pombe

  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Kama kila ukipata pesa unashikwa na kiu ya pombe au kufanya ngono, kijana safari yako ya maisha itakuwa fupi na yenye misukosuko

    Sasa kumekuwa na wimbi la vijana wajinga na wapumbavu wengi sana. Wanatafuta pesa kwa bidii halafu wakizipata tu huziona ndogo kisha huamua kuzipeleka bar au lodge. Unapata laki tatu unasema hii haitoshi kujengea nyumba, haitoshi kununulia kiwanja, haitoshi kufungulia biashara ya tigopesa au...
  2. E

    Pombe na wanawake huwapotosha wanaume wenye akili

    Ndugu zangu huu ndio ukweli. "Pombe na wanawake huwapotosha wanaume wenye akili"
  3. J

    Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

    Hii sasa ni kali. Awali Naibu waziri wa fedha ilibidi arudie kula kiapo zaidi ya mara 5 kwa sababu sehemu iliyoandikwa "Baraza la Mawaziri" yeye alitamka " Baraza la Mapinduzi" Kali ya mwaka ni huyu Naibu waziri wa madini Francis Ndulane ambaye amekuwa akisoma kiapo huku akitetemeka na hivyo...
  4. Kabende Msakila

    Kwanini ukimsifia Rais Magufuli CHADEMA wananuna na kutoa dhihaka - Wanahitaji Elimu?

    WanaJF, Salaam! Nimefuatilia kwa takriban miaka sita (6) hivi humu kwenye jamvi huru la siasa. Ukijitokeza kusifia, kuunga mkono jitihada za Serikali inapofanya jambo zuri i.e Ujenzi wa vivuko Busisi - Sengerema, ujenzi wa barabara za lami, ujenzi wa vituo vya afya, uteuzi wa wapinzani...
  5. Kabende Msakila

    Dkt. John Pombe Magufuli, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif watuzwe udaktari wa heshima

    Wanabodi, Salaam! Kwanza nianze kwa kukupongezeni kwa uhai wenu ndani ya kundijamii hili - nafahamu kwamba pamoja na kuwa tumo watu wa itikadi tofauti za vyama vya siasa, dini tofauti, jinsia na makabila tofauti lkn bado tunatumia jukwaa hili kutoa ya akikini mwetu ili yasaidie kuijenga nchi...
  6. MK254

    Mkenya achuma hela Ulaya kwa kugema pombe ya kienyeji

    Ndio kama hivyo, jamaa ametoka kimasomaso kwa kugema "muratina" aina ya pombe ambayo huku sio halali. Wazungu wameichangamkia na kuachia dollars $$$$ Foreigners enjoy Muratelia drink in the UK MURATINA A Kenyan man is minting money in the UK by brewing and selling the locally produced...
  7. Nafaka

    Mganga alimwambia akinywa pombe atakufa

    Kuna waganga wengine ni wajanja sana, yani wanacheza na psychology ya mtu. Kuna jamaa nilisoma naye chuo alikuwa rafiki yangu sana. Miaka yote tunasoma chuo hakuwahi kunywa pombe hata tukienda kula gambe kwenye pub ya polisi ambapo tulikuwa tunanunua crate kabisa maana bei hapo zilikuwa bei...
  8. Analogia Malenga

    Prof. Adelardus Kilangi aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Rais Magufuli kutofanya mabadiliko watendaji wa Serikali, Mawaziri kubadilishwa

    Prof. Adelardus Lubango Kilangi amekuwa mtu wa kwanza kuteuliwa na Rais John Magufuli kwa kipindi cha muhula wa pili wa Uongozi wa Rias Magufuli. Prof. Kilangi ameteuliwa na kuapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ambapo amesema hii imeonesha Rais ana imani naye kwa hivyo ameahidi...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Ushuhuda usio na shaka: Wasiotumia pombe wana "kilevi" chao

    Mara ya kwanza namtoa out yeye aliagiza bia mimi nikaagiza soda ya coca. Akanicheka sana akaniuliza kama situmii pombe. Baada ya kumjibu kama situmii akanihukumu, kwamba kilevi changu itakuwa chini, tusiotumia pombe tunatumia chini. Nikachukua dakika kadhaa kujitetea. Bado napata ugumu...
  10. R

    Natafuta supplier wa pombe ya mbege Arusha

    Habari Wakuu, Nina sehemu zangu za biashara ya vinywaji (groceries) hapa Arusha ninapouza pombe za viwandani (bia,Konyagi n.k). Nataka siku za weekend niwe nauza pia pombe ya mbege. Natafuta mtu wa uhakika ambaye ataniletea mbege safi kutoka maeneo ya Kilimanjaro hasa Kibosho. Kama upo humu...
  11. Kabende Msakila

    Uchaguzi 2020 Dkt. John Pombe Magufuli, Adv. Tundu Antipas Lissu, Maalim Seif Sharif Hamadi, Dkt Hessein Ally Mwinyi na wagombea wengine - hongereni kwa kampeni

    Waheshimiwa:- Dkt. John Pombe Magufuli Adv Tundu Antipas Lissu Maalim Seif Sharif Hamadi Dkt. Hessein Ally Mwinyi, na Wengine - Salaam za 28/10/2020!!! Kwa niaba ya wapenda amani, haki, usawa, maendeleo na maridhiano nimeandika uzi huu kwa ajili ya kuwapongeza sana sana kwa kushiriki kampeni za...
  12. Kabende Msakila

    Kikao cha Dkt. John Magufuli, Tundu Lissu, Dkt. Hussein Mwinyi na Maalim Seif Sharif Hamad ni muhimu kabla ya utangazaji matokeo

    WanaJF,Salaam! Ninapendekeza kifanyike kikao cha haraka kitakachowakutanisha wagombea wenye nguvu kwa upande wa Zanzibar na Tanganyika ikiwezekana hata wasiokuwa na nguvu wahusishwe. Kikao hicho kiwe na uwezo wa kuwajenga kisaikolojia, kuwaangaliza na kuwataka kuheshimu katiba ya nchi, utashi...
  13. JOYOPAPASI

    Uchaguzi 2020 Chagua Dkt. Magufuli kazi ziendelee

    MAMBO YA JPM .... CHAGUA MAENDELEO, KAZI IENDELEE Na Emmanuel J. Shilatu Ni miaka 5 sasa tangu Dk. John Pombe Joseph Magufuli ale kiapo mnamo Novemba 5, 2015 cha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tumeyaona haya yakitokea na kufanyika;- 1. Mapambano ya wazi wazi ya Serikali ya Rais...
  14. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

    Mada Maalum itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mama Samiah Suluhu. Agosti 25, 2020 M/Kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe...
  15. tikatika

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka...
  16. Victor Mlaki

    Rais Dkt. John Pombe Magufuli hii Boko-Chasimba kuna dhulma ya wazi iliyonyamaziwa kama haipo tupia jicho lako haki itendeke

    Leo naandika tena kwa uchungu mkubwa nikiikumbuka Serikali yetu sikivu ambayo inajitahidi wakati huu wa kampeni kupita kila mahali kuomba kura kuwa ikumbuke dhulma iliyofanyika katika eneo la Chasimba inasikitisha mno. Eneo la Chasimba linaulikana historia yake ambapo lipo chini ya Kiwanda cha...
  17. U

    Kwa Kutambua Mchango Wake Mkubwa Kwenye Sekta Ya Elimu Nchini, Skuli Mpya Na Ya Kisasa Yapewa Jina La Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefungua Skuli ya Sekondari Mwanakwereke, ambayo hivi sasa inatambulika kwa jina la Skuli ya Sekondari ya Dkt. John Pombe Magufuli. Katika ufunguzi huo, Dkt. Shein amesema katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wa...
  18. Chapa Nalo Jr

    Uchaguzi 2020 Namshauri Tundu Lissu apeleke mashtaka NEC dhidi ya Magufuli kwa kampeni za kibaguzi

    Katiba yetu na sheria zetu zinatambua uwepo wa vyama vingi. Hivyo mgombea urais anayesema nikipata urais sitapeleka maendeleo kwenye majimbo yaliyo chagua wabunge au madiwani wasio wa chama chake, ni uvinjivu wa sheria na tusi kwa katiba yetu. Hivyo napendeleza CHADEMA au Lissu kipindi hiki...
  19. S

    Uchaguzi 2020 Kwanini Tusimchague John Pombe Magufuli !? Una sababu embu tuwekee hapa!

    Kwa upande wangu mimi ni kuzuia mambo ya siasa mikutano ya hadhara na kukubali kuwapokea mashehe wa uamsho kutoka Zanzibar waletwe huku Tanganyika, hivi mheshimiwa hawezi kujua mambo ya uwongo na mzigo huu sasa umeiangukia Tanzania nzima,waislamu walio wengi wanaikataa CCM mwaka huu kwa dude...
  20. fungi06

    Ukinywa pombe unajiisi Usalama wa Taifa, tukutane hapa

    Apa ni wale ambao akinywa pombe anakua mdadisi sana wa ishu. Kunae jamaa angu. Kila akinywa pombe utaanza sikia oooh kwani mimi na wewe tushagombana! Onyo; hakuna onyo lolote
Back
Top Bottom