Sumu la Penzi is a Kenyan Swahili, melodrama that premiered in 2013 in Africa Magic Swahili. It has Serah Ndanu, Joyce Maina, Naomi Ng'ang'a and Judith Nyambura as the female leads.
nina ma ex wanne ambao tuliachana vizuri bila ugomvi kwa sababu za masomo, kazi na majukumu mengine, katika hawa ni mmoja tu ambae kashikilia msimamo wake sijaona akiwa na shauku ya kupasha kiporo, wengine watatu tunaweza tusichat hata miezi lakini muda tukionana ama tukichat ni kama season 2...
KAHABA ni mtu ambaye anafanya ukahaba.
UKAHABA ni kitendo cha mtu kufanya ngono ili apate malipo.
Wapenzi watapendana tu bila sababu yoyote , wapenzi watapeana pesa na vitu vingine.
Wapenzi hawapo kama kiatu na rami, maana kiatu mara zote ndio kinaliwa. Wapenzi watakutana mahali popote, wakiamua...
Nipo na Mubaba wangu
Mubaba kweli kweli
Tuko simba day hapa nimesalimu amri, kwa machine ya jana amenifunga goli kizembe sana nikamwambia sawa Mubaba wangu, kesho unanislimisha simba ila me yanga dam dam
Nasemaje
Nasemaje
Mubaba buana, ako na penzi lake classic siwezi elezea,
Ana uchokozi...
Wakuu,
Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.
Yaani wakuu hakuna kitu inauma kama umelala na manzi halafu unauhakika ana pichu tu ila kipengele ni kumgusa tu shughuli yake...
Ukienda china, japan, korea, nigeria, ghana na nchi ambazo mtakuwa mashaidi swala la matumizi ya nyanya sio kapumbele sana kama huku kwetu.
Pili wenzetu ni watumiaji wa pilipili ambazo hapa Tanzania unakuta kwenye masoko adimu sana.
Tatu ni wapenzi wa viungo ukilinganisha na Tanzania yani...
Mahusiano yalinitesa sanaa Nikawa wakulialia Nikashindwa ku move on kutokana nilikuwa kipofu sikuona Mlango wa kutokea Nililuzi concentration baazi ya Mipango yangu na Mambo yangu kiujumla.
Hakikisha unatake care Roho yako, nafsi pamojah na mwili wako Jitahidi kujilinda
Hivyo jlivyo wewe ni...
Pichani ni Samuel Eto'o akiwa na mkewe unaambiwa kabla Eto'o hajawa star mke wake alikua dada wa salun huko Ufaransa na alikua akimpa pesa ya kujikimu mpenzi wake Eto'o wakati Eto'o akienda kwenye majaribio ya mpira kwenye vilabu mbalimbali vya soka
Eto'o anasema baada ya kupata timu na kuanza...
Jamani ndo hivyo limeshavuja tena nimebaki napuliza majivu maana moto siuoni.. ndio ameshatoboa mtungi majii yananimwagikia tu pwaaa!pwaa!
Zile sifa zote alizoniambia kwamba kama mimi hajawahi kumuona ila nashangaa hakuniambia alivyokutana nae!
Dah....!
Picha linaanza dem mzuriiiiii shyombe shyombee pisi ya kwenda.
Mkiongea mkimya mtaratbu nikaona isiwe shida nijiweke.
Kweli akanielewa Fresh tumeanza safari yetu.
Onbed hana time she is like gogo wajua eeh hana muda huo sema Volume yake si haba ina stimulate veins.
Maisha kawaida hana...
Jana usiku katika kusherehekea mambo ya muungano, ikabidi nitoke na bebi wangu tukaenda kiwanja kimoja; tukawa tunapiga maji yetu machungu kama kawaida yetu.
Kutokana na mazingira kuwa na 'vibe' wengi walikuwa wakiingia na kutoka, kwa bahati mbaya kuna mdada mmoja nilikuwa nimemzoea kipindi cha...
Mamdogo Penny
Money Penny enhe!
Mwana: niko na sugar daddy ila kama kijana daddy
money penny: kwanini?
mwana: penzi lake lanitesa sana, mwanaume anaenda kwa siku mara 3
money penny: ana umri gan
Mwana: na miaka 83
Money Penny: mkewe?
Mwana:alishakufa
Money penny: sasa shida ni mkewe au round...
Binti (Miaka 19) yupo kwa Basi, anatoka zake Dar kwenda Uyulo-Mbeya kumsalimu Shangazi yake, anawasiliana nae kwa Simu akiwa safari, lakini anafika Iringa Simu inakata Chaji.
Binti anamuomba Simu Jamaa aliyekaa pembeni yake aitwaye MAPINDUZI NGALLA, lakini anapiga Simu Shangazi hapatikani...
Penzi letu la zamani, lilikuwa ni la dhati,
Tulikutana mtoni, kuipanga mikakati,
Halikuwa la kihuni, lisilo la kisaliti,
Penzi letu la zamani, lilikuwa ni la dhati.
Tulikutana porini, tunapookota kuni,
Ugumu tulipateni, mpenzi kuweka ndani,
Mahari ng'ombe sitini, mwari wamtoleeni,
Penzi letu la...
Ni uzwazwa kupambana/kupigana na aliyezawadiwa penzi wakati wa fumanizi.
Kwasabb mumeo/mkeo kafanya maamuzi mwenyewe pasipo kushurutishwa na huku akijua ana mke/mume.
Mkeo au mumeo hajabakwa, sasa inakuwaje unaacha kumpiga yeye unampiga mtu aliyekusaidia kumstarehesha?
Mzee Ngowi na Bi Sikitu ni wapenzi walio pendana toka shuleni wakiwa watoto, mpaka wakaoana. Baada ya kustaafu waliamua kurudi kuishi eneo waliloushi zamani walipokuwa wadogo, na kusoma.
Siku moja walikuwa wanasherehekea miaka 40 ya ndoa yao. Hivyo waliamua kutembelea shule yao waliposomea...
Inatokea kuna umepata mwenzako penzi ni moto ila ghafla mkapotezana bila mawasiliano hata kwa miaka kumi
Ghafla mnakutana upya hasa ukiwa kwenye ndoa ama mwenzako akiwa kwenye ndoa
Je uliwahi kutana na aina hii kitu ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.