One of the UK's most senior black female police officers has been sacked after her conviction for possessing a video clip of child abuse.
Supt Robyn Williams was ruled by Metropolitan Police Assistant Commissioner Helen Ball to have committed gross misconduct.
At a fast-track misconduct...
Polisi wakihakikisha Usalama wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii.
Je, inawezekana kwa Katibu Mkuu wa chama cha upinzani mathalani CHADEMA, John Mnyika kusindikizwa hivi?
Naomba kuwauliza swali, mnapoingia kwenye mabasi na kufanya ukaguzi huwa mpo serious au mnafanya maonyesho tu!
Picha hii hapa ni ya moja ya viti vya bus la Nyehunge kutoka Mwanza - Morogoro
Vngi ya viti vimenyofoka na mingi ya mikanda ya usalama nayo ni kama inavyoonekana
Police in Uganda have arrested People Power movement leader Robert Kyagulanyi Ssentamu, popularly known as Bobi Wine, and several leaders of the group.
The Monday arrest was effected as police fired teargas and live bullets to disrupt a consultative meeting that was organised by Wine, who is...
Habari Wanajamvini,
Hivi sisi Watanzania na Jeshi la Polisi ni watu wanafki sana hasa kwahili suala la kuendesha umelewa. Jana nilienda na gari yangu Police Mess nikanywa Konyagi zangu mbili nikaondoka nikawasha gari yangu huyo, huku baadhi ya polisi wakinisalimia, na wengine niliwazungushia...
Mashine za kutoza ushuru zimekuwa ni sehemu ya uniform kwa traffic police sasa hivi.
Naweza kusema kila Traffic polisi watatu unaowaona barabarani wawili wana hizi mashine za kulipia faini kwa makosa ya barabarani.
Fedha zinazokusanywa ni nyingi sana lakini fedha hizi hazitumiki katika kutoa...
Security officials inspect the vehicle in which the suspected armed robbers were travelling. NTV photo.
Security operatives Tuesday shot dead four men who were reportedly on a robbery mission in Mutundwe, Rubaga Division in Kampala.
According to police spokesman, Mr Fred Enanga, UPDF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.