premier league

The Premier League, often referred to as the English Premier League or the EPL outside England, is the top level of the English football league system. Contested by 20 clubs, it operates on a system of promotion and relegation with the English Football League (EFL). Seasons run from August to May with each team playing 38 matches (playing all 19 other teams both home and away). Most games are played on Saturday and Sunday afternoons.
The competition was founded as the FA Premier League on 20 February 1992 following the decision of clubs in the Football League First Division to break away from the Football League, founded in 1888, and take advantage of a lucrative television rights deal. The deal was worth around £1 billion a year domestically as of 2013–14, with Sky and BT Group securing the domestic rights to broadcast 116 and 38 games respectively. The league is a corporation in which the member clubs act as shareholders, and generates €2.2 billion per year in domestic and international television rights. Clubs were apportioned central payment revenues of £2.4 billion in 2016–17, with a further £343 million in solidarity payments to English Football League (EFL) clubs.The Premier League is the most-watched sports league in the world, broadcast in 212 territories to 643 million homes and a potential TV audience of 4.7 billion people. For the 2018–19 season average Premier League match attendance was at 38,181, second to the Bundesliga's 43,500, while aggregated attendance across all matches is the highest of any league at 14,508,981. Most stadium occupancies are near capacity. The Premier League ranks second in the UEFA coefficients of leagues based on performances in European competitions over the past five seasons as of 2019, only behind Spain's La Liga.Forty-nine clubs have competed since the inception of the Premier League in 1992: forty-seven English and two Welsh clubs. Six of them have won the title: Manchester United (13), Chelsea (5), Manchester City (4), Arsenal (3), Blackburn Rovers (1), and Leicester City (1). The record of most points in a Premier League season is 100, set by Manchester City in 2017–18.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Mabeki wa NBC Premier League nitafuteni upesi niwape 'Twisheni' ya Kumalizana 'Kisela' na Fiston Mayele tupumzike na Kero Mitaani

    Ingekuwa ni enzi zangu nacheza mpira (naupiga mwingi) nina uhakika huyu Mshambuliaji Mbovu wa Yanga SC Fiston Mayele sasa hivi angekuwa Muhimbili Hospitali anauguza Jeraha la Miaka 6 ijayo kwa Rafu ambayo ningemchezea. Mabeki wa NBC Premier League (Siku hizi) ni Wapuuzi sana na ndiyo maana...
  2. M

    Kati ya hawa Washambuliaji Wawili wa NBC Premier League Lusajo na Mayele nani ni Mshamba Juha na nani ni Mstaarabu Mwerevu?

    Lusajo (Namungo FC ) mwenye Goli 10 ila hana Mbwembwe na Kwake ni Kawaida na Mayele mwenye Goli 7 tu ila Mbwembwe Tanzania nzima? Nasubiri Majibu yenu huku nikijiandaa kuendelea kuiletea Heshima zaidi Tanzania hasa kwa Mambo makubwa na ya Kimataifa baada ya kutoka Niger juzi nikalala Ulaya...
  3. John Haramba

    Hatimaye Manchester United yaona mwezi, yashinda 2-0 katika Premier League

    Baada ya kuwa na matokeo mabaya hivi karibuni ikiwemo kufungwa na kupata sare, Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton katika mchezo wa Premier League. Mchezo huo uliochezwa usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2022, mabao yamefungwa na Cristiano Ronaldo ambaye...
  4. Kichwa Kichafu

    Semina ya waamuzi wa NBC Premier League

    Habari, Semina ya waamuzi wa NBC Premier League Tanzania Imeanza leo kama ambavyo ilivyoelekeza TFF. Semina hiyo itachukua siku tatu na hapa chini ni baadhi ya picha ya Matukio yanayoendelea kwenye semina hiyo.
  5. Scars

    Simba 1-0 Prisons | Ligi kuu bara | Benjamin Mkapa

    Simba imeshinda mchezo wake wa ligi kuu bara dhidi ya wajelajela wa Tanzania Prisons, goli pekee la Meddie Kagere alilofunga kwa mkwaju wa tuta dakika ya 64 baada ya muamuzi wa mchezo kusema beki wa Tanzania Prisons kanawa mpira kwenye eneo la hatari. FT: Simba SC 1-0 Tanzania Prisons 64'...
  6. ESPRESSO COFFEE

    Kagera Sugar 1 - 0 Simba SC | Ligi kuu bara | Kaitaba

    NBC Premier League leo kwa mechi moja ya kiporo. Ni Kagera Sugar watakuwa uwanja wa nyumbani kuwaalika mabingwa watetezi Simba SC. Je, ni Kagera ama Simba SC nani kukila kiporo hiki? Mechi hi itaruka mubashara Hapa Hapa JF UPDATE Mpira Umeshaanza hapa Dimba La Kaitaba. 17” Kagera Sugar 0...
  7. GENTAMYCINE

    Upuuzi wa Kocha Pablo wa Simba SC unavyozidi kuisafishia Yanga SC njia ya kuwa Mabingwa wa NBC Premier League kwa 75% mpaka sasa

    Yaani Kocha kabisa umeshapoteza Mechi Mbeya halafu Mechi muhimu ya leo Morogoro unakuja Kumjaribu Beki Mbovu Gadiel Michael wakati Mchezaji mahiri Mohammed Hussein Tshabalala unae na hujataka Kumuanzisha? Yaani Kocha kabisa una Wachezaji very talented and creative kama Chama na Morrison unaacha...
  8. GENTAMYCINE

    Simba SC 'tumezubaa' sana, 'tunakomolewa' huku Yanga SC ikitumia mwanya huu 'Kujiimarisha' 'zaidi 'Kimkakati' ili kuwa 'Mabingwa wa NBC Premier League

    Kwa masikitiko makubwa Asubuhi ya leo nilianzisha Uzi hapa JamiiForums nikisema kuwa Kitengo cha Umafia Simba SC Kinepwaya na kwamba nipewe Mimi na Wenzangu Sita (6) na Yanga SC hatokuwa Bingwa kwa Mshangao huo Uzi siuoni (kwa Lugha sahihi ni kama vile Umefutwa) kwasababu wazijuazo Walioufuta...
  9. T

    Holding midfielders bora kuwahi kutokea katika NBC premier league

    1.Jonas Mkude 2.Kanoute 3.Tadeo Lwanga 4.Mzamiru Yasin Uzi tayari...karibuni
  10. Miss Zomboko

    Premier League imefuta mechi kadhaa kutokana na ongezeko la maambukizi, pamoja na wachezaji wengi kujiweka karantini

    Wakati aina mpya ya kirusi cha corona kinachofahamika kama Omicron kikiendelea kusambaa kote Uingereza, ligi kuu ya Premier League ya England imefuta mechi kadhaa kutokana na ongezeko la maambukizi, pamoja na wachezaji wengi kujiweka karantini. Mechi ya leo kati ya Leeds United na Aston Villa...
  11. M

    Serikali na TAKUKURU imulikeni NBC Premier League, Pesa za GSM kwa Marefa ili Kuibeba Yanga SC zinaharibu Soka letu

    Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC...
  12. M

    Kwako Beki Dickson Job japo Mimi ni mwana Simba SC, ila kuendelea Kucheza Kwako NBC Tanzania Premier League ni sawa na Kututukana Watanzania

    Tanzania miaka hii ya karibuni tumemtoa Mshambuliaji Hatari kabisa Mbwana Ali Samatta na kiukweli ametutangaza Watanzania ma Kaitangaza vyema Tanzania yetu. Na leo Mightier natabiri hapa hapa kuwa kwa huu Uchezaji mzuri na wa Kiwango cha Juu na cha Kimataifa anachokicheza sasa akiwa Yanga SC na...
  13. Daktari wa Manchester

    Tambua Tim zote katika English premier league nicknames zake

    Habar.. Kila team pale epl Ina nickname yake ..orodha za team zote na nickname zake 1.Liverpool( The reds)(Majogoo) 2.Mancity(The citizens) 3.chelsea(The blues🌐) 4.Manchester United(The red devil's🛑) mashetani wekundu 5.Everton👤(The toffees)blues 6.Brighton and have Albion(The seaguls,the...
  14. Erythrocyte

    Brentford Promoted to Premier League for the first time in 74 years

    Brentford will play in the Premier league next season, it is the first time in 74 years after beating Swansea 2-0 in the Championship Play - Off final. Huu ndio uvumilivu tunaousema miaka yote, siyo timu yako mbovu ikishindwa kupanda daraja miaka mitatu tu mnaanza kushikana uchawi. Taarifa...
  15. Tony254

    Timu ya English Premier League ya Watford imemsajili Mkenya

    Mkenya huyu anayeitwa Henry Ochieng amejiunga na timu ya watford. Kuna Mkenya mwingine anayeitwa Clarke Oduor ambaye naye anachezea Barnsley. Kwa hivyo sasa hivi kuna Wakenya wawili wanaochezea harambee stars na pia wanacheza kwenye English premier league. ======= Henry Ochieng: Championship...
  16. ALEXXXXXXXX

    Premier League Clubs' interesting nicknames

    English Premier League has a long history. Some of clubs of the League is even older than League itself. Each club has their own culture, where their nickname come from. Let's talk about some interesting nickname of English Premier League clubs. Manchester United - Red Devil When Salford's...
  17. isajorsergio

    Ifahamu Premier League Production | Uzalishaji wa Ligi Kuu

    Premier League, ligi kuu soka ya Uingereza ikifahamika vyema hapo awali kama BPL kabla ya mabadiliko mnamo mwaka 2015 toka BPL iliyokuwa ikiuza kupitia chapa ya Barclays Premier League chini ya mkataba wa udhamini kutoka kampuni maarufu inayoshughulika na masuala ya kiuchumi, fedha, uwekezaji na...
  18. Infantry Soldier

    Tanzania Premier League: Kuna ulazima wa klabu moja wapo (Simba au Yanga) iondoke Dar na kuhamia Arusha au Mwanza ili kuongeza ladha ya mchezo wa soka

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Ndugu zangu watanzania mimi binafsi ninadhani; Kuna umuhimu wa klabu moja wapo kubwa (Simba au Yanga) kuondoka Dar na kuhamia majiji mengine makubwa kama Arusha au Mwanza ili kuongeza ladha ya mchezo wa soka katika Tanzania...
  19. Analogia Malenga

    Uingereza: Premier League yalaani ujumbe ulioonyeshwa uwanjani

    Wakati wa mechi kati ya Burnley na Manchester City, iliyochezwa Jumatatu, Juni 22 katika uwanja wa Etihad, kuna ujumbe uliosema “White Lives Matter” ulipitishwa uwanjani hapo kwa ndege Ligi ya Uingereza ilionyesha kuunga mkono juhudi za watu wanaoendelea kupinga ubaguzi wa rangi unaoendelea...
Back
Top Bottom