pombe

  1. puker

    Namna nilivyoweza kuacha POMBE, na kuamua starehe yangu iwe MSOSI

    Habar za muda huu, ndugu zangu wana JF. Kama tujuavyo tuliowengi ikifika mwishoni mwa mwaka...tunakwaida ya kujitathmini yale tuliyoyafanya kwa kipindi cha mwaka mzima. Katika nyanja ya mafanikio, uzembe/jitihada tulizozifanya katika kutimiza malengo tuliojiwekea. Sasa katika kujitathmini...
  2. J

    Wenyeji 60 wa mkoa wa Kilimanjaro wakamatwa na mitambo ya kutengeneza pombe haramu ya gongo

    Wenyeji 60 wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamekamatwa na madumu yenye pombe haramu aina ya gongo na mitambo ya kutengenezea pombe hiyo. Kamanda wa polisi wilayani Rombo amesema msako mkali unaendelea katika harakati za kukomesha uhalifu huo. Chanzo: ITV habari My take; Wenyeji wa Rombo...
  3. Miss Zomboko

    Ndaisaba: Itungwe sheria ya kuzuia watu kunywa pombe muda wa kazi

    Mbunge wa Ngara (CCM), Ndaisaba Ruhoro amelitaka Bunge kutunga sheria itakayopiga marufuku matumizi ya vileo hadharani. Ruhoro alitoa kauli hiyo wakati akichangia Mpango wa Serikali jana bungeni mjini Dodoma akibainisha kuwa kunywa pombe hadharani kunasimamisha shughuli za maendeleo kwa kuwa...
  4. Leslie Mbena

    Rais John Magufuli, karibu Morogoro kwa Chifu King'alu Mwana wa Chifu Msumi

    Leo 20:30hrs 11/02/2021 Karibu Rais John Pombe Magufuli,Karibu katika Mji wa Kihistoria,Karibu Morogoro,mahali ambapo Safina ya Nuhu ilitia nanga baada ya Gharika kuu iliyoua watu wote duniani, karibu Mkoa wa Morogoro ambao eneo kubwa ni hifadhi za Wanyama wote,Ndege wote,na viumbe vyote...
  5. Bikis

    Tamko la Madiwani na viongozi wa mila (Ilaigwanak) wa eneo la hifadhi ya mamlaka ya Ngorongoro (NCAA)

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAMKO LA MADIWANI NA VIONGOZI WA MILA (ILAIGWANAK) WA ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO (TARAFA YA NGORONGORO) JUU YA UHIFADHI NA JAMII Sisi, Madiwani na Viongozi wa Mila (Ilaigwanak) wa Tarafa ya Ngorongoro (eneo la Hifadhi ya Ngorongoro), Wilaya Ngorongoro kwa niaba...
  6. jamii01

    Naomba kuelekezwa namna ya uzalishaji wa pombe kali

    Mwenye ufahamu wa utengenezaji na uzalishaji wa pombe kali (gin) anisaidie. Hapa nazungumzia kiwanda kidogo cha uzalishaji. 1. Upatikanaji wa material zake - Ethanol na flavor zake 2. Machine zinazohitajika kuanzia hatua ya mwanzo hadi mwisho kwenye packaging. upatikanajI wa machine na bei...
  7. and 300

    Tamaa ya Pombe za bure inavyowaponza mabinti!

    Wewe binti Huna hela ya pombe, si utulie home? Kutwa kujichatisha WhatsApp na insta kwa waume za watu na kuomba hela ya Pombe, wengine tushachoka na stress za kwenye ndoa ukijichanganya sisi tunapiga tu Kama mwewe. Hakunaga habari ya kutulia na demu mmoja.
  8. M

    Hivi kila mwanaume anataka kuoa mwanamke ambaye haendi club wala hanywi pombe?

    Marafiki zangu wakiume huwa wanasema kwamba. “ hatuwezi kuoa wadada tunaolewa nao pale kidimbwi au tips”. Au wanasema hivi wale madem tunaowabambia kule club element pale watawaoa kina nani?” Swali langu: Hivi kwanini wanaume wanapenda nasty girls yani wale ambao hawana aibu mfano anaweza...
  9. beth

    Shule ya Wavulana ya Ihungo yazinduliwa rasmi, iliharibiwa na tetemeko la 2016

    Shule hiyo iliathiriwa na tetemeko lililotokea Mkoani Kagera Septemba 10, 2016 na kupelekea majengo mengi kuharibika ambapo Serikali iliagiza ijengwe upya. Mradi huo umegharamiwa na Serikali za Uingereza na Tanzania. Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako amesema Shule ya Wavulana ya Ihungo...
  10. J

    Je, unajua watu wanaokunywa sana pombe wako kwenye hatari ya kupata Nimonia?

    Nini Chanzo Cha Pneumonia Pneumonia husababishwa na bacteria, virusi, fangasi na vyanzo vingine. Hapa chini tutaona baadhi ya vyanzo hivi kwa undani zaidi: Bacterial Pneumonia Wagonjwa wengi wa pneumonia hushambuliwa na bacteria aitwaye Streptococcus pneumoniae. Watu wanaougua kwa muda mrefu...
  11. Mkogoti

    Nimejikuta nasomba vitu vyote vya rafiki yangu kisa pombe

    Wadau humu habari za saa hizi, Okey jana bwana kuna kisanga kimenitokea kisa Kunywa pombe ila kuweka sawa tatizo hilo ni hivi Mimi huwa nikinywa pombe huwa napata vibe la hatari. Yani nakuwa mchangamfu balaa kama kazi napiga usiseme kama ni watoto ama pisi kali basi ntaongea mpaka nakubaliwa...
  12. Kabende Msakila

    Rais Dkt. John Pombe Magufuli, tunaendelea kukuomba Mkoa mpya wa Nyakanazi

    Dkt. John Pombe Magufuli, hongera sana kwa kutekeleza vema majukumu yako ya urais Naomba kukukumbusha juu ya maombi ya kutengewa mkoa mpya wa Nyakanazi. Mkoa huu ilipendekezwa uundwe na wilaya za Kakonko na Kibondo (Kigoma), na Ngara na Biharamulo (Kagera). Mkoa huu uwe na jumla ya wilaya nne...
  13. Mkogoti

    Ni aina gani ya mmea au kitu gani kinaweza kutoa harafu ya pombe mdomoni hata kama umekunywa mtu asigundue?

    Habari za Mida hii jamaa zangu wa humu na dada wa humu. Naomba kujua jinsi ya kutoa harafu ya pombe mdomoni sitaki ajue mtu kwamba nimekunywa pombe? Je, inawezekana hiyo, maana leo nisipoweza hiyo mtanikuta Kusikojulikana🤭 Msaada jamani uwiiii🤦😜🏃
  14. Kabende Msakila

    Dkt. John Pombe Magufuli akikubali tu, niko tayari kumpokea kijiti hicho 2025

    JF members, and Tanzanians! Dkt John Pombe Magufuli amefanya mengi mazuri kwa taifa letu la Tanzania - ni ngumu kutaja kwa jina kila alichofanya lakini kwa uchache - elimu, afya, barabara na vivuko, uwajibikaji, makusanyo na kodi, matumizi ya fedha za umma na kukomesha Ufisadi ni miongoni mwa...
  15. Extrovert

    Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

    Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu fulani maarufu waliokuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC. So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona...
  16. Kabende Msakila

    Dkt. John Pombe Magufuli amefanikiwa - tuchangie ujenzi wa madarasa

    Wanaccm, CHADEMA, CUF, NCCR, act nk Salaam! Hakuna ubishi kwamba jitihada za Serikali inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli za kuondoa ada shuleni, zimepelekea ufaulu wa watoto wa shule za msingi kuongezeka sana. Sasa tafadhali katika shule za Sekondari ambazo hazina miundombinu ya madarasa...
  17. Masunula

    Aibu ya pombe

    Heri ya krismasi na mwaka mpya,nilikua mnywaji mkubwa wa pombe ila baada ya kushauriwa na kuona inaniletea matatizo nikaamua niiache. Juzi siku ya boxing day nikatoka na washkaji hadi mtaa wa mbali kidogo ila nafahamika nikasema nikumbushie kidogo pombe. Matokeo yake nilikunywa kupitiliza...
  18. Kabende Msakila

    Dkt. John Pombe Magufuli umelifaa taifa kisiasa na kiuchumi. Sasa ongeza kasi kudhibiti fedha za political vote

    Dkt. John Pombe Magufuli, ni mwamba imara - umefanya mengi mazuri i.e utawala bora, uwajibikaji, miundombinu nk Pamoja na hayo nashauri uangazie sana matumizi ya fedha unazotoa kwa ajili ya mfuko wa self help schemes or political vote. Kwa wasiozifahamu ni kuwa Serikali hutoa:- (a). Fedha za...
  19. Kabende Msakila

    Dkt. John Pombe Magufuli ameanza kuishiwa na rasilimali watu - siyo kawaida yake kukaimisha

    Wanabodi, Salaam. Nimeona kupitia mitandao ya kijamii kuhusu utenguzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Igunga mkoani Tabora leo tarehe 28 Desemba, 2020. Kwa ujumla iwapo Mkurugenzi huyo alikuwa na kasoro lazima atenguliwe kupisha wenye uwezo, ubunifu na wanaojali kuongeza mapato...
Back
Top Bottom