda. When he was two years old, the Rwandan Revolution ended centuries of Tutsi political dominance; his family fled to Uganda, where he spent the rest of his childhood. In the 1980s, Kagame fought in Yoweri Museveni's rebel army, becoming a senior Ugandan army officer after Museveni's military victories carried him to the Ugandan presidency. Kagame joined the RPF, taking control of the group when previous leader Fred Rwigyema died on the second day of the 1990 invasion. By 1993, the RPF controlled significant territory in Rwanda and a ceasefire was negotiated. The assassination of Rwandan President Juvénal Habyarimana set off the genocide, in which Hutu extremists killed an estimated 500,000 to 800,000 Tutsi and moderate Hutu. Kagame resumed the civil war, and ended the genocide with a military victory.
During his vice presidency, Kagame controlled the national army and was responsible for maintaining the government's power, while other officials began rebuilding the country. Many RPF soldiers carried out retribution killings. Kagame said he did not support these killings but failed to stop them. Hutu refugee camps formed in Zaire and other countries and the RPF attacked the camps in 1996, but insurgents continued to attack Rwanda. As part of the invasion, Kagame sponsored two rebel wars in Zaire. Rwandan- and Ugandan-backed rebels won the first war (1996–97), installing Laurent-Désiré Kabila as president in place of dictator Mobutu and renaming the country as the Democratic Republic of the Congo (DRC). The second war was launched in 1998 against Kabila, and later his son Joseph, following the DRC government's expulsion of Rwandan and Ugandan military forces from the country. The war escalated into a conflict that lasted until a 2003 peace deal and ceasefire.
Bizimungu resigned in 2000, most likely having been forced to do so, following a fall out with the RPF. He was replaced by Kagame. Bizimungu was later imprisoned for corruption and inciting ethnic violence, charges that human rights groups described as politically motivated. Kagame's rule is considered authoritarian, and human rights groups accuse him of political repression. Overall opinion on the regime by foreign observers is mixed, and as president, Kagame has prioritized national development, launching programmes which have led to development on key indicators including healthcare, education and economic growth. Kagame has had mostly good relations with the East African Community and the United States; his relations with France were poor until 2009. Relations with the DRC remain tense despite the 2003 ceasefire; human rights groups and a leaked United Nations report allege Rwandan support for two insurgencies in the country, a charge Kagame denies. Several countries suspended aid payments in 2012 following these allegations. Since coming to power, he has won three presidential elections, but none of these have been rated free or fair by international observers. His role in the assassination of exiled political opponents has been controversial.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwl.RCT

    Paul Kagame: Africans can't permanently stay in a 'victim' position

    https://youtu.be/XFXA-O8dAWg
  2. The Sunk Cost Fallacy 2

    Rais Paul Kagame aahidi kuwasweka gerezani mahujaji wa Kikatoliki wanaotukuza ufukara

    Hii imekuja baada ya kushutumu watu wanaotembea maelfu ya km kwenda mojawapo ya Kijiji Nchini humo kufanya hija Kwa maelezo kwamba mwaka 1981 Bikira Mariam mama wa Yesu aliwatokea mabinti 2 eneo Hilo. Kagame amechukizwa na Hali hiyo ambayo Kanisa la Katoliki Rwanda linabariki na kufanya sehemu...
  3. D

    Tetesi: Paul Kagame nyuma ya DP world

    Wajumbe, Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU. Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na...
  4. Subira the princess

    CCM tambueni hii nchi sio mali ya yenu na kuna vizazi baada yenu

    Wasalaam, nakumbuka rais paul kagame enzi za utawala awamu ya nne aliwasema Tanzania hakuna viongozi wenye uchungu na rasilimali za nchi bali kuna wachumia tumbo watanzania tulio wengi tulimbeza na kumtukana. Mh kagame akaenda mbali zaidi kwa kusema kwa nchi km tanzania BANDARI ya dar pekee bila...
  5. Bowie

    Rais Samia Kuwa Mikhali Gorbachev wa Tanzania?

    Rais mstafu wa Urusi alipoingia madarakani mwaka 1985 aliingia na sera za Perestroika na Glasnost na hii uhuru wa kuvuka mpaka na kusababisha kuvunjika kwa muungano wa taifa la USSR. Hapa Tanzania Rais Samia toka ameingia madarakani amejitahidi sana kuweka uhuru wa wanasiasa haswa wa vyama vya...
  6. JanguKamaJangu

    Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi

    Picha: Rais wa Rwanda, Paul Kagame Rais wa Rwanda, Paul Kagame amefanya mabadiliko hayo makubwa pasipo kuweka kwa sababu ya kuchukua maamuzi hayo yaliyohusisha Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Ulinzi kufutwa kazi kwa wakati mmoja. Amemteua Juvénal Marizamunda kuwa Waziri wa Ulinzi akichukua nafasi...
  7. benzemah

    Rais Samia Ziarani Namibia

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako, Windhoek nchini Namibia kwa ajili ya Mkutano wa dharura wa Troika plus wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zinazochangia...
  8. Venus Star

    Je, ni nini lengo la ziara ya Ghafla ya Paul Kagame hapa Tanzania 27-04-2023?

    Tunavyozidi kuendelea na maisha ya kila siku, hatuwezi kuacha kufikirisha bongo zetu. Ziara ya Paul Kagame imenifanya nifikirie sana. Kwanini iwe ziara ya ghafla hivyo? Katika mawazo yangu nimewaza mambo kadha wa kadha. 1. Tayari huko Congo ya mashariki vurugu inaendelea. Na sote tunajua yule...
  9. Michael Uledi

    Karibu "rafiki yangu" military genius General Paul Kagame

    Ukiniambia nikae mbele ya TV asubuhi mchana usiku kwa ajili ya kumuangalia Military GENIUS General Paul Kagame siwezi kuchoka wala kusita! Sikatazwi kusema Paul ni mmoja ya viongozi bora wa kizazi chake kuwahi kutokea Africa na duniani! Sifa kubwa ya Ofisa yoyote wa Jeshi ni kuwa na ujeuri...
  10. Roving Journalist

    Rais wa Rwanda Paul Kagame awasili Nchini na kufanya Mazungumzo na Rais Samia, leo Aprili 27, 2023

    Fuatilia yanayojiri kwenye Mapokezi ya Rais wa Rwanda Paul Kagame akiwasili nchini Tanzania leo Aprili 27, 2023. Rais wa Rwanda Paul Kagame amewasili nchini leo na kupokelewa na Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Stergomena Lawrence Tax kwenye uwanja wa Kimataifa wa...
  11. GENTAMYCINE

    Odinga anataka Kuharibu amani ya Kenya na ya Ukanda mpo kimya ila yule wa Rwanda mlipaza sauti na kumshutumu Rais Kagame

    Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa na Wazungu ili Kenya inayoenda Kuneemeka na Rais Ruto isitawalike. Wenye Akili Kubwa tunajua kuwa Raila Odinga anatumiwa (anasaidiwa na Nchi moja jirani) yenye Vita ya chini chini ya Kiuchumi na Kenya ili Machafuko yakitokea yenyewe ifaidike...
  12. adriz

    Video: Angalia jinsi Rais Paul Kagame anavyowapiga KO wanahabari magharibi kwa majibu ya kibri na kejeli

    Moja kwa moja.. Nimecheki hii video nimeamini huyu jamaa ni jeuri sana halafu anajiamini .Ila lafudhi ya kingereza chake hata akisimamishwa na mimi niliyesoma pangu pakavu tia mchuzi mimi nitaonekana nimesoma IST au muingereza kabisa .
  13. Chizi Maarifa

    Kilichotokea kati ya Hayati Magufuli na Rais Paul Kagame, Rais Samia alienda rekebisha nini?

    Walipoanza ilionekana kana kwamba hawa jamaaa ni marafiki sana but mambo yalikuja badilika. Kagame kama Magufuli hana rafiki wala adui wa kudumu. Kuna sehemu maslahi ya hizi nchi mbili yalipishana. Kagame akaamua kunyamaza maana alishaambiwa Magufuli alikuwa anamlia timing ajichanganye tu...
  14. MALCOM LUMUMBA

    Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

    Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa...
  15. BARD AI

    Paul Kagame amtuhumu Tshisekedi kutumia mgogoro wa M23 ili kuchelewesha Uchaguzi Mkuu

    Rais Paul Kagame amesema uongozi wa sasa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unasababisha dharura ya Kiusalama na kuihusisha Rwanda ili kutofanya Uchaguzi Mkuu wa Desemba 2023. Kagame amesema “Tatizo hili linaweza kutatuliwa ikiwa Serikali haitajaribu kuleta dharura ili Uchaguzi usifanyike...
  16. Suzy Elias

    Hayati Magufuli aliwaamini sana marafiki zake Kagame na Bashiru

    Historia inatueleza bayana Hayati Magufuli na Paul Kagame walitokea kuwa marafiki wakubwa kupata kutokea! Urafiki wa wawili hao ulikuwa wa kufa na kuzikana hali iliyopelekea waaminiane kwa kila jambo. Kiungo wa marafiki wale uliunganishwa na rafiki yao mwingine Bashiru Ally. Bashiru Ally na...
  17. S

    Namuona Paul Kagame akiwa kama Putin hapa Afrika Mashariki

    Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika. Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani. Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul...
  18. jMali

    UAE how dare you?

    Hivi hawa waarabu hawajui kuwa wanyarwanda (hasa watutsi) ni watu wenye akili kubwa kuliko wote huku Africa? Hawajui wanyarwanda ni wayahudi weusi waliopotea njia kutokea Israeli? Sasa inakuwaje wanabania VISA wanyarwanda halafu manchi ya ajabu ajabu kama Tanzania yanapeta? Yaani Super Power...
  19. Lady Whistledown

    Emanuel Macron akutana na Paul Kagame na Felix Tshisekedi wakutana kwa mazungumzo ya Amani

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekutana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi huku kukiwa na mvutano kati ya Majirani hao kuhusiana na Makundi ya waasi karibu na mpaka wao wa pamoja Taarifa zaidi zinazema kuwa Viongozi hao wanataka...
  20. GENTAMYCINE

    Safi sana Rais Kagame; kama kawaida yako Umenusa 'Tego' la 'Geneva ya Afrika' na 'Ukachomoa' kwenda, hivyo imekula kwao

    Wanadhani hukugundua mpango wao na Rafiki yao unayempelekea Moto Kwake kuwa asije ili uje Wewe na wamsaidie kwa kutumia Mbinu ya Mrusi kisha yakukute huko huko Geneva ya Afrika au ukirejea Kwako Kigali. Wamesahau kuwa Wewe ni zao tukuka la Marekani na Israel (Kiujasusi/ Kinjagu) na kwamba una...
Back
Top Bottom