Habar za muda huu, ndugu zangu wana JF.
Kama tujuavyo tuliowengi ikifika mwishoni mwa mwaka...tunakwaida ya kujitathmini yale tuliyoyafanya kwa kipindi cha mwaka mzima. Katika nyanja ya mafanikio, uzembe/jitihada tulizozifanya katika kutimiza malengo tuliojiwekea.
Sasa katika kujitathmini...
Wenyeji 60 wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamekamatwa na madumu yenye pombe haramu aina ya gongo na mitambo ya kutengenezea pombe hiyo.
Kamanda wa polisi wilayani Rombo amesema msako mkali unaendelea katika harakati za kukomesha uhalifu huo.
Chanzo: ITV habari
My take; Wenyeji wa Rombo...
Mbunge wa Ngara (CCM), Ndaisaba Ruhoro amelitaka Bunge kutunga sheria itakayopiga marufuku matumizi ya vileo hadharani.
Ruhoro alitoa kauli hiyo wakati akichangia Mpango wa Serikali jana bungeni mjini Dodoma akibainisha kuwa kunywa pombe hadharani kunasimamisha shughuli za maendeleo kwa kuwa...
Leo 20:30hrs 11/02/2021
Karibu Rais John Pombe Magufuli,Karibu katika Mji wa Kihistoria,Karibu Morogoro,mahali ambapo Safina ya Nuhu ilitia nanga baada ya Gharika kuu iliyoua watu wote duniani, karibu Mkoa wa Morogoro ambao eneo kubwa ni hifadhi za Wanyama wote,Ndege wote,na viumbe vyote...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAMKO LA MADIWANI NA VIONGOZI WA MILA (ILAIGWANAK) WA ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO (TARAFA YA NGORONGORO) JUU YA UHIFADHI NA JAMII
Sisi, Madiwani na Viongozi wa Mila (Ilaigwanak) wa Tarafa ya Ngorongoro (eneo la Hifadhi ya Ngorongoro), Wilaya Ngorongoro kwa niaba...
Mwenye ufahamu wa utengenezaji na uzalishaji wa pombe kali (gin) anisaidie.
Hapa nazungumzia kiwanda kidogo cha uzalishaji.
1. Upatikanaji wa material zake - Ethanol na flavor zake
2. Machine zinazohitajika kuanzia hatua ya mwanzo hadi mwisho kwenye packaging. upatikanajI wa machine na bei...
Wewe binti Huna hela ya pombe, si utulie home? Kutwa kujichatisha WhatsApp na insta kwa waume za watu na kuomba hela ya Pombe, wengine tushachoka na stress za kwenye ndoa ukijichanganya sisi tunapiga tu Kama mwewe. Hakunaga habari ya kutulia na demu mmoja.
Marafiki zangu wakiume huwa wanasema kwamba. “ hatuwezi kuoa wadada tunaolewa nao pale kidimbwi au tips”. Au wanasema hivi wale madem tunaowabambia kule club element pale watawaoa kina nani?”
Swali langu: Hivi kwanini wanaume wanapenda nasty girls yani wale ambao hawana aibu mfano anaweza...
Shule hiyo iliathiriwa na tetemeko lililotokea Mkoani Kagera Septemba 10, 2016 na kupelekea majengo mengi kuharibika ambapo Serikali iliagiza ijengwe upya. Mradi huo umegharamiwa na Serikali za Uingereza na Tanzania.
Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako amesema Shule ya Wavulana ya Ihungo...
Nini Chanzo Cha Pneumonia
Pneumonia husababishwa na bacteria, virusi, fangasi na vyanzo vingine. Hapa chini tutaona baadhi ya vyanzo hivi kwa undani zaidi:
Bacterial Pneumonia
Wagonjwa wengi wa pneumonia hushambuliwa na bacteria aitwaye Streptococcus pneumoniae. Watu wanaougua kwa muda mrefu...
Wadau humu habari za saa hizi,
Okey jana bwana kuna kisanga kimenitokea kisa Kunywa pombe ila kuweka sawa tatizo hilo ni hivi Mimi huwa nikinywa pombe huwa napata vibe la hatari.
Yani nakuwa mchangamfu balaa kama kazi napiga usiseme kama ni watoto ama pisi kali basi ntaongea mpaka nakubaliwa...
Dkt. John Pombe Magufuli, hongera sana kwa kutekeleza vema majukumu yako ya urais
Naomba kukukumbusha juu ya maombi ya kutengewa mkoa mpya wa Nyakanazi. Mkoa huu ilipendekezwa uundwe na wilaya za Kakonko na Kibondo (Kigoma), na Ngara na Biharamulo (Kagera). Mkoa huu uwe na jumla ya wilaya nne...
Habari za Mida hii jamaa zangu wa humu na dada wa humu.
Naomba kujua jinsi ya kutoa harafu ya pombe mdomoni sitaki ajue mtu kwamba nimekunywa pombe?
Je, inawezekana hiyo, maana leo nisipoweza hiyo mtanikuta Kusikojulikana🤭
Msaada jamani uwiiii🤦😜🏃
JF members, and Tanzanians!
Dkt John Pombe Magufuli amefanya mengi mazuri kwa taifa letu la Tanzania - ni ngumu kutaja kwa jina kila alichofanya lakini kwa uchache - elimu, afya, barabara na vivuko, uwajibikaji, makusanyo na kodi, matumizi ya fedha za umma na kukomesha Ufisadi ni miongoni mwa...
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu fulani maarufu waliokuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.
So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona...
Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam!
Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana.
Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa...
Heri ya krismasi na mwaka mpya,nilikua mnywaji mkubwa wa pombe ila baada ya kushauriwa na kuona inaniletea matatizo nikaamua niiache.
Juzi siku ya boxing day nikatoka na washkaji hadi mtaa wa mbali kidogo ila nafahamika nikasema nikumbushie kidogo pombe.
Matokeo yake nilikunywa kupitiliza...
Dkt. John Pombe Magufuli, ni mwamba imara - umefanya mengi mazuri i.e utawala bora, uwajibikaji, miundombinu nk
Pamoja na hayo nashauri uangazie sana matumizi ya fedha unazotoa kwa ajili ya mfuko wa self help schemes or political vote. Kwa wasiozifahamu ni kuwa Serikali hutoa:-
(a). Fedha za...
Wanabodi, Salaam.
Nimeona kupitia mitandao ya kijamii kuhusu utenguzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Igunga mkoani Tabora leo tarehe 28 Desemba, 2020.
Kwa ujumla iwapo Mkurugenzi huyo alikuwa na kasoro lazima atenguliwe kupisha wenye uwezo, ubunifu na wanaojali kuongeza mapato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.