premier league

The Premier League, often referred to as the English Premier League or the EPL outside England, is the top level of the English football league system. Contested by 20 clubs, it operates on a system of promotion and relegation with the English Football League (EFL). Seasons run from August to May with each team playing 38 matches (playing all 19 other teams both home and away). Most games are played on Saturday and Sunday afternoons.
The competition was founded as the FA Premier League on 20 February 1992 following the decision of clubs in the Football League First Division to break away from the Football League, founded in 1888, and take advantage of a lucrative television rights deal. The deal was worth around £1 billion a year domestically as of 2013–14, with Sky and BT Group securing the domestic rights to broadcast 116 and 38 games respectively. The league is a corporation in which the member clubs act as shareholders, and generates €2.2 billion per year in domestic and international television rights. Clubs were apportioned central payment revenues of £2.4 billion in 2016–17, with a further £343 million in solidarity payments to English Football League (EFL) clubs.The Premier League is the most-watched sports league in the world, broadcast in 212 territories to 643 million homes and a potential TV audience of 4.7 billion people. For the 2018–19 season average Premier League match attendance was at 38,181, second to the Bundesliga's 43,500, while aggregated attendance across all matches is the highest of any league at 14,508,981. Most stadium occupancies are near capacity. The Premier League ranks second in the UEFA coefficients of leagues based on performances in European competitions over the past five seasons as of 2019, only behind Spain's La Liga.Forty-nine clubs have competed since the inception of the Premier League in 1992: forty-seven English and two Welsh clubs. Six of them have won the title: Manchester United (13), Chelsea (5), Manchester City (4), Arsenal (3), Blackburn Rovers (1), and Leicester City (1). The record of most points in a Premier League season is 100, set by Manchester City in 2017–18.

View More On Wikipedia.org
  1. uran

    FT: Simba 3-0 Kagera Sugar | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 15.12.2023

    Match Day. Simba Vs Kagera Sugar Time 1600. 15.12.2023. Uhuru Stadium. All The Best Mnyama. #nguvumoja#
  2. JanguKamaJangu

    Everton yakatwa pointi 10 kwa ukiukwaji wa Kanuni za Fedha za Premier League

    Timu ya Everton imekatwa pointi 10 katika Ligi Kuu ya England (Premier League) kwa kosa la kukiuka Kanuni ya Fedha (Faida na Uendelevu), hali ambayo ilitokea katika Msimu wa 2021/22. Baada ya kutangazwa kwa adhabu hiyo, uongozi wa Klabu ya Everton umesema utakata rufaa kwa kuwa adhabu hiyo...
  3. uran

    FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

    Match Day! Simba SC Vs Namungo FC ⌚ 04:00pm 🏟️ Uhuru Stadium. Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa. Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo Kikosi cha Namungo Kinachoanza All the Best Simba. #Nguvumoja# Mchezo umeanza 10' Simba wanaonekana kuwa na presha ya kutafuta matokeo...
  4. jingalao

    Clement Mzize-Best Super Sub in NBC Premier league

    Hakika kijana huyu anapaswa kupewa sifa ya kipekee katika ligi yetu.Huwa hakosei
  5. Mad Max

    FT: Kagera Sugar 2 - 1 Tanzania Prisons NBC Premier League: 3 Nov 2023

    Ni kivumbi tena, Kagera Sukari wakiwa wenyeji kuwakaribisha wajelajela wa Tanzania. Hadi sasa Dakika ya 45 Wakata Miwa wanaongoza kwa goal 1 lililotupiwa na Chirwa Obrey kwa mkwaju wa penati, dhidi ya Prisons wakiwa na Sifuri
  6. uran

    FT: Azam FC 1 - 3 Namungo FC | NBC Premier League | Azam Complex | 27.10.2023

    Azam FC inakutana na Namungo FC katika Uwanja wa Azam Complex unaomfanya Azam FC kuwa nyumbani Huu ni mchezo wa mzunguko wa 7 wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Na hapa chini ni baadhi ya taarifa za timu 1. Namungo wako katika mwendo mbaya wa ushindi 1 pekee katika mechi 10 (Ligi Kuu Bara) 2. Namungo...
  7. Expensive life

    Yanga sc na Kmc watauana kugombea nafasi ya tatu Nbc premier league.

    Kama msmaimo unavyoonekana kumeibika mapigano makali kati ya Kmc na yanga kugombania nafasi ya tatu.
  8. uran

    FT: Singida Fountain Gate 1 - 2 Simba SC | NBC Premier League | CCM Liti Singida | Oktoba 8, 2023

    Match Day 📅 October 8, 2023. ⚽ NBC Premier League Singida Fountain Gate vs Simba Sc 🏟️ CCM Liti, Singida. ⏰ 4:00Pm. Haya, kumekucha vyema. Baada ya michezo ya jana ya ligi kuu Tanzania Bara kupigwa, Tukishuhudia Yanga kutoa kipigo kwa Geita Gold cha 3-0 Huku Ihefu akizamishwa na KMC kwa 1 -...
  9. uran

    Coastal Union 0 - 1 Azam SC| NBC Premier League | Mkwakwani Stadium | 06.10.2023

    Haya!! Baada ya mjadala mzito wa Makundi, Turudi kwenye ligi yetu pendwa, inayojizolea mashabiki wengi kila kukicha. Game Day. 06.10.2023 FT: Tabora FC 2 - 1 Dodoma Jiji. Next Match, ni mechi ya kisasi. Coastal Union Vs Azam Muda ni saa Moja jioni. Tukutane Saa 1:00 Azam.
  10. GENTAMYCINE

    Mzunguko wa pili wa NBC Premier League walipokaa kileleni walitamba mno mbona sasa mzunguko wa nne wako kimya?

    Tafadhali naomba mwenye Jedwali la Msimamo wa Ligi Kuu yetu ya NBC aniwekee hapa tafadhali ili tujikumbushe na tusisahau au tusijisahaulishe kwa Makusudi.
  11. uran

    FT: Tanzania Prisons SC 1-3 Simba SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | October 5, 2023

    Kumekucha tena, Kivumbi leo. Uwanja wa Sokoine Mbeya. Simba ya Dar es Salaam itaumana na Tanzania Prison ya Mbeya. Muda ni Saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki. Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Tanzania Prisons, Oktoba 5, 2023 Updates. Mchezo umenza 12' Tanzania Prisons Wanaongoza...
  12. Mad Max

    FT: NBC Premier League: Kagera Sugar 1 - 1 Namungo FC | Kaitaba Stadium

    Kuanzia saa 1 jioni, hawa wanapambana.
  13. Tembosa

    FT: Azam FC 2 - 1 Singida Fountain | NBC Premier League | Azam Complex | 21.09.2023

    Azam Football Club vs Singida Fountain Gate START : 1900 2ND :Azam FC 1-1 Singida FG 2nd Half.
  14. Suley2019

    FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

    Leo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam. Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi. --- Kikosi cha Simba kinachoanza...
  15. JanguKamaJangu

    Klabu za Premier League zaonywa kuhusu Wadukuzi kuvamia mifumo ya usajili

    Imebainika kuwa Klabu za England zinalengwa na wadukuzi, ambao wanatuma ankara za ulaghai kuhusu uhamisho wa wachezaji wa nje ya Nchi hiyo. Suala hilo ni zito, Chama cha Soka Cha England (FA) kimetuma onyo kwa Klabu na kuzitaka kupitia barua pepe zao za usalama na kuzitaka idara zao za fedha...
  16. Teko Modise

    Tuone kikosi chako cha Fantasy Premier League

    Ikiwa leo ndio ufunguzi wa EPL kwa wale tunaocheza Fantasy Premier League hebu tupia kikosi chako cha Game Week 1
  17. GENTAMYCINE

    Hili la Former NBC Premier League MVP Bangala kwenda Azam FC tunamuomba Rais wa Yanga SC atuachie Yanga SC yetu

    Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said asipoachia ngazi Yanga SC yetu tunamroga ili nae ahamie huko Azam FC au kwa Simba SC alikowauzia Bernard Morrison aliyetutia sana Hasara Yanga SC katika Kesi yake. Injinia Hersi Said tuachie Timu yetu.
  18. marcoveratti

    Ligi ya mpira wa Tanzania sio dance floor

    Soka ndio mchezo ulio sambaa zaidi Duniani, ndio mchezo unao fuatiliwa na watu wengi zaidi na ndio mchezo una tengeza ajira nyingi zaidi kwa wanamichezo!, Kwanini? Sababu kubwa ni kua kwenye soka yoyote anaweza pasuliwa na yoyote, uwepo wa hili jambo ndio umepelekea kuibuka kwa betting...
  19. J

    Ili kuweza kupata ladha ya kabumbu ligi ya NBC, vitu vifuatavyo lazima vifanyiwe kazi

    NDUGU WANAJAMVI ILI KUWEZA KUPATA LADHA YA KABUMBU VITU VIFUATAVYO LAZIMA VIFANYIE KAZI Usajili wa wachezaji bora Benchi la ufundi bora na lililokamilika Maandalizi ya msimu/ pre season Viwanja bora vya kuchezea mpira Vifaa bora na vya kutosha vya kurushia matangazo kutoka kwa mdhamini...
  20. JanguKamaJangu

    Rasmi Manchester City imetwaa ubingwa wa Premier League 2022/23

    Goli pekee la ushindi la Nottingham Forest lililowekwa wavuni na Taiwo Anoniyi dhidi ya Arsenal, leo Mei 20, 2023 ni rasmi limeifanya Manchester City kutwaa ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na michezo miwili mkononi Arsenal ambaye inashika nafasi ya pili, ina pointi 81 na imesaliwa na mchezo mmja...
Back
Top Bottom