peter msigwa

Peter Simon Msigwa (born 8 June 1965) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Iringa Town constituency since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Peter Msigwa Hastahili kuwepo CHADEMA

    Ndugu watanzania ,nimekuwa nafuatilia kwa muda siasa za hiki chama cha chadema kwa muda sasa.Itoshe kusema kuwa haka katasisi kanao baadhi ya wafuasi wanaojitambua walao kwa kiasi kidogo. Mchungaji Msigwa ni mmoja ya wanachama wachache saana walioko chadema mwenye kuweza kuongea na kutoa maono...
  2. Erythrocyte

    Njombe: Serikali yakasirishwa na Kitendo cha CHADEMA kuzindua Mradi wa Maji, figisufigisu zaanza

    Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe. Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema...
  3. J

    Leo nimewaelewa Mchungaji Msigwa na Lema Baada ya Pastor Ezekiel kudai Kanisa lisipofunguliwa atakosa Tsh 400 Milioni za Sadaka

    Lema ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema aliwaonya Wananchi kuhusu Fedha wanazopeleka kwa manabii. Mchungaji Msigwa naye akasema Baadhi ya wachungajj hugeuza makanisa yao kuwa vitega Uchumi hivyo Serikali iwachunguze na kuwachuja. Leo huko Kenya ambako Mchungaji Msigwa alikuwepo juzikati...
  4. JackisonDubai

    Peter Msigwa aivaa Serikali kutokana na kushuka kwa nidhamu ya watumishi wa umma

    Mbunge msitaafu wa Jimbo la Iringa mjini kupitia CHADEMA mchungaji Peter Msigwa ameivaa serikali ya Rais Samia kutokana na kushuka Kwa nidhamu ya watumishi wa umma nchini. Msigwa amesema utendaji kazi wa watumishi wa Serikali kwa sasa ni wa hovyo sana tofauti na kipindi cha Rais Magufuli. Sasa...
  5. J

    Mbowe, Zitto, Lissu na Peter Msigwa wanakubaliana Magufuli alijenga Nidhamu Serikalini. Wakumbuke nidhamu haiji kwa kuchekeana!

    Kitu kimoja ambacho Viongozi wakuu wote wa Upinzani wanakubaliana ni kwamba hayati Magufuli aliimarisha nidhamu ya Watumishi wa Umma na nidhamu ya serikali kwa Wananchi Wote. Wanapopongeza hili wajue pia Nidhamu haiji kwa kuchekeana bali hutengenezwa kwa mfumo wa kimkakati. Ni katika...
  6. Idugunde

    Kamati ya Ujenzi CHADEMA: Jengo la chama Iringa, tunaomba michango yenu

    Yaani mjenge ofisi Iringa huku bado mmepanga Ufipa .👇
  7. K

    CHADEMA: Awamu ya Sita imeimarisha Uhuru wa Kujieleza nchini

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeipongeza serikali kwa kuanza kuboresha mazingira ya haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. Hayo yalisemwa na Chama hiko wakati wa maadhimisho ya siku ya haki za binadamu kupitia Tamko la kimataifa la Haki za kibinadamu (UDHR)...
  8. Boss la DP World

    Peter Msigwa ni mchungaji wa kanisa gani?

    Wakuu anayefahamu huyu mzee ni mchungaji wa kanisa gani anijuze, sijawahi kuona akihubiri popote wala kuongea chochote kuhusiana na uchungaji wake. Kipindi cha nyuma(2013) Kuna mbunge alimpiga kijembe kwa kumwita mchungaji wa nguruwe😂 siku hiyo Speaker Makinda na naibu wake Ndugai walikuwepo na...
  9. Mpwayungu Village

    Peter Msigwa atoke kabla hajawa Kirusi ndani ya CHADEMA

    Huu mwaka ni mbovu kwa wananchi tangu dunia iumbwe, chama cha CHADEMA kinapitia wakati mgumu sana, viongozi wakuu, viongozi wa Kanda na mikoa wamepigwa gundi mdomoni kuongea hawawezi tena na huenda Kuna void contract iliyowekwa baina ya hawa viongozi wa CHADEMA tunaodhani ni watetezi na hawa...
  10. kipara kipya

    Msigwa alalamikiwa kuwalamba block CHADEMA wenzake

    Msigwa kaamua kujitenga na uanaharakati
  11. L

    Lwaitama: Sishangai Msigwa kumsifia Rais wa nchi hasa wa CCM

    mi ni miongoni mwa waliomsifia Rais Samia Kwa baadhi ya mambo Kama hili la kuleta demokrasi angalau Kwa asilimia 35 , ni vizuri Kabisa kuona hata ndani ya Chama kuna wanaotofautiana mawazo na yajibiwe Kwa heshima si matusi. Leo nimemuona Mbunge mstaafu wa Iringa mjini akisifia Royal tour ni...
  12. Peter Madukwa

    The Royal Tour: Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA ampongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi nzuri

    Aliyekuwa mbunge wa Iringa mjini kupitia CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa amempongeza Rais Samia Suluhu Hassani kwa kazi uzuri na ubunifu wa Filamu maarufu ya kitalii ya THE ROYAL TOUR. Kiongozi huyo wa CHADEMA wa nyanda za juu kusini amesema kuwa inawezekana labda kuna mapungufu madogomadogo...
  13. PendoLyimo

    Peter Msigwa asema hali ni mbaya katika Hifadhi ya Ngorongoro na jitihada za haraka kuinusuru zinahitajika

    MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA SAKATA LA NGORONGORO:- WALIPWE FIDIA WAHAMISHWE, WANA HAKI ZAO Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA ambaye pia ni Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa wa chama hicho, aliyewahi pia kuwa mbunge wa Iringa mjini na waziri kivuli wa Wizara ya Maliasili na utalii Mchungaji Peter...
  14. MoseKing

    Kila mtu na mnyonge wake, Lema ampa AMRI moja Peter Msigwa ya kufuta maoni yake, Afuata

    Chama kina wenyewe. Na wenyewe wana makazi chini ya mlima mrefu
  15. Kamanda Asiyechoka

    Mch. Peter Msigwa: Hayati Magufuli ametufundisha tujue tabia za watu wengi

    Muda ni Mwalimu mzuri sana ! Wanafiki wote wamejidhihirisha. Tabia za ki TIKITI MAJI nje wa kijani na ndani mwekundu, ziko wazi . Jambo moja la kumshukuru JPM ni la kutufanya tujue tabia za watu wengi. #MboweIsNotATerrorist https://t.co/Y6l1tcnXnd
  16. Shujaa Mwendazake

    Peter Msigwa: Baada ya kushinda kesi ya Mbowe, nini hatma ya mauaji ya Akwilina?

    "Baada ya kushinda kesi ya Mh Freeman Mbowe na wenzake, mjadala sasa ni juu ya matumizi ya 350M, hatujadili uhai wa Akwilina. Nani alimuua? Nani anawajibika? Mkurugenzi wa Kinondoni anawajibikaje? Kwanini hakutoa barua za mawakala? Athari walizopata warufani. Uhuni huu utaisha lini?" - Mch...
  17. Mmawia

    Video: DC Kasesela na mbunge Msigwa walivyokuwa na wakati mgumu

    Kuna msemo wa waswahili kuwa mafahari wawili kamwe hawakai zizi moja. Hiyo ilijionyesha Iringa kati ya DC Kasesela na Mbunge mchungaji Msigwa. Leo hii Kasesera tayari amesha hamisha kila kilicho chake na kurudi kwao iwambi Mbeya na kumuacha Mch. Msigwa akifahidi ulanzi wake mjini Iringa.
  18. Shujaa Mwendazake

    Msigwa: Kamati ya Amani ni kikundi cha wasaka tonge, wanastahili kupuuzwa

    6:27 AM Juni 15, 2021, aliyekuwa Mbunge wa Iringa, Peter Msigwa ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Twitter: "Hii sio kamati ya Amani, ni kikundi cha watu wasaka tonge. Wanotumia Neno la Mungu kuilinda serikali ya CCM ibaki madarakani. Wanastahili kupuuzwa na jamii ya Watanzania. Ni sawa na...
  19. Zero IQ

    Je, Gerson Msigwa na Peter Msigwa ni ndugu?

    Ndugu zanguni naombwa nifahamishwe je Gerson Msigwa aliyewahi kuwa mbunge wa Iringa 2010--2020 na Ndugu Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, msemaji wa rais kwa Sasa ni Ndugu? Kama ni Ndugu, Je ni ndugu wa namna gani? Ni ndugu kwa maana wa damu(baba moja mama moja) Ni ndugu kwa maana mtoto...
  20. Madumbikaya

    Je, Peter Msigwa aliwezaje kumkosoa ndugu yake Rais Magufuli?

    Peter Msigwa ulisimamia haki, Hukuogopa vikao vya familia na undugu wako na Hayati Rais Magufuli. Moja kati ya watu ambao wangeamua kuwa na kiburi basi ni Peter Msigwa angeweza fanya kiburi. Na hata angehamia CCM ndugu yake Magufuli angekupitisha Iringa mjini bila kupingwa. Hata ndugu yako...
Back
Top Bottom