penzi

Sumu la Penzi is a Kenyan Swahili, melodrama that premiered in 2013 in Africa Magic Swahili. It has Serah Ndanu, Joyce Maina, Naomi Ng'ang'a and Judith Nyambura as the female leads.

View More On Wikipedia.org
  1. sky soldier

    Furaha ya mama ni mtoto kufurahi, ikitokea wazazi wameachana, mtoto analilia kumuona baba lakini baba anaomba penzi ili afanye hivyo, mama atakataa ?

    Huwaga najiuliza sana, lets say wazazi wawili walitengana, sasa imefika kipindi mtoto yupo na miaka mitatu hivi analilia baba kila siku, baba akatoa sharti kwa kusema au kimafumbo kwamba ili kufanya hivyo inabidi awe anapewa penzi walau kwa lisaa, Mwanamke anaweza kuchomoa hapa ? Na hapo...
  2. Boss la DP World

    Unataka Kupewa Penzi Tamu na Totoz? Tumia Password hii Utanishukuru

    Kwanza nianza kwa kuwalaumu waliogundua mapema hii siri kwa kukaa na hii (nywila) password kwa muda mrefu. Iko hivi wewe mwanaume ukitaka kupendwa na watoto wazuri, wasafi wenye shape zao, watoto wa kishua fanya hivi. 1. Tenga bajeti ya kutosha kwaajili ya kununua furaha, we mtoto wa kiume...
  3. Pang Fung Mi

    Kumbukumbu yenye machozi ya raha: Mara yangu ya kwanza kupata penzi la mwanamke wa Kiyao toka Tunduru

    Hakika duniani kuna mambo matamu yenye, raha na ladha, ilikuwa mwaka 2008 pisi moja Kali sana akiuza duka la nduguye baada ya kupita geti kuu la shule ya msingi tandika ukitokea stendi. Hii pisi ilikuwa kali sana yenye macho matamu yenye asili ya aibu. Enzi hizo napiga kazi za ajira salalary...
  4. never Se me

    Kwanini ulinipa penzi kama hili na sasa silipati tena? Najuta

    Sijui Wewe Unaishi Wapi Labda sehemu Ya Kishua, Uko Kwenu Munakosa Vibe La Uswahilini, Unajua Maisha Ya Uswahilini Wewe Ukiachana Na Misosi Ya Tofauti Kama Miguu Ya Kuku Viazi Viwili Na Mitomatoes, Supu Ya Mapupu , Kuna Videmu Vyetu, Vichula Vyetu, Vinchenchede, Viswaswadu. Unajua Nini Uku...
  5. Mwachiluwi

    Simulizi ya ukweli penzi langu

    SIMULIZI: PENZI LANGU SEHEMU YA 01 ANZA ...Mkoani Tabora walionekana watu wawili ambapo Kwa kuwatazama tu ni kama vile walikua wapenzi ambao wamuda mrefu sana wakati huo mwanamke alikua ameshika kimfuko kidogo huku mwanaume akiwa ameshika mkono wake wakiwa wanatembea hadi walipofika...
  6. Dasizo

    Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?

    Kauli gani ukiambiwa na mpenzi wako unaanza kuhisi hili penzi halina muda mrefu linakwisha?
  7. Mwachiluwi

    Hadithi: Penzi la Kiziwi

    -BUSU (KISS)- (Kutoka Ikulu hadi Kumpenda Kiziwi) Episode one Hey! Naitwa Jack, ni mtoto wa kitajiri na nina miaka 24. Nimekulia katika familia ya Baba, Mama na mtoto mmoja ambaye ni Mimi. Baba yangu anaitwa Mr Charles...
  8. Equation x

    Penzi ndani ya basi

    Imepita miaka mingi kidogo, kipindi hicho nikiwa bado kijana machachari wa totoz; ila kwa uzee wangu huu wa miaka 77 inabaki kuwa tu stori. Nilikuwa nasafiri kutoka Arusha kwenda Mwanza kwa basi, ambapo nilibahatika kukaa na binti mrembo ambaye alikuwa sio muongeaji sana; ila kutokana na urefu...
  9. Pang Fung Mi

    Tunaoanza mwaka mpya 2023 kwa penzi jipya tujuane

    Inshallah Mungu ajalie January 1, 2023 naanza na penzi jipya la mtoto wa kisagara. Ni hatari sana hii mashine nafungua mwaka kivingine. New year New mashine new show. Nyota ya "Pisi mpakato" imesoma matokeo ya chumvi bahari na maombi ya upako yameweka neema kama zote. Ni hayo tu kwa uchache...
  10. Nobunaga

    Penzi la Harmonize na Kajala Limevunjika Rasmi

    Guys, msione Kajala anaandika magazeti hapo as if yeye ndo kamuacha Harmonize. It's the opposite, this time Harmonize ndio kamuacha Kajala... Just kuwapa short story ya event ya mwisho kabisa. Show ya mwisho ya Harmonize, Harmonize alikuwa anaongea na simu, yani very busy kwenye simu. Kajala...
  11. Mwachiluwi

    Msaada juu ya hili penzi, ungekuwa wewe ungemjibuje?

    Morning Tumeanza mahusiano hii week sasa lakini kashaomba hela mara tatu then leo ananiambia hvi, nimekosa cha kumjibu kabisa Ungekuwa wewe ungemjibuje.
  12. Restless Hustler

    Ulijifunza nini kupitia penzi lililopita?

    Habari za muda huu, mapenzi hufunza hususani baada ya kuisha. 1. Binafsi nimejifunza kutokurudiana na X ni jambo muhimu sana kwenye ulimwengu wa mapenzi. Akishakuwa X, ni X milele, hakuna tena nafasi ya kurudisha mapenzi. Nitamsamehe makosa yake lakini sitoruhusu kurudiana. Yeye ni yule yule...
  13. sanalii

    Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

    Niko katika level ya juu kabisa ya kufurahia mapenzi, kama penzi letu litapimwa kwenda chini basi litakuwa limezidi kina cha Mariana Trench, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia. Haimaanishi kuwa hatutofautiani katika baadhi...
  14. Chachasteven

    Kajala yupo tayari kubadilisha dini kwa sababu ya penzi la Harmonize

    Nimeiona hii nikaona isinipite nishee na wenzangu. Hivi, kama mtu atasaliti dini, kumsaliti binadamu mwenzake je? Full story
  15. M

    Nilidanganya umri ukweni sasa penzi limekolea nachomokaje?

    Nilikutana na huyu binti mwaka jana akiwa mmbichi kabisa, kutokana na muonekano wangu hakuwahi kuniuliza umri. ila nimempita miaka 15. Kuna siku akanipa simu niongee na mama yake, mama mtu akaanza kuniuliza maswali mengi sana nikayapangua, alivyouliza umri nikapunguza miaka kumi. Sasa naona...
  16. Crocodiletooth

    Natamani sisi wapenzi wa Pan-Africanism timu yetu iamke upya, na Red Star nayo iamke upya

    Sisi tuliokuwa wapenzi wa Pan-Africanism ndio tuliokimbilia Yanga, baada ya timu yetu kuonyesha kutokuwa na future na mipango madhubuti ya kimichezo. Natamani timu hii ikiwa na pacha wake nyota nyekundu zipate mfadhili wa kuziamsha, maana kama ni mashabiki wanao wa kutosha. Maana waliokuwa...
  17. Boss la DP World

    Nimefanya mapenzi na boss wangu, sijatosheka kabisa

    Usiku wa kuamkia leo, mfanyakazi mwenzetu alijitwalia jiko, kama katibu wa kamati ya maandalizi, nilihakikisha natoa ushirikiano kwa wajumbe ili tukio lifane. Kweli bwana tukio lilipendeza, watu walikula na kunywa, watu waliburudika wakasahau shida zao kwa muda. Miongoni mwa walio hudhuria ni...
  18. Boss la DP World

    Penzi la mhudumu wa 'Lodge' Dodoma limenikosha mwenzenu

    Tupo katika msimu wa baridi kali, jana nilikuwa Dodoma kikazi, nikamaliza mambo yangu muda ukiwa umesonga sana nikaona busara ni kulala ili asubuhi na mapema nianze safari kurejea mkoani kwetu. Nilitafuta Lodge nzuri mitaa ya Makole nikafanikiwa kupata, nikajifungia ndani kwa muda nikaoga...
  19. Baba jayaron

    Mwenye penzi la siri kumbe alikuwa na mchumba wake?

    Wajuba wasalaam!!! hakika mapenzi yamejaa maajabu (japo si mageni kwa wengine) sijui labda niliwahi kuoa kabala ya kuwafahamu hawa viumbe?? (expirence) kuna kipindi kama cha mwezi au miezi miwili nili share habari za kua nimepata binti anahitaji penzi la siri Sasa ukweli ni kwamba hisia...
  20. Poker

    Penzi kigugumizi lachafua hali ya hewa! Anusurika kifo

    Katika hali isiyo kuwa ya kawaida bwana Johannes aliipigiwa cm na rafiki yake wa kike aje kujumuika katika sherehe yake. Lakini alipofika alikuta ni sherehe ya wadada watatu tuu ambapo yeye ndiye alikuwa mwanaume pekee, watatu hao walimlazimisha kuanza kula vyakula ambavyo vimepambwa katika...
Back
Top Bottom