pombe

  1. #COVID19 Baada ya mtu kupata chanjo ya Covid-19 miongoni mwa mambo ya kuzingatia ni kutopata kilevi cha aina yoyote kwa saa 72 (siku tatu)

    Wataalamu wa afya na watafiti wa chanjo wanasema pombe na dawa ya chanjo vyote vinakwenda kwenye ini, hivyo upo uwezekano wa ini kuongezewa mzigo na kulichosha lakini pia kilevi huingilia kazi ya dawa kama ilivyo kwa dawa zingine hivyo kupunguza ufanisi. Mkurugenzi wa kuratibu na kukuza utafiti...
  2. #COVID19 Maulid Kitenge: Unavuta sigara na kunywa pombe kali...unaogopa chanjo?

    Mtangazaji Maulid Kitenge ametoa hoja katika swali kuwapa changamoto wanaokataa chanjo Amesema kama unatumia pombe kali na unavuta sigara ambazo zinakuweka katika hatari ya magonjwa na kufariki, unaogopaje chanjo ya #COVID19 Je, unaionaje kauli ya Kitenge, kiungo mshambuliaji?
  3. Uingereza: Matumizi ya pombe yaongezeka mbali na baa kufungwa

    Takwimu zimeonesha kuongezeka kwa matumizi ya pombe kwa 24.4% kwa mwaka 2020/21 ukilinganisha na 2019/20, mbali na kuwa na lockdown ambapo baa zilifungwa kwa wiki 31 Aidha vifo vinavyotokana na ini kuharibiwa na pombe vimeongezeka kwa 21% kwa kipindi ambacho #COVID19 imekuwepo, hali...
  4. Utambuzi pombe aina ya spirit nzuri kuliko nyingine

    Hivi unawezaje kutambua pombe Aina ya spirit nzuri kuliko zingine?
  5. Zuchu hafanyi matangazo ya vileo. Vipi kuhusu kazi zinazodhaminiwa na makampuni ya vileo?

    Hivi majuzi nilisikiliza interview ya Sallam SK kupitia kipindi cha The Switch cha Wasafi FM nikajifunza jambo -- kuwa kumbe si kila msanii yupo tayari kunyakua kila dili linalowekwa mezani, no matter how much mulla it brings. Kumbe si ughaibuni tu ambapo watu wana uthubutu wa kukataa michongo...
  6. Rais Samia, unaona upunguze bei ya Pombe uongeze kwenye Mafuta na Miamala ya Simu kweli?

    Rais ambaye umekulia mazingira ambayo unayafaham vizuri. Unabana kwenye Mafuta ambako ni usafiri uti wa mgongo wa maendeleo. Unaongeza kodi huko. Kuumiza wakulima, wafanyabiashara na wafugaji. Unaachia kwenye kilevi ili wote tuwe tunalewa tusitumie tena akili. Si ndiyo? Unaongeza kodi kwenye...
  7. Wosia wa baba - John Pombe Magufuli

    Hii nchi ni tajiri, Tanzania ni Tajiri sana ndugu zangu Mungu aendelee kukupumzisha kwa amani Hata wasiompenda kwa kuwabana kwa maslahi ya taifa wanakubali kazi zake Tunakumiss ila tunakushukuru kwa kutuachia chuma kingine Samia Suluhu Hassan, Mama wa taifa. Mama anasema KAZI IENDELEE 💪
  8. Japo alishawahi kukiri ana ukichaa fulani, wengi tumepigwa na butwaa kwa kauli za kutema nyongo Kanda ya Ziwa

    Japo mwenyewe alishawahi kukiri kuwa ana ukichaa fulani kichwani lakini wengi tumepigwa na butwaa kwa kauli za kutema Nyongo kutoka huko kanda ya ziwa. Lakini ningependa tujikumbushe kitu ukiachilia mbali umwagaji huo wa Nyongo. Kuna walakin labda sababu ya chuki za kisiasa hapa ama yasemwayo...
  9. Maxence Melo: Changamoto za Vyombo vya Habari na kukosa Matangazo

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums Maxence Melo amesema vyombo vingi vya habari hukubali matangazo kwa kuwa yana hela nyingi Kwa JamiiForums amesema wana sera ambayo inawafanya wakatae matangazo ya Pombe na Matangazo ya Betting japo yana hela. Aidha Chombo cha habari kutegemea matangazo ni...
  10. Asilimia kubwa ya wanywa pombe ni watu wenye mipango mizuri ya maendeleo

    Connection nyingi za kazi mara nyingi utazikuta Bar. Ukiwasikiliza walevi mazungumzo yao huwa ni ya maendeleo tu kama ujenzi, harusi, miradi mbalimbali n.k Kazi yangu ya mwisho (temporary) nimeipatia Bar baada ya kuhangaika for 4 yrs. Na kazi inayofuata (naiombea iwe) imepatikania kwa kuwa...
  11. Pombe kali zimepanda bei, bia inakuwaje?

    Kama kichwa cha habari kinavyosema! Hivi wanyaji wa bia na pombe kari tunaibiwa au? Maana pombe kali zishapanda bei ila bia Zimebaki pale pale shida iko wapi? Au mi kwa sababu niko uku ruvuma? TRa Tbs OSHA Wateja TUPAZE SAUTI TANZANIA NI YETU
  12. Mnashusha ushuru wa betting na pombe mnaongeza ushuru wa mafuta!

    Mnataka baba zetu waendelee kubet sio? Wahamie kabisa na mashuka na magodoro? Hii nchi hii yaani kuna mtu yuko bungeni kimkakati kuhakikisha betting hata inafutiwa ushuru, mwingine yeye ahakikishe pombeee pombeee zinakaa pazuri shida za wananchi na kero zao acha wafie mbali. Aiseee we are finished
  13. #COVID19 COVID-19: Afrika Kusini yapiga marufuku mikusanyiko na mauzo ya pombe kutokana na mwenendo wa mlipuko

    Afrika Kusini imetangaza masharti mapya yanayolenga kudhibiti ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona ambapo mikusanyiko yote ya ndani na nje itapigwa marufuku kwa siku 14 Aidha, Rais Cyril Ramaphosa amesema katika siku hizo mauzo ya pombe na safari kuelekea au kutoka maeneo yaliyoathiriwa...
  14. John Pombe Magufuli: The bravest hero I ever knew

    When citizens of Tanzania wanted to hold their leaders accountable in 2015 Tanzanians Election,no body knew that Magufuli was coming,When Bagamoyo dispute raises questions over Chinese business practices Magufuli stood up to say that the Bagamoyo investment condition set was tantamount to...
  15. Huyu jamaa ni nani kwenye matangazo ya Pombe?

    Kwenye Matangazo ya pombe mwishoni kuna sauti nzito ya njemba moja sijui ni nani anasemaga ...."Kunywa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako".... Anazingua sana anawapa cha kusema wake zetu, siku ukiamua kitulia home bahati mbaya tangazo likatoke basi ikifika hiyo sehemu kama ni TV au...
  16. Matokeo yangu baada ya kuacha kufanya mapenzi na kunywa pombe kwa miezi 3

    Wakuu heshima kwenu, Kwa mara ya kwanza nimeweza kujicontroll na kuacha kufanya mapenzi na kunywa pombe kwa muda wa miezi mitatu (kuanzia January hadi Aprill mwanzoni) Nikiri kwamba nimepata nguvu za ajabu mno na uwezo wa ubongo kuchanganua mambo umeongezeka mara dufu. Nilipokuwa meza moja na...
  17. A

    Kutunza mazingira: Serikali ivilazimishe Viwanda vya Pombe kali kununua chupa zake zilizotumika

    Salam wakuu. Nimewaza sana kwanini viwanda vya pombe Kali (Distilled spirits) kama konyagi, kvant, vodka, dompo, wana design chupa nzuri sana tena zenye mionekano bomba. Lakini cha kushangaza chupa hizo baada ya matumizi hutelekezwa na kuwa kero kwa uchafuzi wa mazingira yetu. Sasa sijui...
  18. Serikali, punguza kodi ya Sukari sio Pombe

    Sukari ni kiungo mhimu kabisa kwenye maisha ya Mtanzania, haijalishi matajiri au maskini lazima atumie sukari. Binadamu woote bila kujali mzima ama mgonjwa lazima atatumia sukari. Ndio maana sukari ikiadimika nchi inatikisika. Lakini ajabu tunapunguza kodi kwenye Pombe. Yaani Watanzania...
  19. Wanadiplomasia wa Malawi Nchini Afrika Kusini wafukuzwa kufuatia skendo ya biashara haramu ya pombe

    Afrika Kusini imewafukuza wanadiplomasia kadhaa wa Malawi baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara haramu ya kuuza pombe bila kulipa tozo. Taifa hilo pia limefukuza Wanadiplomasia kadhaa kutoka Lesotho kwa sababu hizo Wizara ya Mambo ya Nje ya Malawi imesema Afrika Kusini iliwapa...
  20. Most Legendary President, John Pombe Magufuli

    Amongst all his predecessors John Pombe Magufuli stands out as the most legendary President who toiled his blood for Africans, Tanzanians particularly to benefit from their natural wealthy and resources and that one alone made him a lot of enemies, He nullified the Mangungo wa Msovero contracts...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…