police

The police are a constituted body of persons empowered by a state to enforce the law, to protect the lives, liberty and possessions of citizens, and to prevent crime and civil disorder. Their lawful powers include arrest and the legitimized use of force. The term is most commonly associated with the police forces of a sovereign state that are authorized to exercise the police power of that state within a defined legal or territorial area of responsibility. Police forces are often defined as being separate from the military and other organizations involved in the defense of the state against foreign aggressors; however, gendarmerie are military units charged with civil policing. Police forces are usually public sector services, funded through taxes.
Law enforcement is only part of policing activity. Policing has included an array of activities in different situations, but the predominant ones are concerned with the preservation of order. In some societies, in the late 18th and early 19th centuries, these developed within the context of maintaining the class system and the protection of private property. Police forces have become ubiquitous in modern societies. Nevertheless, their role can be controversial, as some are involved to varying degrees in corruption, police brutality and the enforcement of authoritarian rule.
A police force may also be referred to as a police department, police service, constabulary, gendarmerie, crime prevention, protective services, law enforcement agency, civil guard or civic guard. Members may be referred to as police officers, troopers, sheriffs, constables, rangers, peace officers or civic/civil guards. Ireland differs from other English-speaking countries by using the Irish language terms Garda (singular) and Gardaí (plural), for both the national police force and its members. The word "police" is the most universal and similar terms can be seen in many non-English speaking countries.Numerous slang terms exist for the police. Many slang terms for police officers are decades or centuries old with lost etymology. One of the oldest, "cop", has largely lost its slang connotations and become a common colloquial term used both by the public and police officers to refer to their profession.

View More On Wikipedia.org
  1. Colin the creator

    SoC03 Mabadiliko na uboreshaji katika utoaji wa PF3 (Police Form no 3)

    UTANGULIZI: Fomu ya Polisi namba 3 (PF3) nchini Tanzania ni hati rasmi inayotumiwa na polisi kuandika ripoti za matukio mbalimbali yanayohusisha madhara ya mwili au ajali. Inatumika kama chombo muhimu cha kudokumenti na kurekodi taarifa muhimu zinazohusiana na matukio hayo. PF3 inajumuisha...
  2. Marathon day

    Hoja kwa Polisi na TRA kuhusu kutoa mizigo bandarini

    HOJA na MALALAMIKO kwa POLICE na TRA kuhusu biashara ya kutoa mizigo Bandarini, Naanza kwa TRA unachangamoto kubwa kwenye kukokotoa malipo ya Wharfage , kunahaja gani kutumia custom value badala ya kutumia CBM kwa mizigo/ magari ya Zambia na Zimbabwe? Inaleta ukakasi Sana, mteja anakupa kazi...
  3. HONOURABLE PETER

    Msaada: Jinsi ya kujiunga na chuo cha Polisi

    Kama kuna mtu anaelewa utaratibu wa kujiunga na chuo cha police naomba anipe ufafanuzi wakuu.
  4. Beberu

    Azam Yawabamiza Police Tanzania 8-0, Polisi watishia kuwalaza selo kwa udhalilishaji

    Huko kunako viwanja vya Azam complex Chamazi, Matajiri wa chamazi wamewakandamiza Polisi Tanzania 8-0, huku Prince Dube akipiga goli 4 peke yake, Hii ni match yenye magoli mengi zaidi katika msimu huu
  5. G-Mdadisi

    TAMWA-ZNZ, ZAFELA argued Police Force to expedite investigation on the killing of two women in Zanzibar

    Zanzibar Female Lawyers Association (ZAFELA) and Tanzania Media Women’s Association, Zanzibar (TAMWA ZNZ) are saddened by the acts of cold-blooded killing of two women which took place recently in Bububu Kijichi and Mbuzini West District "A" West Urban Region Unguja, respectively. According to...
  6. GENTAMYCINE

    TAKUKURU tafadhali vifuatilieni hivi Vilabu viwili vya Police Tanzania na KMC kwa Mechi zao za sasa

    GENTAMYCINE nimezoea kuona Rushwa na Makondakta wa Dala Dala kwa Matrafiki. Ila hii Rushwa ya Kitaalam inayotolewa na Vilabu Viwili Police Tanzania na KMC vinavyopambana kutokushuka Daraja haivumiliki na itaharibu Mpira wetu. TAKUKURU nawaombeni kamateni Simu za Viongozi wote wa Vilabu vya...
  7. Determinantor

    Ni lini Traffic Police watatumia akili? Maamuzi kama haya ni ya kipumbavu

    Tumetoka Dar Shekilango saa 11 alfajiri na Bus la Kampuni ya New Force No. T 236 EBK kuelekea Mbeya. Tumefika Msolwa tumesimamishwa na askari kuwa Kuna msafara wa makamu wa raisi. Tumesimama hadi saa mbili na dakika kadhaa. Tumeondoka muda magari yakawa mengi, malori, mabasi na magari binafsi...
  8. B

    Kwa Police hii: Zahera asilaumiwe

    Nipo natizama hapa mechi Yao na Singida yani wanachofanya utadhani wachezaji wa dondo cup. Hawana ubunifu Wala kasi hasa eneo la mbele.
  9. J

    Polisi wanaruhusiwa kupokea kesi za madai?

    Nilikopa pesa kwa maandishi nikarejesha kiasi cha pesa muda ukapita sikurejesha kiasi kilichobaki kulingana na tulivyoahidiana. Mdai akaja nyumbani na Police kunikamata nikalala kituo cha police hadi kesho yake. Nikatolewa kwa kudhaminiwa, police wakagoma kunipa simu yangu kwa madai mara...
  10. T

    Ni virungu vya Polisi ndio vitampeleka Ikulu, kwa kura haendi ng'o!

    Tunakoelekea, ni Mungu tu aepushie mbali! Haitafahamika ikiwa watanzania tutakuwa tunaishi kwenye nchi yetu wenyewe ama ni ugenini! Mungu saidia Na ikitokea kura zinapigwa kesho, wenye kumpa kura kwa sasa ni hao walamba asali tu! Ni vigumu sana kukubaliana na ukweli huu! Na bahati mbaya...
  11. mgt software

    Anayetishia Ujio wa Lissu Tanzania ajulikana. Ni Afisa wa Polisi wa Kike Julius Nyerere International Airport (JNIA)

    Wana JF Tunawashukru wapekenyuzi kwa umakini wao kupata taarifa na picha za Police wa Kike anayejinasibu kumshughulikia Tundu Lissu atakapokuwa amewasili nchini. Habari hizi zinaongeza wasiwasi kwa aliyetumwa kulinda raia na mali zake kujiingiza kwenye siasa wakati Mkuu wake wa kazi akiwaasa...
  12. Determinantor

    Mawasiliano ya baadhi ya Askari Polisi kuhusu ujio wa Tundu Lissu yavuja

    Katika pitapita zangu kwenye Social Media nimekutana na "screenshot" inayoonyesha chats za Askari Police (baadhi). Huenda huu ndio mtazamo wa jumla wa Hawa jamaa wa Form Four.
  13. mama D

    Maajabu ya mwanamke mjamzito kuomba police wamwambie mume asimpige tena sababu anampenda sana, hii ni baada ya kupewa kipigo kizito!

    Mama mwenye ujauzito wa miezi minne Jamila Hamisi (34) mkazi wa mtaa wa Remtula kata ya Elerai Jijini Arusha, amedai amejeruhiwa macho yake kwa kupigwa ngumi za uso na mume wake baada ya kutokea mzozano kati yao desemba 27, 2022. Jamila ameliomba Jeshi la polisi mkoa wa Arusha limkanye mwanaume...
  14. M

    Full meaning of the word POLICE..

    Most of us, including me, consider "police" to be a self-contained word. However, POLICE is actually an acronym, and each letter stands for something distinct from the term's overall meaning. Even in the classroom, we learn that the police are a special force charged with the sacred duty of...
  15. C

    Polisi Temeke imarisheni ulinzi muda huu katika tamasha la Vuka na Chako kwani walioshindwa kuingia Wanaporwa na Vibaka

    Mbele ya Msikiti unaotizamana na Petro Station iliyo Jirani na Mgulani Barracks kuna Vibaka hapo na wakipora wanakimbilia kule Makaburini. Kwingineko ni huku kama unakuja ilipokuwa TCC kuelekea Kona ya Keko kuna Kipande hapo kina Giza Watu Wanaporwa. Tafadhali kwakuwa Uwanja umejaa mpaka...
  16. C

    DOKEZO IGP Wambura amrisha upesi Askari wako wa Kawe Police wamkamate upesi huyu Mfanyabiashara Cherehani wa Soko la Kawe

    Anaitwa Cherehani ni Mfanyabiashara pekee wa Kuuza Mihogo katika Soko la Kawe na maarufu pia. Tukio Mfanyabiashara huyu Bwana Cherehani wa Soko la Kawe alipanga njama kwa Kushirikiana na Mkewe ya Kumkamatisha Mwanaume aliyehisi anatoka na Mkewe ambaye kwa sasa ni Mjamzito. Siku ya Alhamisi...
  17. Mtu Asiyejulikana

    RC Mwanza, RPC, Brela, TRA Mwanza. Hawa Matapeli wanapatikana hapa. Wakitumia vielelezo vyenu

    Nimeona bandiko la member mmoja akitahadhalisha kuhusiana na Ponze Scheme moja inajiita Champions Investments ltd. Inadai ipo Mwanza. Nami nimeomba Link ya kuingia kwenye group lao. Hawa jamaa ni matapeli. Ukiangalia Hata members wao wengi ni kutoka nchi flani flani kwa mujibu wa namba zao za...
  18. M

    DOKEZO Mwanafunzi apasuliwa korodani na polisi, ubongo umeyumba. Alikuwa akiteswa

    Kila siku ni kilio na majonzi dhidi ya polisi. Haya mambo yataisha lini jamani. ======== MWANACHUO wa Chuo Kikuu cha SAUT mkoani Mwanza, Warren Lyimo anayedaiwa kupigwa na kuteswa na Polisi hadi kupasuka korodani, amesimulia mambo mazito na yakutisha katika mkasa huo. Tukio la Warren kupigwa...
  19. Faana

    NEMC Ikiwapendeza Fanyeni Kama Traffic Police

    Kiukweli hali imekuwa mbaya sana mtaani, vyombo vya entertainment majumbani na sehemu za starehe vinazidi kuongezeka kwa kasi na sasa imefikia familia na wenye bar pamoja na makanisa wananunua maspika makubwa yanayotakiwa kufungwa kwenye kumbi za muziki yanawekwa majumbani na kwenye sehemu za...
  20. GENTAMYCINE

    Polisi wa 'Puerto Rico' wamenituma nifikishe huu 'Ujumbe' kwa 'London Mourner' naamini utamfikia....

    "Mwambieni tumechoka sasa na tabia yake ya kila mara tu Kutusema vibaya tena katika Public kuwa tunabambikia Watu Kesi, tunawaonea na Kuua hovyo wakati si kweli" "Anatulaumu kuwa tupambane na Wahalifu wa hapa Jiji Kuu la San Juan nchini Puerto Rico wakati hata Yeye pia hatujali Kimaslahi kama...
Back
Top Bottom