pombe

  1. Fatma-Zehra

    UKIMWI, Pombe, Kitimoto na Urbanization ni Threat to National Security

    Shikamoo mama Samia. Nimeona uko serious sana na report ya CAG. I love you. Nchi hii imejaa notable crooks. Please deal with them. Nenda kwenye public institutions and do something. Halmashauri nyingi ni wezi but hali ni worse kwenye public institutions. Unfortunately your CAG doesnt audit all...
  2. Kabende Msakila

    CCM - baada ya kifo, maombolezo na mazishi ya Hayati Dkt John Pombe Magufuli - tutawakabili CHADEMA, ACT, NCCR, CUF - Ofisi zao watafugia kuku

    Ndugu Wana - CDM, ACT, NCCR, CUF hii ni taarifa kwenu kwamba baada ya kuhitimisha siku 21 za maombolezo ya kiongozi wetu Hayati Dkt John Pombe Magufuli sasa tutaelekeza nguvu zetu ktk kuwashughulikia kisiasa. Demokrasia mnazoimbia Tanzania, Ubelgiji na Canada hatutataka kuzisikia - mkitaka...
  3. Victor Mlaki

    Mambo matatu aliyokuwa nayo Hayati Dk. John Pombe Magufuli kulingana na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete

    Bila kuzungusha sana uzi mambo hayo ni; (i) Kugusa maisha ya wengi (ii) Kusifiwa akiwa hai (iv) Kuondoka wakati bado anahitajika. Mambo haya kwa ujumla wake kulingana na hotuba iliyosomwa na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete leo ni bahati aliyokuwa nayo Hayati D.k John Pombe Joseph Magufuli.
  4. Miss Zomboko

    Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

    Fuatilia mbashara hapa RAIS Samia Suluhu Hassan leo ataongoza waombolezaji kumzika Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, John Magufuli. Jeneza lililobeba mwili wa Hayati Dkt. Magufuli likiwa Kanisani kwa ajili ya Misa ya Mazishi Kaburi la Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli Mama Janeth...
  5. Geza Ulole

    Raila Odinga: The John Pombe Magufuli I knew

    Raila Odinga: The John Pombe Magufuli I knew TUESDAY MARCH 23 2021 Summary I first met Dr Magufuli at an international conference on infrastructure in Durban, South Africa some time in 2003. I had just assumed office as Minister for Roads, Public Works and Housing in the National Rainbow...
  6. Victor Mlaki

    Nguvu za asili za hali ya hewa mkoani Geita zimejiandaa vizuri kuupokea Mwili wa Hayati Dr. John Pombe Joseph Magufuli

    Katika hali ya upendo na nguvu za asili zinaotawala mazingira yetu ya kila siku. Nguvu zinazoifanya hali ya hewa kuwa tulivu au kuwa katika hali inayotahayarisha wanadamu na viumbe wengine hali mkoa huu imekuwa tulivu sana ikitawaliwa na mvua kiasi inayonyesha kwa upole mkubwa jambo...
  7. SEASON 5

    Nyimbo za Maombolezo za Kumuaga Rais. John Pombe Joseph Magufuli

    Nyimbo nyingi zimekua zikitungwa kwa ajili yakuonyesha namna tulivyompenda Rais wetu, nadhani kila mtu ana nyimbo ambayo kwa namna moja ama nyingine akiisikiliza anajikuta anatonesha kidonda anaanza umia upya. Kwa upande wangu nimeguswa sana na nyimbo mbili ambazo ki ukweli nimezipenda nimezi...
  8. Sky Eclat

    Kwakweli Dr John Pombe Magufuli alipendwa sana

  9. jingalao

    Mapokezi ya Mwili wa John Pombe Magufuli: Wakazi wa Dodoma waizunguka Airport

    Wakazi wa Dodoma wamejitokeza na kuizunguka Airport ya Jiji la dodoma wakisubiri kuona Mwili wa Mh Rais Magufuli ukishuka tayari kuagwa hapo kesho. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA! DODOMA NI MAKAO MAKUU YA CHAMA NA SERIKALI.HAWA NI WAKAZI WA DODOMA WAKISHIHUDIA SAFARI YA MWISHO YA Rais...
  10. Elitwege

    Spika Ndugai: Miradi yote aliyoacha Rais Magufuli iko salama

    Leo Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai wakati akitoa salamu za pole kufutia kifo cha Rais Magufuli, amewataka watanzania kuwa watulivu na kusema ilani ya CCM ya 2020 - 2025 na miradi yote ya maendeleo aliyoacha Rais Magufuli itatekelezwa kwani fedha zote za miradi hiyo...
  11. mama D

    Huyu ndio Shujaa wetu hayati John Pombe Magufuli - Rais wa Watanzania na kimbilio la wanyonge

    Mods Moderator naomba msiunganishe huu uzi🙏 Tumshukuru sana Mungu kwa zawadi ya uhai wa John Pombe Joseph Magufuli kwa nchi yetu. Ametutoa pagumu sana, ametuthubitishia yaliyoambiwa hayawezekani yanawezekana kwa vitendo Ametuachia viongozi makini aliowapika kuwa wazalendo kama yeye mwenyewe...
  12. Cpp

    Tanzania yapata Suluhu baada ya Pombe

  13. Haitham Kim

    Wimbo wangu mpya kwa ajili ya John Pombe Magufuli unapatikana YouTube kwenye channel yangu HAITHAM KIM

    Watanzania Tunakulilia Baba 😭 @haithamkim X @wyse_tz Official Video is out ‼️
  14. Haitham Kim

    Wimbo Wangu Maalumu kwaajili ya John Pombe Magufuli unapatikana YouTube kwenye channel yangu HAITHAM KIM

    Watanzania Tunakulilia Baba 😭 @haithamkim X @wyse_tz Official Video is out ‼️
  15. NairobiWalker

    Tanzania wapata Suluhu baada ya Pombe

    Hongera Tanzania kwa Suluhu.
  16. Masokotz

    Ninachokumbuka kuhusu Nyakati za John Pombe Magufuli

    Habari na poleni sana kwa msiba. Niseme tu kwamba wengi wanaweza kusema mengi kuhusu Msiba huu ila mimi naweza kusema Jambo Moja. Maisha ni zawadi, tuyaenzi. ujifunze kutoka katika maisha ya Magufuli; Maisha ambayo yaliacha alama. Mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi mama yangu mzazi aliniuliza...
  17. Abdalah Abdulrahman

    #COVID19 Vita dhidi ya Corona: Rais Magufuli anaanza Marais wengine wanafuata

    Sifa ya kiongozi ni kuweza kufikiri nje ya boxi, kwa maana ya kuwa na IQ kubwa katika kutatua changamoto za kila siku za wale unaowaongoza. Rais wa Tanzania amekua akilionesha hili wazi kupitia mapambano yake na rushwa, wafanyakazi hewa, matumizi mazuri ya pesa za umma, usimamizi mzuri wa...
  18. yuda75

    Iwafikie wanaume wote wenye tabia ya kuomba kununuliwa BIA au POMBE bar

    SIKU HIZI KUNA KATABIA NAKAONA BAR Umeenda zako mahali unapiga gambe na meza imependeza anatokea jamaa kapendeza na kaweka ufungua wa gari kiunoni anajisogeza na bia yake moja story nyingiiiii badae unasikia nipe moja brother atakupa au utasikia brother napiga moja Umenunua zako K Vant unapiga...
  19. Victor Mlaki

    Ujasiri wa Rais Magufuli juu ya janga la korona katika ulimwengu wa roho

    Awali ya yote napenda kutoa salamu za dhati kabisa kutoka katika kina cha nia yangu kwenu nyote nikiwa na uhakika salamu hii itapokelewa na kila mtu atakayesoma andiko hili na kuruhusu kuelewa zaidi ya uelewa ulivyo. Natamani sana andiko langu niliweke katika lugha ambayo itamfanya kila mmoja...
  20. Uswiss

    Nchi zinazoongoza kwa unywaji wa pombe barani Afrika

    Kwa mujibu wa mtandao wa African full facts nchi zinazo ongoza kwa unywaji wa pombe barani Africa ni.. 1. South Africa 2. Gabon 3. Namibia 4. Nigeria 5. Uganda 6. Rwanda 7. Burundi 8. Sierra Leone 9. Botswana 10. Tanzania. Na vilevi (bia) vinavyohusidiwa sana na walevi wa bara la Africa ni: 1...
Back
Top Bottom