Habari wadau.
Imekuwa kawaida kusimamishwa na Askari wa barabarani kwa ajili ya ukaguzi. Huu ni moja kati ya wajibu wao wa msingi kwa ajili ya kuhakikisha usalama wetu watumia vyombo vya usafiri pamoja na wote wanaotumia barabara au wenye shughuli zao pembezoni mwa barabara.
Baadhi ya askari...
Kwanza nianze kwa kuipongeza Serikali kwa kukamilisha interchange ya Kijazi, (Dar kama New York). Sasa kuna hizi taa zimewekwa mpya kuingia kituo cha mawasiliano, naona zinaenda kurudisha foleni ambayo ilishaisha, naomba Tanroads wafanye utafiti tena wa hizi taa isije ikawa tunarudisha tatizo...
Poleni na kazi ya kupambana na uhalifu, iko hivi nilipoteza simu yangu ilikuwa na line 2 basi nikajitahidi kwenye saa saba mchana nikafika pale Central police haraka haraka ili ni report kupotelewa na simu pamoja na line.
Kuingia nikaelekezwa dawatini (wanaposhughulikia hizo loss report)...
Salaam wakuu,
Kumekuwa na video mitandaoni ikionesha polisi/traffic wa Inyala, Mbeya wakimshusha kwa nguvu dereva wa lori na kumuangusha chini, na baada ya hapo imeripotiwa dereva huyo amefariki. Tunaomba mamlaka husika itolee majibu sintofahamu hii, na ni nini kinachopelekea matumizi ya nguvu...
SOG team kutoka huko Fino, Mandera county walivamia hawa majambazi wa kisomali baada ya kupewa taarifa kwamba wameonekana wakivuka border.
Wanne walitoroka na majeraha lakini polisi wanawafuatilia. Hizo kelele mlizo kuwa nazo hapa,mara ooohhh Alshabaab wameteka kenya ohhhh.
Njooni tuwape...
Hii siyo haki na kamwe siyo halali hata kidogo.
Sisemi kwamba madereva hawafanyi makosa ya usalama barabarani, yanafanyika lakini hata hivyo siku hizi kwa kiasi kikubwa madereva wengi wanajitahidi kuwa makini. Hili hata mimi nakubali.
Hii haijaja hivihivi bali ni kwa sababu idara ya Polisi -...
Vikosi vya Kenya Police Special forces ( AP SOG and BPU) vilivamia kambi ya wanamgambo wa Alshabaab huko Boni forest,Lamu county.
Magaidi hawa hutumia upana wa msitu huu kufanya mashambulizi yao katika huu msimu wa Krismasi na January kisha kukimbilia Somalia na kurudi wakati wa Iddi tena huko...
Copy and paste
Sunday news 👋🏽 ya kuanzia siku 😂
Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha)
Sasa eti serikali inapambana na soko hili
Ila ukweli ni huu (numbers don’t lie) 👇🏽
SASA
Manunuzi...
IGP, Habari za Mtwara.
Nafikiri umeiona Clip inasambaa ya Askari wako akifanya udhalilishaji mkubwa wa kijinsia wakati wa kampeni - ameonekana akimdhalilisha waziwazi kabisa Ester Matiko Mgombea Ubunge jimbo la Tarime mjini wakati wa kampeni za uchaguzi Mkuu.
Kwa sababu wewe IGP umesema wazi...
Something wasn't right. Starting earlier this year, police kept arresting associates of Mark, a UK-based alleged drug dealer. Mark took the security of his operation seriously, with the gang using code names to discuss business on custom, encrypted phones made by a company called Encrochat. For...
Kuna nchi duniani hazina jeshi zaidi ya polisi,fire fighters and serikali na wanaenda vizuri tu.
Kwa Zanzibar kama una ndugu polisi au mwanajeshi basi hata ukiguswa inakuwa rahisi mambo yako kusawazishwa na kuachiwa,
Kisa kimoja mbali ya kile cha JKU kikosi cha SMZ kumkamata au kumeka polisi wa...
The Nigeria Police Force has dissolved an anti-robbery unit following days of protests against alleged human-rights abuses by some of its officers.
“All officers serving in the unit will be redeployed to other police commands and formations with immediate effect,” the inspector general of...
Ameandika Malisa GJ kuhusu Mauaji ya Mlelwa wa CCM Njombe
Kwanza kabisa nalaani mauaji ya Bwana Emmanuel Mlelwa kada wa CCM anayedaiwa kuuawa huko Njombe. Either mauaji haya yametokana na sababu za kisiasa au zisizo za kisiasa tunapaswa kukemea kwa nguvu zote. Hakuna sababu yoyote inayo-justify...
Je, mgombea wa Urasi kupitia Chadema, Mh. Tundu Antiphas Lissu anayo haki yoyote ya kufokea ushirika huu wa kiharamu wa Jeshi la Polisi na CCM?
Je, ni kweli jeshi la polisi linatumiwa na wagombea wa CCM kukandamiza uhuru na haki ya wananchi kuwapigia kura viongozi wanaowapenda?
Je, kitendo cha...
You can't beg our votes for deals with crimes deu to your own politics interests ,why you sent police to assassinate little girl Akwilina this issue remained as remarkable .
Jana nilikuwa natokea kwenye mihangaiko yangu ya kutafuta ugali, ilikuwa ni nyakati za jioni hivyo nikasogea kituo cha daladala na kusubiri Usafiri( Najua mtanishangaa member wa JF kupanda daladala maana humu wengi wenu mnamiliki Ford Ranger na wachache wanamiliki Prado)
Sasa ikaja daladala...
Wakuu,
Kuna shida gani na haya mabasi kila mara ni kupigwa mkono weka pembeni nusu saa au lisaa lizima.
Kama hamtaki wawe wanasafiri futeni vibali vya magari kama ndio hivyo, ni mambo yasio na maana.
Mnachelewesha abiria wasio kuwa na kosa lolote.
Asante
Siongei kwa nia mbaya, ni kuamini serikalii iliopo iko kulinda jamii ya Watanzania.
Ndugu zangu, naomba niwambiee kama kuna kitu kinaudhi, ni kujua chombo chombo kinachohusika na usalama kikikubali abiria waendeshwe gari lisilo na bima na dreva asiye na leseni
Tunaomba kwa heshima na upendoo...
Kenya Police Fire Tear Gas at COVID-19 Corruption Protesters
Demonstrators run from teargas fired by police at a protest against alleged corruption, including the theft of supplies for the fight against the coronavirus, at Uhuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.