premier league

The Premier League, often referred to as the English Premier League or the EPL outside England, is the top level of the English football league system. Contested by 20 clubs, it operates on a system of promotion and relegation with the English Football League (EFL). Seasons run from August to May with each team playing 38 matches (playing all 19 other teams both home and away). Most games are played on Saturday and Sunday afternoons.
The competition was founded as the FA Premier League on 20 February 1992 following the decision of clubs in the Football League First Division to break away from the Football League, founded in 1888, and take advantage of a lucrative television rights deal. The deal was worth around £1 billion a year domestically as of 2013–14, with Sky and BT Group securing the domestic rights to broadcast 116 and 38 games respectively. The league is a corporation in which the member clubs act as shareholders, and generates €2.2 billion per year in domestic and international television rights. Clubs were apportioned central payment revenues of £2.4 billion in 2016–17, with a further £343 million in solidarity payments to English Football League (EFL) clubs.The Premier League is the most-watched sports league in the world, broadcast in 212 territories to 643 million homes and a potential TV audience of 4.7 billion people. For the 2018–19 season average Premier League match attendance was at 38,181, second to the Bundesliga's 43,500, while aggregated attendance across all matches is the highest of any league at 14,508,981. Most stadium occupancies are near capacity. The Premier League ranks second in the UEFA coefficients of leagues based on performances in European competitions over the past five seasons as of 2019, only behind Spain's La Liga.Forty-nine clubs have competed since the inception of the Premier League in 1992: forty-seven English and two Welsh clubs. Six of them have won the title: Manchester United (13), Chelsea (5), Manchester City (4), Arsenal (3), Blackburn Rovers (1), and Leicester City (1). The record of most points in a Premier League season is 100, set by Manchester City in 2017–18.

View More On Wikipedia.org
  1. Greatest Of All Time

    FT: Ihefu FC 0-2 Simba Sc | NBC Premier League | Highland Estates Stadium | 10.04.2023

    Majira ya Saa 10:00 Alasiri kwa masaa ya Afrika Mashariki, Ihefu Fc itawakaribisha Simba Sc katika dimba lao la Highland Estates katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Habari kubwa leo, nani wa kumzuia Jean Baleke ambaye amekuwa hazuiliki sasa, kwa taarifa yako Baleke kwasasa anafunga kila...
  2. Greatest Of All Time

    Kwa mechi hizi zilizobaki unampa nani ubingwa wa Premier League?

    Ligi Kuu ya Uingereza inaelekea ukingoni, zikiwa zimebaki mechi kadhaa, Arsenal anaongoza ligi kwa alama 5 huku akiwa amecheza mechi moja zaidi ya Man City. Man City yeye amebakiza mechi 10 wakati Arsenal amebakiza mechi 9. Haya tuone kila timu imebakiza mechi zipi na baada ya hapo tabiri nani...
  3. Izy_Name

    vita ya kushuka daraja premier league

    Wakati Ligi Kuu ya Uingereza inaanza tena mwishoni mwa wiki hii, vita ya kuepuka kushuka daraja inageuka kuwa kama filamu ya kusisimua, huku pointi nne pekee zikiwatofautisha timu tisa za chini. Timu sita kati yao zimebadilisha makocha ili kuepuka janga la kushuka daraja ambalo linaweza...
  4. Scars

    FT: NBC Premier League | Mtibwa Sugar 0-3 Simba SC | Live Updates | Manungu Stadium

    Mchezo ni saa 16:00Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewa Timu zinaingia uwanjani Mchezo unaanza 1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri 3'Goooooooooo Jean Baleke anafunga goli kwa kwanza kwa Simba licha ya kubanwa na walinzi 7' Goooooooooo Baleke anafunga goli la...
  5. Sky Eclat

    Wayne Rooney's son Kai sees himself playing for Man Utd in Premier League in 10 years

    Wayne Rooney’s son Kai says he sees himself playing in the Premier League in 10 years time - and that his biggest inspiration is his dad. The 13-year-old is currently in Man United’s academy system. He said: “In ten years hopefully I will be playing in the Premier League for Man United …that’s...
  6. Kichuguu

    NBC Premier League- Fixtures

    Credits to changaule
  7. Stephen Ngalya Chelu

    FT: NBC Premier League: Ihefu SC 2-1 Yanga SC

    Je, Yanga itaendeleza ubabe wake wa kutokufungwa? Ama Ihefu watavunja mwiko? Tuungane pamoja katika huu uzi... Kikosi cha wenyeji, Ihefu SC Kikosi cha wageni, Yanga. UPDATE: MANENO YA MAKOCHA KABLA YA MECHI "Mechi ya leo inaweza kuwa ni mechi ngumu kuliko watu wanavyofikiria" Cedrick...
  8. Ghazwat

    FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 3-0 Dodoma Jiji FC | Uwanja wa Mkapa 02/10/2022

    Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Oktoba 2, 2022, ambapo Mnyama Mkali Mwituni Simba SC, atakwaruzana na Walima Zabibu Dodoma Jiji FC kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi huenda ukawa ngumu kwa pande zote mbili, hasa ukizingatia kwa kila timu kujipanga ili kupata...
  9. JanguKamaJangu

    Premier League: Man United yaibamiza Liverpool 2-1, Agosti 22, 2022

    Baada ya kuanza msimu vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo, Manchester United imeamka na kuipa Liverpool kipigo cha magoli 2-1 katika mtanange wa Premier League kwenye Uwanja wa Old Trafford. United haikupewa nafasi kubwa ya kushinda katika mchezo huo, ilipata magoli yake kupitia kwa Jadon...
  10. Kurunzi

    FT: NBC Premier League Yanga 2- 1 Polisi Tanzania 16/08/2022

    Leo tena Mabigwa wa nchi, FA na Ngao ya jamii timu ya Yanga inaanza rasmi mbio za ubigwa wa ligi kuu Tanzania Bara. Leo majira ya saa 10:00 jioni macho na masikio ya Watanzania yataelekea huko jijini Arusha, Yanga watakipiga na Polisi ya Tanzania Mchezo huu huenda ukawa na ushindani mkubwa...
  11. Expensive life

    Hii hapa top four ya NBC premier league msimu wa 2021/2022

    Bila kupepesa macho hii ndio yop four ya nbc premier league ikatavyo kuwa. Simba Azam Singida Geita
  12. Mr FCB

    fantasy premier league 2022/2023

    Ligu kuu pendwa ya uingereza inaenda kuanza ijumaa hii, kwa wapenzi wa fantasy tupeane code za min league tuoneshane umwamba Pia mwenye code ya east africa radio fantasy atupie hapa tujoin
  13. Vawulence

    Msimamo NBC Premier League 2022/2023

    Ufuatao ni msimamo wa Ligi itakavyotamatika 2022/2023 1. Simba 2. Azam 2. Yanga 4. Geita gold 5. Singida Big stars 6. Namungo 7. Coastal union 8. Kagera sugar 9. Polisi Tz 10 KMC 11. Kagera 12. Mbeya city 13. Dodoma Jiji 14. Ruvu shooting 15. Tanzania Prisons...
  14. luangalila

    Kupitia NBC Premier League nchi inatangazika

    Kwa miaka ya ivi karibuni league kuu ya soka ya Tanzania imeongeza hamasa ya kutazamwa na baadhi ya wana habari wa michezo wa kubwa toka nje ya Tanzania. Kwa kipekee kabisa mchango unaofanywa na hawa wafanyabiashara wakubwa kuingia ktk soka na kuweka pesa ktk vilabu ambavyo vina umri mkubwa...
  15. GENTAMYCINE

    Kikosi changu bora kabisa cha NBC Premier League 2021 / 2022

    1. Djigui Diara ( Yanga SC ) 2. Shaaban Djuma ( Yanga SC ) 3. Mohammed Hussein Tshabalala ( Simba SC ) 4. Dickson Job ( yanga SC ) 5. Henock Inonga ( Simba SC ) 6. Yannick GENTAMYCINE Bangala ( Yanga SC ) 7. Edmund Godfrey ( Geita Gold FC ) 8. Khalid GENTAMYCINE Aucho ( Yanga SC ) 9. Fiston...
  16. P

    FT: Mbeya City 1-1 Yanga SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium

    Leo kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya Mabingwa wapya wa Tanzania Bara, Dar es Salaam Young Africans almaarufu kama Yanga dhidi ya timu ya Mbeya City kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya Mechi hii ya leo itatumika pia kwa kuikabidhi Yanga kombe la ubingwa wa ligi hiyo, kombe la 28...
  17. JanguKamaJangu

    Rasmi Premier League yapitisha dili la Todd Boehly kuinunua Chelsea

    Bodi ya Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ umethibitishwa rasmi kupitisha mchakato wa Klabu ya Chelsea kuuzwa kwa paundi bilioni 4.25, ambapo mnunuzi ni Bilionea Todd Boehly. Klabu hiyo iliwekwa sokoni na aliyekuwa mmiliki wake, Roman Abramovich ambaye amewekewa vikwazo kutokana na ukaribu...
  18. C

    Marefa wa English Premier League nao ni Vilaza tu

    Ukiangalia performance ya Marefa wa Ligi Kuu ya Uingereza pamoja na kuwepo kwa VAR bado wana maamuzi dhaifu sana. Waamuzi hawa wamelalamikiwa mara kwa mara lakini hawabadiliki. Tarehe 12 Mei 2022 Refa Paul Tierney ametoa a very soft penalty kwa Spurs dhidi ya Arsenal. Maamuzi mengine ya hovyo...
  19. I

    Mkataba wa TFF kuipa TBC haki miliki ya kutangaza live mechi zote za NBC premier league ni wa kishenzi

    Kwanza mkataba huu ni wa kifisadi na unazinyima haki ya kibiashara radio za jamii. TBC ni redio ya umma na ina vyanzo vingi vya mapato ikiwa na pamoja na kodi zetu hivyo kuipa hati miliki hiyo siyo haki kabisa kwa radio binafsi ambazo pia zingependa kuwapa uzoefu watangazaji wake na kuongeza...
  20. GENTAMYCINE

    Mchezaji wa NBC Premier League atakayewafanya akina Bangala, Aucho na Mayele watembelee 'Magongo' kwa Mechi zilizobakia ana Zawadi yangu Nono sana

    Niliwaamini akina Abdi Banda wa Mtibwa Sugar FC, Kelvin Yondan wa Geita Gold FC na huyu Bwege wa juzi Andrew Vicent wangenifanyia vyema hii Kazi yangu Maalum kumbe ndiyo Kwanza wakawa Wanawachekea tu mpaka hata Kuwazawadia Magoli ya Michongo na sasa hatukai kwa Amani hapa Mjini. Natamani mno...
Back
Top Bottom