paul makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. J

    Makonda na Gambo Ndio mfano wa Siasa Halisi za CCM zilivyo nyuma ya Pazia hakuna kusuluhishana Kanisani kama CHADEMA!

    Wanachonifurahisha Paul Makonda na Mrisho Gambo ni kwamba Wao hawafanyi siasa za kinafiki Kila Kitu kinawekwa mbele ya pazia halafu July Wajumbe wataamua kwenye Kura za maoni Tofauti na Mbowe na Tundu Lisu wanaopelekana Kanisani kusuluhishwa kisirisiri Ahsanteni sana
  2. Greatest Of All Time

    Pre GE2025 Kumekucha: Madiwani Arusha waomba Paul Makonda agombee Ubunge jimbo la Arusha Mjini

    Baraza la Madiwani mkoani Arusha kwa pamoja limeridhia na kumuomba Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda kugombea ubunge kwa jimbo la Arusha Mjini. Je uamuzi huu wa madiwani wa jimbo hilo ni kwambaa wamekosa imani na Mbunge wa sasa anayemaliza muda wake, Mrisho Mashaka Gambo? Soma zaidi: Pre GE2025...
  3. L

    Paula Makonda amuunga mkono Donald Trump kupinga ndoa za jinsia moja. Asema alizushiwa mengi sana alipokemea uchafu huo kufanyika hapa nchini

    Ndugu zangu Watanzania, Mwamba wa kaskazini na kijana jasiri kuwahi kutokea kusini Mwa jangwa la Sahara Mheshimiwa Paul Makonda ameunguruma na kuitikisa Dunia mpaka viunga vya Washington DC Marekani. Ametoa kauli ambazo zimeitetemesha mpaka Ikulu ya Whitehouse Ya Marekani. Soma hapa ujumbe...
  4. Cute Wife

    Pre GE2025 Makonda: Watu waliofanikiwa kwa fedha za ushoga moto wa Mungu utawashukia. Mungu amtunze Trump!

    Wakuu, Kunaanza kuchangamka sasa, Makonda asema wale wote waliofanikiwa kwa fedha za ushoga moto wa Mungu utawashukia. Makonda asema inatia uchungu unamlea mtoto kwa tabu halafu anaenda kuwa shoga, jambo ambalo anamkubali sana Trump kuwa mstari wa mbele kushughulikia suala hili. Asema...
  5. L

    Pre GE2025 Wakulaumiwa kukosekana Stendi Arusha ni Mrisho Gambo ambaye amekuwa DC, RC na Mbunge wa Arusha. Ashirikiane na Makonda kuipata

    Ndugu Zangu Watanzania, Nimemsikia Mbunge wa Arusha Mjini Mheshimiwa Mrisho Gambo akisema na kulalamika kuwa ni aibu Kwa Arusha kukosekana kwa Stendi kubwa na ya kisasa Mkoani Arusha. Lakini ikumbukwe na kuwakumbusheni na kumkumbusha Mheshimiwa Mrisho Gambo kuwa Kabla ya kuwa Mbunge Amekuwa DC...
  6. Pascal Mayalla

    DSM ngumu, inahitaji RC wa viwango fulani. Nashauri Antony Mtaka aletwe hapa atatusaidia sana, vinginevyo bora hata Makonda arudi

    Wanabodi Hii ni opinion article Mikoa haifanani, na uwezo wa ma RC haulingani!. Kuna mikoa migumu na mikoa milaini milaini. Mikoa migumu ni ile mikoa yenye majiji, DSM, Dodoma, Arusha, Mwanza, Mbeya, etc, na mikao milaini milaini milaini ni mikoa ambayo haina issues kabisa kama Kilimanjaro...
  7. Mindyou

    Pre GE2025 Arusha: Paul Makonda atoa pikipiki 20 kwa Jeshi La Polisi ili kuimarisha Ulinzi na Usalama

    Wakuu, Tunaposema kwamba CCM wameanza kampeni kabla ya muda elekezi hii ndio maana yake. ========================================================= Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, leo Januari 24, 2025, amepokea pikipiki 20 zilizotolewa na Leopard Foundation kwa Jeshi la Polisi...
  8. M

    Pre GE2025 Makonda: Nimenogewa na Ukuu wa Mkoa Arusha, sijui kama nitagombea ubunge Kigamboni

    “Kaka yangu Jafo [Waziri Selemani Jafo] unafahamu 2020 niligombea kule Kigamboni, sina uhakika sana kama nitaenda kwenye jimbo Kigamboni, ni kama vile nimenogewa na hii kazi aliyonipa Dkt. Samia hapa Arusha." Pia soma Pre GE2025 - Makonda ajaribu tena bahati yake Kigamboni Pre GE2025 -...
  9. CM 1774858

    PICHA: Rais Samia aongoza Vikao Vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu Kwa Mafanikio Makubwa, Je leo ni Paul Makonda au Mizengo Pinda?

    Wajumbe wa mkutano mkuu NEC === Hatimaye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amemaliza Vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri kuu Leo kwa Mafanikio Makubwa kazi iliyobaki ni Mkutano Mkuu kesho tarehe 18.01.2025. Rais Samia...
  10. Carlos The Jackal

    Pre GE2025 Mwanasiasa Pekee wa CCM anayeweza kushindana na Tundu Lissu kwenye nafasi ya Urais ni Paul Makonda

    Hili waweza kulibishia kwakua ni Mbishi tu. Kwenye Siasa, Mvuto ni muhimu sana na huu Mvuto mara nyingi ni wa kuzaliwa. TUNDU LISSU ana Mvuto sana Kwa Gen-Z maana ndio kizazi chenye Elimu inayowatoa Ujinga, na KURA za mijini ambapo wasomi na wale wanaamini CCM imekaa sana madarakani inabidi...
  11. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Gambo: Mimi sio Mfanyakazi wa Serikali ni Mbunge, Makonda anahitaji kuelimishwa

    Siku moja baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kudai mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo haudhurii vikao, mbunge huyo amesema suala hilo linahitaji elimu kwa sababu yeye ni mbunge na ana vikao vya Bunge. "Mimi sio ofisa tarafa, siyo mtendaji wa mtaa wala kata, mimi ni mbunge wa...
  12. K

    Paul makonda apewe wizara ya maji mwezi mmoja tu

    Kuna watu hawapendi maneno mengi. Mchi inalalamika kukosekana maji. Cha ajabu Mh Rais anawachekea chekea wakina awesoambao uwezo umeishia pale alipo. Huyu jamaa kama ilivyo hata tabia za wake zake naye ndio alive ni msanii saniii sana anaweka usanii kwenye maisha ya watu. Akimuondoa mhalifu...
  13. L

    Namshauri Paul Makonda asiwe anapenda kulia na kutoa machozi hadharani. Ajifunze kwa Rais Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Ukiwa kiongozi Mkubwa na wa cheo kikubwa kama kuwa Mkuu wa Mkoa yaani Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa na kiongozi mwenye Ndoto ya kuja kuwa kiongozi Mkubwa siku za usoni . Siyo Vyema sana kuelemewa na hisia mpaka kufikia hatua ya kulia na kutoa au...
  14. L

    Paul Makonda awataje hadharani Watu Wanaomroga Rais ili asije akafanya Maamuzi Makubwa kwa Kulogwa na hao watu

    Ndugu zangu Watanzania, Leo Tanzania na Dunia nzima imeshuhudia maandamano na matembezi makubwa sana ya amani kuwahi kushuhudiwa kanda ya kaskazini yakiongozwa na mkuu wa mkoa wa Arusha Mwamba Mwenyewe Paul christian Makonda kijana Jasiri kuwahi kutokea katika ukanda wa kusini Mwa jangwa la...
  15. Waufukweni

    Nabii GeorDavie: Makonda utakula mema ya nchi mpaka utanikumbuka

    Wakuu Nabii Mkuu Dkt. GeorDavie, ametoa neno kwa wakazi wa Mkoa wa Arusha na kwakipekee kwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Paul Christian Makonda akimuahidi kula mema ya nchi.
  16. Waufukweni

    Paul Makonda aonyesha Hisia Kali, amwagiwa Machozi kama mtoto wakati wa kuabudu

    Paul Makonda, alionyesha hisia kali wakati wa kuabudu na kushindwa kujizuia na machozi.
  17. Mindyou

    Makonda: Kuanzia leo ukifanya biashara Arusha utafanikiwa. Ukifunga ndoa haitatenganishwa na yeyote!

    Wakuu, Wakati mataifa mengine yakijikita katika tafiti mbalimbali na kuwekeza katika miradi ya kimaendeleo, Makonda siku ya leo amekusanya maelfu ya wananchi na kuanza kukemea roho chafu "zinazokwamisha" maendeleo "Ndio mkoa pekee ukienda kusoma unafaulu, yale mapepo mgandamizo, mateso...
  18. D

    Kwani hii nchi yetu imepatwa na nini, kwanini tumegeuka hamnazo namna hii?

    Hizi drama anazofanya Makonda kweli nchi nzima tumekuwa wehu kama yeye kiasi hiki? Yaani unafunga safari unaacha shugjuri zako za msingi kabosa za kukuza kipato chako unageukia betting! Maombi ni betting which means failure of thinking beyond ndo unageukia maombi kama mbadala wa udhaifu wako...
  19. Cute Wife

    Pre GE2025 Makonda: Tangu nimepata uenezi sijawahi kuchukua hata sh 100 kwenye mshahara wangu, huwa natoa yote sadaka!

    Wakuu, Makonda asema Tangu alipopata uenezi, mshahara wote ameweka mahabahuni kwa Mungu, na hata alipoteuliwa kuwa mkuu wa mkoa Arusha hajawahi kula hata sh kumi, mshahara wote unaenda madhabahuni! Makonda ameyasema hayo leo wakati akiongea na wananchi katika matembezi ya kuliombea taifa leo...
  20. jingalao

    Tumuunge mkono Paul Makonda katika kubadilisha Arusha 9 Desemba

    Nipende kusema kuwa Tanzania imebarikiwa kuwa na vipaji vya watu wa kipekee wenye kuasisi mambo mengi ambayo baadaye huchukuliwa na watu wengine duniani na kuwa sehemu ya ufanisi wa matarajio ya wanadamu. Ukiweka pembeni unafiki basi hutaacha kuona namna gani mteule wa Mhe.Rais ndugu Makonda...
Back
Top Bottom